Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

edwayne

JF-Expert Member
Apr 5, 2013
8,879
9,678
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu (Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
  • Yesu kufufua mtu amekufa siku 3huyo mtu alikua amezimia
  • Yakobo kumpiga mweleka Mungu.. Hizo ni ndoto za kutisha, Yakobo alitoa
  • Musa kugawanya bahari ya Shamu alituonaje hivi
  • Muhamadi kuupasua mwezi vipande viwili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
  • kupata kwa jua au mwezi ni ishara kutoka kwa Allah. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ akwaambia wafuasi wake wasali sana iliviachane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
  • jua huwa linaenda kuomba ruhusa kwa allah lichomoze mashariki ila siku ya mwisho litakataliwa kwa hiyo litachomoza magharibi. Mtume hapa alikuwa sijui amepata kilevi.
  • kitabu cha daniel eti walitupwa tanuru la moto na hamna aliyeungua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ labda walikua wanaota moto
Orodha itaendelea, ongezea na zako
 
Vitabu vyote Kuna watu wa kawaida wanaosema uongo.

Ila Yesu Kristo pekee hajawahi kusema Uwongo.
Na alisema hadharani mbele za watu kuwa;

"Ni nani anishuhudiaye kati yenu kuwa mimi ni mwenye dhambi"

"Mimi ndio Njia, Kweli na Uzima"

Na hukujawahi tokea mtu yeyote hadi hii leo aliyempinga.
Mwaminini huyo.
 
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu (Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
Orodha itaendelea, ongezea na zako
Hatimaye Wapagani, Hinduism, Buddhism na Rastafarians tumepumzishwa....
 
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚(Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
Orodha itaendelea, ongezea na zako
SAYANSI ULIPATAGA ZIRO . KWELI KWENYE DUNIA ARDHI INA LEYA SABA. NA
main-qimg-69dd9314d22ab43c364c834c81f838ef.gif
642707905ba059f3973e32f3ddc8849d.jpg
 
Katika vitabu vya hadithi za kidini, quran ni kitabu chenye hadithi za kitoto na zisizo na kichwa wala miguu kuliko vitabu vingine vyote.

Mohamed kugundua kwamba kitabu chake kimejaa childish stories, akatishia watu mtu yoyote atakaehoji hizo hadithi zake za kitaahira auwawe.

Dini ni stori za kutunga ila kwenye quran zilitungwa na watu wasio na akili yoyote.
 
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚(Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
Orodha itaendelea, ongezea na zako
Yesu aliwaambia watu wa enzi zake kwamba atarudi kabla kizazi kile hakijakufa. Yani itakuwa mwisho wa dunia.

Watu wakaona hakuna haja ya kufanya kazi, kulima, kujenga, dunia inaisha katika miaka michache ijayo.

Mpaka leo zaidi ya miaka 2000 bado hajarudi.

Yesu alikuwa muongo kweli.
 
Yesu hajawahi kuongopa.

Alikuja mala ya Kwanza kupitia tumbo la Mariamu mamaye

Akafundisha akahidi kurudi kabla ya wanafunzi wake hawajafa, wakati huo Yesu alikuwa akikaribiwa na watu na wanafunzi wake hata kumgusa waliweza.

Akateswa akasuribiwa akafa akazikwa.
Akaondoka zake Mbinguni na yule mtu aliye sulubiwa naye upande wa kulia. Kwa kumwahidi
"Leo hii utakuwa nami mahali pema peponi"

Akarudi tena mala ya pili kupitia alipofufuka Kaburini, na akawakuta tena wanafunzi wake kabla hawajafa kama alivyo waahidi, na kuwaagiza wakaihubiri Injiri kwa kila Kiumbe.

Katika ujio ule wa mala ya pili hakutaka kabisa kuguswa na watu wakiwemo wanafunzi wake isipokuwa alimruhusu Tomaso ambaye hakuamini macho yake alipomwona tena mala ya pili baada ya kufa na Kuzikwa, hata hivyo hakumgusa kwakua mwisho wake alimwamini.

Akaondoka tena kwa mtindo wa kupaa Mbinguni mbele ya macho Yao na kuahidi kurudi tena mala ya Tatu.

Ujio wa Yesu utakuwa ni kwa mala ya tatu, kama mtu anasoma maandiko kwa kutaka kuyaelewa.
 
Vitabu vyote Kuna watu wa kawaida wanaosema uongo.

Ila Yesu Kristo pekee hajawahi kusema Uwongo.
Na alisema hadharani mbele za watu kuwa;

"Ni nani anishuhudiaye kati yenu kuwa mimi ni mwenye dhambi"

"Mimi ndio Njia, Kweli na Uzima"

Na hukujawahi tokea mtu yeyote hadi hii leo aliyempinga.
Mwaminini huyo.
Aliwaambia baadhi ya wanafunzi wake hawatakufa hadi mwisho wa dunia wa dunia
 
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚(Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
Orodha itaendelea, ongezea na zako
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚(Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
Orodha itaendelea, ongezea na zako
Macca ya Leo.sio Macca original
 
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚(Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
Orodha itaendelea, ongezea na zako
Mbona umeongelea upande mmoja?
Halafu unaweza thibitisha kuwa ardhi na mbingu hazipo saba?
 
Yesu aliwaambia watu wa enzi zake kwamba atarudi kabla kizazi kile hakijakufa. Yani itakuwa mwisho wa dunia.

Watu wakaona hakuna haja ya kufanya kazi, kulima, kujenga, dunia inaisha katika miaka michache ijayo.

Mpaka leo zaidi ya miaka 2000 bado hajarudi.

Yesu alikuwa muongo kweli.
Tunaomba andiko ambalo Yesu alisema hayo maneno
 
Back
Top Bottom