Shikamoon wakubwa zangu wote
Wadogo zangu hamjambo.
Leo ni siku nzuri Sana kwangu,
Si kwamba siku nyingine huwa mbaya,hapanaa,bali ni kwamba jambo likija wakati mzuri huwa moyo unafarijika.
Binadamu tunakosea,
Tunasameheana
Maria Mimi si mkamilifu Kwa mambo mengi,yapo nayofanya Kwa...