edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,879
- 9,678
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
- Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
- Quran ipo moja tuu (Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
- Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
- Yesu kufufua mtu amekufa siku 3huyo mtu alikua amezimia
- Yakobo kumpiga mweleka Mungu.. Hizo ni ndoto za kutisha, Yakobo alitoa
- Musa kugawanya bahari ya Shamu alituonaje hivi
- Muhamadi kuupasua mwezi vipande viwili ππππ
- kupata kwa jua au mwezi ni ishara kutoka kwa Allah. πππ akwaambia wafuasi wake wasali sana iliviachane ππππ
- jua huwa linaenda kuomba ruhusa kwa allah lichomoze mashariki ila siku ya mwisho litakataliwa kwa hiyo litachomoza magharibi. Mtume hapa alikuwa sijui amepata kilevi.
- kitabu cha daniel eti walitupwa tanuru la moto na hamna aliyeungua πππ labda walikua wanaota moto