Hii ni hoja yangu tu si lazima kila mtu akubaliane nayo.naamini kuna dalili ambazo zinaweza kuonyesha moyo wa mtu unavutwa zaidi kumtafuta Mungu.
Ya kwanza ni pale unapokuwa peke yako hasa usiku. Unaweza ukawa unatembea au ukaamka ghafla bila hata kukusudia ukautazama mwezi bila sababu ukaanza...
Tumsifu Yesu Kristu......Ningependa kunukuu maandiko matakatifu ya Yesu mwenyewe katika injili ya Luka 17:21
"Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu unakuja lini? Aliwajibu akasema, Ufalme wa Mungu hauji kwa kuangaliwa; wala hawatasema, Tazama, upo hapa! Au, Upo pale! Kwa maana tazama...
Huwezi kumtenganisha Mungu wa kweli na taifa la Israel huo ndo ukweli
Haijalishi Israel walimuasi Mungu wao Kwa miaka mingapi lakini Mungu wao LAZIMA awarudishe kwenye Agano lake
Biblia ni kitabu kinachoonyesha uhusiano wa Mungu wa kweli na taifa lake la Israel kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo...
Hamjambo!
Aiseeeh! Hii familia iwe Mfano kwetu. Haipoi na hawataki kumuachia Mungu. Wanapambana aiseeh!
Kule Kaka Mtu, kule Mdogo wakiume. Kule Dada Mtu.
Hawa watu wanaonyesha upendo, umoja, ujasiri na hawataki kukubali imeisha.
Swali kwa kila mmoja wetu mpaka viongozi na wanaongozwa. Isije...
Wanaume huwa tunavimba vichwa sana kuona mke anakuja kuomba ushauri wa mambo yake ni utiifu wa kiwango cha juu , akiwa na jambo utasikia subiri hubby aje niongee naye hafanyi jambo bila kumshirikisha mume .
Mke wa aina hii anavutia sana
Ayatollah Khomeini alikuwa kiongozi mwenye kiburi na Jeuri sana
Pamoja na kufanya mauaji ya raia wake aliwaaminisha uwongo kwamba mungu wake angewasaidia
Kila watu na Miungu iliyojiinua kinyume Cha Israel na Mungu wao Jehova walipigwa vibaya mno.
Nchi zote zinazopigana na Israel na washirika...
Sijui wanajisikiaje Sasa huko waliko?!!
===
Baadhi ya Vijana kutoka Tanzania Bara waliodaiwa kuzuiwa kufanya kazi Zanzibar hadi waoneshe vitambulisho vya Uzanzibari, wameeleza kuwa hawakutengwa wala kubaguliwa kama ilivyoripotiwa awali.
Vijana hao wamesema taharuki iliyoibuka katika eneo lao la...
Mungano hauna ulazima tusiufanye muungano kama ni agizo la mandiko matakatifu au ni maagizo ya vitabu vitakatufu,au ni jambo la kinabii.
Hii ni kana ndoa pamoja na kufungwa madhabahuni na kiapo kwa mungu na wanadamu pia lakini wanandoa wakichokana wanaachana na kila mtu anaishi maisha yake...
Najua Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu kwa kushirikiana na kusaidiana kiutendaji kutimiza lengo la Mungu kikazi, kimaendeleo, fursa na riziki ndiyo maana tumekua ndugu na marafiki na Leo hii tunawasiliana kwa mipango ya Mungu.
Wengi wanapenda Kudai:
"Yesu hajawahi kusema waziwazi kwamba yeye ni Mungu."
Kisha wanachukua vifungu vichache kama:
• "Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake."
• "Siku ile na saa ile hakuna aijuaye ila Baba."
Halafu wanahitimisha kwamba Yesu si Mungu.
Lakini tatizo ni kwamba wanaangalia...
Tamasha la Twende Zetu kwa Yesu lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilitheri halikupaswa kutoza viingilio kwani neno la Mungu linatolewa bure na haliuzwi.
Hebu tuangalie baadhi ya mistari:-
Isaya 55:1-2
[1] Haya, kila aonaye kiu, njoni majini,
Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle...
Jinsi ya kutambua Mungu anaongea na wewe.
1. Mungu anaongea na wewe kupitia amani,
Kama upo unapata amani kwenye roho yako pindi unapowaza au kupanga malengo fulani fahamu kuwa Mungu amekubaliana na hilo jambo.
Jambo lolote kutoka kwa Mungu uwa alikufanyi kuchanganyikiwa, kukupa shinikizo au...
Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa letu.
Lakini sasa ni wazi maadui wa taifa letu,
wamejidhirisha wenyewe mbele ya waTanzania na dunia...
Kuna movement inaendelea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii duniani ambako kumekuwa na watu wengi wenye kutoa maoni kwamba " God Is Evil " ( Mungu ni Muovu) . Asilimia kubwa ya watu hawa ni wale ambao zamani walikua washika dini Sana.. Vipi kuhusu wewe. Je unadhani Mungu ni Muovu au sio...
Ndio ujumbe wake leo huko Maria spaces.
Kama hao viongozi wa dini yako wanashindwa kukemea mauji ya 29th October 2025, ja maovu mengine, basi achana na huko njoo Maria spaces ukemee mauaji!
Habari wadau
Kwa wakristo waliompokea Yesu kama neno linavyosema kwamba kufa chini ya 70 inaonekana sio mpenzi ya Mungu hasa maisha ya sasa ambayo RIP ZA vijana zimekuwa nyingi sana
Karibu tujadili
Mara nyingi Mungu anakua anazungumza na Mimi kupitia ishara ya Moto ,
Kama wanafunzi wa Yesu pia alivyo fufuka walisema,
Je ,mioyo yetu Aikuwakawaka ndani yetu alipo kuwa akisema nasi.
Sijajua Kwa wenzangu nataka kujua na nyie uwa inakuwaje
Lakini kwangu Mimi huwa hivi .
1. Nikiwa natafakari...
Hivi kweli akili zenu zimefungwa na kufuli la Wazungu mpaka mmeshindwa kuona ukweli ulio wazi? Yaani hapa duniani hakuna kitu kinachochanganya na kuvuruga akili za watu kama hiki kitabu cha Wazungu!,
Yaani Biblia!.
Inakuwaje Mungu aliyeumba mbingu na ardhi, mwenye akili na mamlaka, aandike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.