matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,369
Watu wengi wenye IQ kubwakubwa mindset zao zilishawishiwa na Biblia.
Newton, Galileo Galilei, Mendel na wanasayansi wengi walikuwa wanazi wa maandiko ya Biblia.
Paulo kwa usomi wake maandiko aliwaoutsmart wasomi majiniasi wa kigiriki Pale Aelopagas.
Daniel aliwazidi akili wachawi,waganga, wasomi na wanasayasi wa dunia nzima enzi zake kwa sababu ya maandiko ya Mungu. Ndiye aliyetoa wazo la mfalme dario atawaleje. Structure ya utawala wake ilikuwa ile ya Daudi wa kwenye biblia.
Yesu akiwa 12 kwa sababu ya ujuzi wake wa maandiko IQ yake ilikuwa kubwa kuliko wayahudi wote.
Yusuph alikuwa na IQ kubwa kuliko Misri yote na miungu yao. Aliwahi kubuni mfumo wa kutunza nafaka miaka saba bila kuoza.
Ukiona mtu anasoma biblia alafu anakuwa zoba, au mjingamjinga, au uelewa wake wa kuungaunga ujue anasoma kidini sio kifalme. Biblia ni maneno ya Mungu mfalme mwenye IQ kubwa kuliko viumbe vyake, ukiisoma kifalme unaambukizwa IQ ya mwenye hayo maneno.
Ni hayo tu.
Mbarikiwe
Newton, Galileo Galilei, Mendel na wanasayansi wengi walikuwa wanazi wa maandiko ya Biblia.
Paulo kwa usomi wake maandiko aliwaoutsmart wasomi majiniasi wa kigiriki Pale Aelopagas.
Daniel aliwazidi akili wachawi,waganga, wasomi na wanasayasi wa dunia nzima enzi zake kwa sababu ya maandiko ya Mungu. Ndiye aliyetoa wazo la mfalme dario atawaleje. Structure ya utawala wake ilikuwa ile ya Daudi wa kwenye biblia.
Yesu akiwa 12 kwa sababu ya ujuzi wake wa maandiko IQ yake ilikuwa kubwa kuliko wayahudi wote.
Yusuph alikuwa na IQ kubwa kuliko Misri yote na miungu yao. Aliwahi kubuni mfumo wa kutunza nafaka miaka saba bila kuoza.
Ukiona mtu anasoma biblia alafu anakuwa zoba, au mjingamjinga, au uelewa wake wa kuungaunga ujue anasoma kidini sio kifalme. Biblia ni maneno ya Mungu mfalme mwenye IQ kubwa kuliko viumbe vyake, ukiisoma kifalme unaambukizwa IQ ya mwenye hayo maneno.
Ni hayo tu.
Mbarikiwe