mambo ya kuzingatia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jerrytz

    Mambo ya kuzingatia unapoanzisha mahuasiano na ''Single Mother''

    Mara kadhaa nimeona mijadala humu kuhusiana na single mothers, kwa wengi imekuwa ni ushujaa kuwasema vibaya hawa wanawake wenye mtoto ama watoto na kwa kweli walioamua kulea watoto wao bila uwepo wa baba. Kuwa single mother sio kilema, sio upungufu wa akili ni matokeo tu ya maisha, kifo ama...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Mambo ya kuzingatia utapoamua kujiunga na Wahuni au genge la Wanywa Damu za Watu

    MAMBO YA KUZINGATIA UTAKAPOAMUA KUJIUNGA NA WAHUNI ÀU GENGE LA WANYWA DAMU ZA WATU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Sasa umekua Mkubwa. Ni kama maisha huyaelewi hivi. Umejaribu kufuata sheria na formula ulizopewa na wazazi au walezi wako lakini umeona hazifanyi kazi yaani ni useless kama sio...
  3. Wizara ya Afya Tanzania

    Mambo ya kuzingatia katika Kudhibiti Mbu waenezao Malaria, Uchunguzi wa Ugonjwa na Tiba sahihi ya Malaria

    Mambo muhimu juu ya udhibiti wa Mbu waenezao Malaria kwa njia za Utangamano; Matumizi sahihi ya Vyandarua vyenye dawa kwa kila mwanajamii kila siku Upulizaji viuatilifu ukoko kwenye kuta ndani ya nyumba ni njia fanisi ya kuua mbu waenezao malaria na hivyo kupunguza maambukizi ya malaria...
  4. matunduizi

    Mambo ya kuzingatia kabla hujasoma Biblia

    1: Biblia sio kitabu cha kidini Sio kitabu cha kubishania, Ni maelezo ya Mungu mfalme aliyeumba sio tu dunia bali trillions za sayari zenye viumbe wasiohesabika. Hiyo lazima uyasome kwa adabu. 2: Usiende na ajenda yako mfukoni. Nenda kama mualikwa wa ikulu ya mbinguni kusikiliza hotuba na...
  5. ras jeff kapita

    Mambo ya kuzingatia maishani

    Muabudu Mungu ipasavyo, tafuta hela za kutosha, fanya mazoezi, jali familia yako, Mpende mkeo, kula bata, saidia wengine, jiepushe na ugonvi jielimishe kadiri uwezavyo jaribu kuitafuta talanta yako (kipaji) epuka jinai. Mengine mnaweza kuongezea.
  6. Ndege Tai

    Mambo ya kuzingatia katika safari za maisha yako hususani kwa sisi vijana

    Hakikisha haya mambo yanakua Siri kwako; 1. Masuala ya mahusiano yako Hii haikumaanisha kujua status kwamba umeoa au umeolewa,hii imelenga watu ambao wanapenda kuongelea masuala ya mausiano yao mfano mwanaume kutangaza madhaifu ya mke wako kwa watu 2. Hali yako ya kifedha 3. Matatizo ya familia...
  7. Mkwawe

    Mambo ya kuzingatia kwa waleta simulizi na wafuatiliaji wake

    'Chai' Aisee hili neno linakata mdadi sana humu jamiiforums. Mtu ameamua kuleta kisa chake ambacho anaamini kwa uzoefu alioupitia anaweza kuwasaidia watu wengine kimtazamo na yeye binafsi kupata mawazo mapya maana kujifunza hakujawahi kuisha. Binafsi mimi ni mpenzi sana wa simulizi hasa mikasa...
  8. Azniv Protingas

    Mambo ya kuzingatia unapotaka kuanzisha biashara

    Unapoanza biashara, kuna mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia ili kuongeza uwezekano wa mafanikio. Kuanzisha biashara ni hatua kubwa na yenye changamoto, lakini pia inaweza kuwa fursa nzuri ya kufanikiwa na kufikia malengo yako. Hapa kuna mambo muhimu ya kuzingatia wakati unapoanza biashara: 1...
  9. J

    Mambo ya kuzingatia kupunguza magonjwa yasio ambukizwa

    NJIA KUMI ZA KUZUIA MAGOJWA YASIYO AMBUKIZWA Magonjwa yasiyambukizwa ni magonjwa yasiyo na vimelea vinavyoweza kusambazwa.Mfano ni magonjwa sugu ya njia ya hewa ,kisukari,kuoza meno,magonjwa sugu ya njia ya hewa ,kisukari ,kuoza meno nakadhalika. Zifuatazo ni njia za kupunguza magonjwa...
  10. Jaji Mfawidhi

    Mambo ya kuzingatia ukifikia nyumbani kwa mtu

    1. NJOO NA MAHITAJI YAKO MADOGO-DOGO Njoo na mswaki wako, sabuni yako ya kuogea na dawa yako ya meno, taulo na mahitaji yako mengine madogo-madogo. Kuna wageni wanaomba hadi nguo za...... kwa wenyeji ,sio vizuri. 2. USIFUNGUE FRIJI WALA MAKABATI Usifungue friji ya wenyeji au makabati bila...
  11. daydreamerTZ

    Fahamu kuhusu hisa za kampuni binafsi (shares of private company)

    HISA ZA KAMPUNI BINAFSI Hisa za kampuni binafsi ni hisa zinazomilikiwa na watu wachache ambao wamealikwa na kampuni kushiriki katika umiliki wake. Kampuni binafsi mara nyingi hazina nia ya kuorodheshwa kwenye soko la hisa na kuuza hisa zao kwa umma. Kwa kawaida, hisa za kampuni binafsi...
  12. MwakiIV

    Mambo ya kuzingatia kwa wahitimu wa vyuo na watafuta ajira

    Umesoma mpaka level ya Diploma ama Degree. Je, kuna ujuzi/ maarifa gani umejifunza kibinafsi ili ikuwezeshe kupata ajira au biashara yako mpya kesho? Soko la ajira au ulimwengu wa biashara unataka ujuzi au maarifa ya ziada, husiwe na kitu ambacho kila mmoja anacho. Mara nyingi vitu vya aina...
  13. BARD AI

    Mambo ya Kuzingatia ili Wananchi watoe taarifa kwa Uhuru

    Wajibu wa kutoa taarifa juu ya uhalifu ni wa kila mmoja wetu ambaye anajua au amesikia kuhusiana na tukio lolote la kijinai. Tumeona katika makala iliyopita juu ya changamoto zinazowafanya watu au wananchi kutokuwa wepesi kutoa taarifa za uhalifu katika maeneo yao. Leo tunaangalia juu ya mambo...
  14. Kiboko ya Jiwe

    Mambo ya kuzingatia unapotaka kuwa nabii wa kizazi kipya

    Ninaposema nabii wa kizazi kipya namaanisha nabii ambaye amekuja kwa lengo lake mwenyewe, yaani hajatumwa. Sasa nini unatakiwa uwe navyo ili usichokwe haraka? 1. Sauti ngumu. 2. Kuwa mbunifu wa kutafuta majina mazuri ya ibada. Kila wiki unaleta jina jipya, mara ibada ya ukombozi, ibada ya...
  15. C

    Ni mambo gani ya kuzingatia wakati wa kuchagua mwenza na uchumba unapaswa kudumu kwa muda gani kabla ya kufunga ndoa?

    Ukisoma threads nyingi hapa jukwaani zinahusu mahusiano ya wanandoa, utagundua kwamba wengi waliingia bila kujua ni nini hasa walipaswa kufanya kabla ya kufikia maamzi mazito ya kuoana. Niwaombe mliopo kwenye ndoa mtusaidie mambo kadhaa tunayotakiwa kujua hasa wakati wa uchumba na je, uchumba...
  16. Sea Beast

    Mambo ya kuzingatia unapotaka kuanzisha Mobile App au Startup Company

    Tech sasa hivi ndio industry yenye pesa Duniani kuliko industry yoyote, zamani visima vya mafuta ndio ilikuwa habari ila kwa sasa tech ndio kisima cha mafuta na DATA ndio mafuta, ukitaka kufanikiwa miliki DATA the way unavyozidi kuwa na DATA nyingi na ndio utajiri wako unaongezeka makampuni kama...
  17. LegalGentleman

    Mambo ya kuzingatia EAC kwa wanaogombea ubunge EAC

    KWA WABUNGE WANAOMBA KURA KUWAKILISHA BUNGE LA EAC HAYA MAMBO MUHIMU SANA YA KUZINGATIA "Asiyekubali kushindwa huyo sio mshindani" Binafsi nianze kwakukipongeza chama cha mapinduzi (CCM) kwa namna nzuri iliyotumika katika kuwapata wagombea ubunge wa Afrika Mashariki kwa ngazi ya chama. Hakika...
  18. V

    SoC02 Mambo ya kuzingatia ili kuweza kutajirika kwa kuwekeza kwenye soko la hisa

    Muhtasari: Dhumuni la nakala hii ni kuelimisha jamii kuhusiana na kanuni za kuzingatia ili kuweza kutajirika kwa kuwekeza kwenye soko la hisa. Pia, kutoa hamasa kwa vijana na wajasiriamali mbalimbali kukuza mitaji na utajiri kwa kuwekeza kwenye soko la hisa la Dar es Salaam...
  19. Boss Man

    Mambo ya kuzingatia ukiwa katika nchi za bara la Asia, Ulaya na Marekani

    Ndugu Watanganyika Mungu ni Mwema, sifa kwake kwa kutujalia Uhai Ikiwa una Mpango wa kwenda nchi yeyote Ile Duniani hasa Nje ya bara la Afrika jitahidi kuijua nchi hiyo japo kwa machache mambo ya kuzingatia ukiwa huko pamoja na tamaduni zao, kufanya hivyo itakusaidia sana kuishi kwa amani na...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Mambo ya kuzingatia wakati wa Kula chakula mkiwa jumuiya!

    MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA KULA CHAKULA MKIWA KWENYE JUMUIYA! Anaandika Robert Heriel. Kula chakula napo kunauungwana wake, ambao hauna budi kufuatwa, hasa ukiwa unakula watu zaidi ya mmoja, iwe ni kwenye familia, Ugenini,kwenye matukio Kama HARUSINI, misibani n.k. Kula kitasha inaweza...
Back
Top Bottom