Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji...
Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria
Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele!
Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika...
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama...
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu.
Oscar Kambona
Kambona, the man...
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la...
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana!
Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa...
Kisi hiki cha Kim Philby ni moja ya visa vya kusisimua zaidi katika historia ya ujasusi Duniani. Ni simulizi ya mtu aliyefika kileleni mwa idara ya siri ya Uingereza huku akiwa anaitumikia adui...
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA MWANDISHI M.A. MOHAMED: "USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA''
Jioni hii baada ya swalat ya Maghrib wakati naelekea kwenye ngazi za msikiti kuvaa viatu kanikabili mtu akanipa...
Hii ni mada ya mtiririko wa matukio ya kidunia yasiyo ya kawaida, yaliyohifadhiwa toka vyanzo mbalimbali kwa njia ya picha, maandishi ama vyote viwili.
Lengo kuu ni kupanua ufahamu wa wale wote...
Kupotea kwa Urithi na Mtihani wa Imani NyikaniKatika kipindi kigumu cha dhoruba za vumbi (Dust Bowl), takriban mwaka wa 1936 ndani ya Kaunti ya Morton, Kansas, jamii ilishuhudia mtihani mkubwa wa...
MAKALA SEHEMU YA KWANZA:
https://m.youtube.com/watch?v=Jcr0o3P2Fzo
TANZANIA ILIPOKUWA MAKAO MAKUU YA VYAMA VYA UKOMBOZI NA CHANGAMOTO ZAKE
MWAKA 1959 CHAMA CHA MRENGO MKALI PAC PAN...
1. Usuli
Jumamosi mujarab ya leo, Desemba 25, 2021, siku ya Krismasi, imetimia nusu karne toka "Mnyalukolo" SAID ABDALLAH SIULANGA MWAMWINDI (42) amtangulize Mbele ya Haki, Mh. Dk. WILBERT ANDREW...
Mwezi huu wa Juni, Tanzania inatimiza miaka 19 tangu kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM, Amina Chifupa Mpakanjia, aliyefariki tarehe 26 Juni 2007 akiwa na umri wa miaka 26. Kila...
Princess Diana's sapphire blue engagement ring may be one of the most recognizable pieces of jewelry in history, but not everyone was a fan of the stunning blue bauble. As re-enacted on season...
IKUMBUKWE TV WAFIKA MAKTABA KUFANYA KIPINDI CHA BIBI TITI MOHAMED MAALUM KWA VIJANA
Leo nimetembelewa na Abdallah Khamisi wa Ikumbukwe TV kwa ajili ya kufanya kipindi cha Bibi Titi Mohamed maalum...
Bi. Khadija Nkomanile ndiye mwanamke pekee aliyenyongwa na Wajerumani kwa kushiriki wake katika vita vya Maji Maji (1905 - 1907).
Wakati tunawaadhimisha wanawake ni muhimu tukamkumbuka mama yetu...
👉"Usiue" ni mojawapo ya amri kuu, lakini katika Agano la Kale kuna simulizi nyingi za vita, mauaji ya hukumu na maangamizi ya mataifa. Hii huibua mjadala mkubwa kuhusu tofauti kati ya sheria ya...
LIBERIA 1980
Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980
A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup...
April 2 2021
Kilonzo, Paulo Saburi (c. 1890–1979)
Na
Gadi Kilonzo
Ilichapishwa kwa Mara ya Kwanza: Machi 29, 2021
Mhubiri painia, mchungaji, na mmishonari katika Afrika Mashariki, Paulo Saburi...
Kuna kitu kimoja kinachowazuia watu wengi kubadilisha maisha yao.
Sio ukosefu wa akili.
Sio ukosefu wa vipaji.
Sio hata ukosefu wa fursa.
Ni kupenda faraja kupita kiasi.
Na huo ndio mtego...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.