Jukwaa la Historia

  • Sticky
Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji...
38 Reactions
884 Replies
207K Views
  • Sticky
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana! Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa...
86 Reactions
2K Replies
493K Views
  • Sticky
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama...
18 Reactions
673 Replies
147K Views
  • Sticky
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la...
10 Reactions
8K Replies
622K Views
  • Sticky
Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele! Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika...
19 Reactions
2K Replies
465K Views
  • Sticky
Hapa Nyerere akiikosoa Uingereza pia Hapa Nyerere akizungumzia Rhodesia Heheheeee Nyerere bana....kanifurahisha hapo aliposema 'jitu zima' hahahahaaaa. Nyerere na Mandela wakizungumza na...
78 Reactions
636 Replies
168K Views
  • Sticky
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu. Oscar Kambona Kambona, the man...
20 Reactions
1K Replies
269K Views
Nimefika Chuo Kikuu Cha Iowa, Iowa City nyakati za mchana nikitokea Detroit ambako ndiko nilikoingia Marekani nikitokea Amsterdam. Kutoka Detroit nimepanda ndege ndogo hadi Iowa City na hapo...
2 Reactions
19 Replies
505 Views
OFISI YA TANU ILIVYOKUWA MIAKA YA 1960 Kuna mtu kaniletea picha hii ya ofisi ya TANU kama ilivyokuwa katika miaka ya 1960. Pamoja na picha hiki kaniandikia ujumbe ananambia kuwa picha hii...
3 Reactions
6 Replies
104 Views
KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO Utangulizi "Kanisa la Waadventista Wasabato ni dhehebu la Kikristo la Kiprotestanti ambalo linatofautishwa na utunzaji wake wa Jumamosi, siku ya saba ya juma...
5 Reactions
45 Replies
31K Views
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
119 Reactions
2K Replies
130K Views
NIMEFUKUZWA TENA BAADA ya kuweka video hii ya TBC nikatolewa kundini: https://youtu.be/-bwoz3jI7RA?si=rJdx_0PlMIHxm4Wm Nilikuwa kwenye group moja nikafukuzwa naamini wengi mlisoma makala ile...
35 Reactions
164 Replies
3K Views
Huyu ni Mmoja wa Mashujaa wa miaka ile aliyeshiriki kuwaondoa Makoloni huko Zanzibar. Kama ambavyo Bara nao walikuwa wameondoa wao. Anasimulia mzee wangu ambaye alikuwa Mwalimu Chuo Kikuu cha Dar...
28 Reactions
346 Replies
11K Views
Katika ulimwengu huu na kazi nzuri zilizokuwemo mule kama action, mapenzi, vichekesho, wangeshirikiana na watengeneza katuni wa kimataifa mbona wangekuwa mabilionea. Taarifa nilizonazo Masoud...
2 Reactions
79 Replies
14K Views
''Mwalimu Nyerere na Historia'' (1980) Kitabu cha Prof. G.A. Mhina Kitabu hiki nimekuwancho kwa miaka mingi sana. Lakini kwa kuwa ni kitabu cha picha nilikisoma mara moja tu katika miaka ya 1980...
12 Reactions
168 Replies
4K Views
HISTORIA YA JUMBE MWINJUMA DIGOSI, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA JULIUS NYERERE 1954 Inawezekana Jumbe Mwinjuma Digosi alikuwa umri huu wa sasa alionao mwanae Zakaria huyu Mwenyekiti wa CCM Kata ya...
3 Reactions
14 Replies
371 Views
WANACHAMA WA MWANZO WA TANU WALITOKA RUFIJI Shughuli ya usajili wa TANU ilifanywa na watu watatu wenye kadi zinazoongozana: Julius Nyerere kadi no. 1, Ally Sykes kadi no. 2 na Abdul Sykes kadi...
3 Reactions
39 Replies
672 Views
Nafanya research juu ya african folktales nawish ziwe documened kama zilivyo za wazungu mfano king arthur wa uingereza na thor kwa Scandinavian. Katika research yangu nimegundua nyingi za...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Tafsiri ya kitabu The Autobiography of Malcom X. Unaweza kukisoma ndani ya Maktaba app. Muandishi: Malcom X(Alex Haley), 1965. Mtafsiri: Pictus Publishers ltd Email...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Wadau nawasabahi.Baada ya TANGANYIKA na ZANZIBAR kuungana Nchi ya TANZANIA ikapatikana na Nchi ya ZANZIBAR ikaendelea kuwepo ikiwa na Bendera na RAIS WAKE lakini Nchi ya TANGANYIKA IKAFA . Katika...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Hao jamaa kwa kitendo cha kugomea nafasi waliopewa na mh Rais kwenda kumsaidia kutekeleza ilani ni tatizo kubwa sana. Na chakushangaza maafisa utumishi katika Halmashauri mbalimbali nchini...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Comrade Ali Sultan Issa Al-Ismaily, who passed away on January 3, 2022, three months shy of his 90th birthday, was iconic, if controversial, figure in Zanzibari politics. The fact that his death...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Tangu karne ya 7 kilwa kisiwani palikuwa pakikaliwa na wenyewe ambao walikuwa ni kabla la wamwera. Kabla ya ujio wa persia mnamo karne ya 9 tokea hapo wenyeji hawakuwahi kujitawala tena. Wakoloni...
1 Reactions
1 Replies
129 Views
Tafiti ndogo tu, yangu binafsi na isiyo na shaka kabisa niliyoifanya kuhusu jina la jiji letu kuu "Dar Es Salaam" na jina la soko letu kuu "Kariakoo" ninaihitimisha kwa ufupi (summary) hapa chini...
22 Reactions
108 Replies
10K Views
Miaka ya 1800's walikuwepo ndugu wawili kwa Majina ya KEMPANJU NA KASSA, huko mkoani Kagera wilaya ya Bukoba( Misenyi kwa sasa). Imenichukua mwendo wa lisaa kutoka Bukoba mjini mpaka kata ya...
5 Reactions
35 Replies
9K Views
Wengi wetu miaka 21 nyuma tarehe kama ya leo tunaikumbuka siku hiyo tukiwa na umri tofauti na majukumu tofauti. Wengi wengine walikuwa baddo hawajazaliwa au walikuwa wadogo sana kiasi hawajaelewa...
3 Reactions
46 Replies
2K Views
THE WEALTH OF RAPTA RUINS (Get Rich or Die Tryin) Msimuliaji: LUDOVIC MASSAWE PROLOGUE/DIBAJI Mji wa rapta ni mji uliozama baharini kisiwani mafia kwa zaidi ya miaka 2000. Unaweza kua mji mgeni...
30 Reactions
1K Replies
170K Views
Back
Top Bottom