wakati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi Law School of Tanzania wanaofanya mitihani watakaguliwa kama wana vifaa vya Kielektroni

    Wadau mnakumbuka lile andiko la kuhusu Chuo cha Sheria Tanzania (Law School of Tanzania) kulalamika kuwa uamuzi wa chuo hicho kutangaza kuwa wanafunzi wote wa Kundi la 42 pamoja na Kundi la 40 waliokuwa kwenye marudio (Supplementary) warudie tena mtihani wa Written Practical Assessment (WPA)...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo ya Posho kwa Interns Serikalini: TTB & TANAPA

    Wanaojitolea serikalini (interns) tunaombwa walipwe posho zao za mwezi na za kazi nje ya ofisi kwa wakati. Hasa Taasisi za Wizara ya Utalii na Maliasili naongelea zaidi Tanzania Tourist Board (TTB) na Tanzania National Parks Authority (TANAPA). Wanacheleweshewa sana hivyo kupelekea kuishi...
  3. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania CCM Inafikirisha sana wakati huu

    Kama CCM inaweza kuhusika kwa kupotea (ama kuuwawa) kwa aliyekuwa Katibu Mwenezi wake, na sasa kupotea (ama kuuwawa) kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wake ambao wote walikuwa wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashuri Kuu ya taifa. Inafikirisha sana kuhusu usalama wa wana CCM ambao hawafikii hata ngazi ya...
  4. shonkoso

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Ingefaidika vipi wakati nchi ikipinduliwa, jeshi ndo huchukua nchi

    Tuchukulie kwa mantiki ya hoja, bila kuamua kwanza kama tuhuma hizo ni za kweli au za uongo. Ikiwa kweli CHADEMA ingekuwa imepanga kuipindua Serikali, swali muhimu sana ni: CHADEMA INGEPATA FAIDA GANI?Kwa sababu kuipindua Serikali hakumaanishi kwamba CHADEMA moja kwa moja ingeichukua...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Timothy ‘Tim’ Cook Draper, bilionea kutoka Marekani, atangaza kuuza kisiwa chake kilichopo Ziwa Tanganyika, Tanzania

    Timothy ‘Tim’ Cook Draper, bilionea kutoka Marekani, anayejulikana sana kwa uwekezaji wake katika makampuni makubwa ya teknolojia na sarafu za kidijitali (cryptocurrency), ametangaza kuuza kisiwa chake kilichopo Ziwa Tanganyika, Tanzania. Anasema hakitumii vya kutosha. Bei ni $7.9 million (zaidi...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku ni mnafiki, anasema Lissu hawezi kuachiwa kwa amri ya rais wakati fisadi Harbinder Seth na mwenzake waliachiwa kwa amri ya Rais

    Huyu mzee huenda kweli alimuuza Polepole akatekwa. Tulishuhudia baada ya Magufuli kufa Mafisadi papa wa CCM wakaachiwa kwa amri ya rais. Leo huyu mzee analeta porojo👇
  7. Moaz

    JamiiForums Tanzania Taifa kwanza wakati wa Tanzania kuweka utaifa juu ya tofauti zetu

    Utangulizi Katika kipindi ambacho dunia inapitia mabadiliko makubwa ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiusalama, kuna jambo moja ambalo linajidhihirisha wazi zaidi kuliko wakati mwingine wowote: mataifa ambayo yanaweza kusimama imara mbele ya changamoto kubwa ni yale ambayo wananchi wake wana...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Stationery na uzoefu nayo zaidi ya miaka 5 Niko Mwanza

    Habar za wakati huu, Samahan Mimi ni Kijana mchapakazi na muaminifu. Niko Mwanza nina miaka 30. Natafuta kazi yoyote ya halali, Nina ujuzi mkubwa wa kutumia computer pamoja na ufundi upande wa software. Pia na ujuzi wa kazi za Stationery mambo ya online application, kazi, mikopo ya wanafunzi...
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tunashindwaje kumwamini na kumtegemea Mungu wakati sisi ni waamini?

    Maisha ni safari ndefu na changamoto nyingi..!Hofu nyingi na kukata tamaa kwingi..! Na ni jambo la kawaida kibinadamu kukumbana na nyakati ambapo imani ya maneno haitoshelezi kukabiliana na hofu za maisha. Mara nyingi tunashindwa kumtegemea Mungu kwa sababu tunamfahamu kupitia simulizii na...
  10. James 25th

    JamiiForums Tanzania Private Driver

    Habarini za wakati, ndugu wana jamii forum. Kwanza nipende kushukuru wale wote walio niamini wakanipa kazi za mda kufanya nayo, Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi. Leo, nipo kwenu tena. Ombi langu ni nafasi ya kufanya kazi na taasisi ama watu Binafsi kama Dereva. Uwezo katika udereva...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Je Kumsimamisha Mtuhumiwa Kwa Muda Mrefu wakati Waendesha Mashtaka wanabadilishana na kukaa

    There is no fixed legal time limit for how long an accused person must continuously stand in the dock during a court session, but standard practice dictates that a defendant should not be forced to stand for unreasonably long periods that cause physical distress or compromise a fair hearing...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wakati tunasoma, waalimu walifundisha; fuata kilichokuleta. Umekuja pekeako utarudi pekeako. Walifundisha woga nautengano.

    WAKATI TUNASOMA, WAALIMU WALIFUNDISHA; FUATA KILICHOKULETA. UMEKUJA PEKEAKO UTAONDOKA PEKEAKO. WALIFUNDISHA WOGA NA UTENGANO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Ukiachana na Dini ambayo imetumika kama kilainishi na silaha ya kuwafunga watu watawalike kirahisi. Wakionewa waone kawaida au...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nchimbi, Huwezi Kuwa Askari Unayeitelekeza Tanzania Wakati wa Mapambano Kama Sasa

    Ndugu Nchimbi kwanza nikupe pongezi nyingi kwa kuondoka kifungoni. Awali nilitangaza humu kwamba ningefungua masikio yangu yote nisikilize uliyokuwa ukiyaseama baada ya maneno uliyosema kuhusu waTanzania waidai katiba kwa nguvu zao zote.. Maana yangu ya kufungua masikio, nilitaka niwe na...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Dr. Alex Malasusa unajua VC wa TUMA hajalipa mishara mpk leo wakati yeye akiwa anakula maisha?

    Yule bwana Faustine Mahali siyo mtu, amemtoa mtoto wake sadaka akiwa ana uhusiano na binti moja wa KIBENA ndg wa mke wake anaitwa KISAVYAKE. Mpaka leo hajalipa mishahara akiwa nje ya ofisi anakula maisha. Mwaka jana kuanzia mwezi wa 8 mpk wa 12 hakulipa mishahara. Hv kanisa KKKT ni la...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu: Nimesikia Mbowe yuko kwenye uzinduzi wa bwawa, wakati Mwenyekiti wake yuko Ukonga

    Kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu inaendelea Jumatatu Agosti 24 ambapo mshtakiwa anajitetea mbele ya mahakama. Lissu: Ukiangalia miaka kabla ya 2020 tume imekuwa ikifanya hivyo. Lakini 2020 kuna matokeo ya urais hayakuchapishwa. Sina uhakika kama ya mwaka jana...
  16. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Kitambaa cheupe, sijui ni nini kinaendelea ila wakati mwingine Maisha ni Bahati tu

    Sijawahi kikutana na huyu Dada, ila nakumbuka tokea enzi za fastjet, mpaka ki grocery kwenye frame moja pale tabata, mpaka baa kubwa, Tabata, sinza na mbagala, Mara kuna ile microfinance, mara ile biashara ya Real estate na kadhalika. Sijui ila kimpangia mtu maisha sio vyema nadhani huyu Dada...
  17. I

    JamiiForums Tanzania Iran ngoma inazidi kuwa nzito wakati vikwazo vikianza kuuma.

    Mauzo ya mafuta ya Iran kwenda China yaporomoka kutokana na shinikizo la Marekani. Wakati shinikizo la kiuchumi la Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran likiendelea kuongezeka, usambazaji wa mafuta ghafi ya Iran kwa wanunuzi wa China umepungua kwa kiasi kikubwa huku bei zikipanda; hali...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania KERO Ni nani atatuambia ukweli wa kwanini umeme unakatika kila siku Dar wakati wowote?

    Nyumbani sina jenereta la kufua umeme. Hivyo, Sasa hivi naogopa kuangalia mechi muhimu nyumbani kwangu kwa kuogopa umeme unaweza kukatika wakati wowote kabla ya mechi au katikati ya mechi. badala yake inanilazimu kwenda bar ambazo zina backup/standby jenereta kama umeme wa TANESCO utakatika muda...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Project? Wakati MwanaHALISI likifungiwa, gazeti la Mchange laendelea kumsakama ‘Yuda’. Haligusiki

    Gazeti hili la Jamvi La Habari, linalomilikiwa na Habibu Mchange haligusiki. Limekuwa likichapisha mambo ya ovyo, na hakuna anayeligusa. Hili gazeti kwa Awamu ya 6 nalifananisha na ‘Tanzanite’ la Awamu ya 5. Watu wa Mfumo wamekosa ubunifu kiasi hiki? Hii ndo thinktank yao? UONGO: Malecela...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Speed 50km/h na speed 80km/h na upana wa Barbara zetu ni tumepitwa na wakati

    Suala la speed limit Tanzania lina miaka mingi na experience yangu speed limit ipo karibu Kila nchi, na hata upana wa Barbara zetu zinazojengwa tanzania bado ukitazama vyema ni kama zimepitwa na wakati . Mfano nafananisha Zimbabwe na Tanzania kwenye haya mambo, eneo ambalo unatumia dkk 30...
Back
Top Bottom