hamas

Hamas (Arabic: حماس Ḥamās, an acronym of حركة المقاومة الاسلامية Ḥarakat al-Muqāwamah al-ʾIslāmiyyah [Islamic Resistance Movement]) is a Palestinian Sunni-Islamic fundamentalist but pragmatic, militant, and nationalist organization. It has a social service wing, Dawah, and a military wing, the Izz ad-Din al-Qassam Brigades. It won the 2006 Palestinian legislative election and became the de facto governing authority of the Gaza Strip following the 2007 Battle of Gaza. Israel and Hamas have since engaged in several wars of varying intensity. Canada, the European Union, Israel, Japan and the United States classify Hamas as a terrorist organization. Australia, New Zealand, Paraguay and the United Kingdom classify only its military wing as a terrorist organization. It is not considered a terrorist organization by Brazil, China, Egypt, Iran, Norway, Qatar, Russia, Syria and Turkey. In December 2018, the United Nations General Assembly rejected a U.S. resolution condemning Hamas as a terrorist organization.Hamas was founded in 1987, soon after the First Intifada broke out, as an offshoot of the Egyptian Muslim Brotherhood which in its Gaza branch had previously been nonconfrontational toward Israel and hostile to the Palestine Liberation Organization (PLO). Co-founder Sheik Ahmed Yassin said in 1987, and the Hamas Charter affirmed in 1988, that Hamas was founded to liberate Palestine, including modern-day Israel, from Israeli occupation and to establish an Islamic state in the area that is now Israel, the West Bank and the Gaza Strip. Since 1994, the group has frequently stated that it would accept a truce if Israel withdraws to the 1967 borders paid reparations, allowed free elections in the territories, and the right of return of Palestinian refugees.Hamas's military wing has launched attacks against Israeli civilians and soldiers, often describing them as retaliatory, in particular for assassinations of the upper echelon of their leadership. Tactics have included suicide bombings and, since 2001, rocket attacks Hamas's rocket arsenal, though mainly consisting of short-range homemade Qassam rockets with a range of 16 km, also includes Grad-type rockets (21 km by 2009) and longer-range (40 km) if unreliably aimed rockets that have reached major Israeli towns such as Beer Sheva and Ashdod, and some that have struck cities like Tel Aviv and Haifa. Human Rights Watch has condemned as war crimes and crimes against humanity both Hamas and Israel for attacks on civilians during the conflict, stating that the rationale of reprisals is never valid when civilians are targeted.In the January 2006 Palestinian parliamentary elections, Hamas won a majority in the Palestinian Parliament, defeating the PLO-affiliated Fatah party. After the elections, the Quartet (the European Union, Russia, the United Nations and the United States) made future foreign assistance to the Palestinian National Authority (PNA) conditional upon the PNA's commitment to nonviolence, recognition of the state of Israel, and acceptance of previous agreements. Hamas rejected those conditions, which led the Quartet to suspend its foreign assistance program and Israel to impose economic sanctions on the Hamas-led administration. In March 2007, a national unity government headed by Prime Minister Ismail Haniyeh of Hamas was briefly formed, but this failed to restart international financial assistance. Tensions over control of Palestinian security forces soon erupted in the 2007 Battle of Gaza, after which Hamas took control of Gaza, while its officials were ousted from government positions in the West Bank. Israel and Egypt then imposed an economic blockade of the Gaza Strip on the grounds that Fatah forces were no longer providing security there.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wakijipanga upya kuivamia Israel ikiwatumia watoto zaidi!!

    Baada ya magaidi wa Hamas kushindwa vibaya kwenye uvamizi wao wa Oct 07,2023 sasa magaidi hao wanajiandaa upya kwa Oct 7 nyingine!! Safari hii inawatoa kafara vijana na watoto wadogo ili wakafe SHAHIDI wakiaminishwa wataenda kukabidhiwa Mabikira 72 wawabikiri na kuwa huko watakuta Mito yenye...
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Ujasusi: Mauaji ya afisa wa ngazi za juu wa Hamas yaliyorekodiwa kwenye CCTV za jiji la Dubai

    Dubai ni sehemu ambayo wengi wetu hutamani kwenda kutokana na Hali na hadhi ya kuwa jiji la kifahari Duniani .. majengo Mazuri kama Burj khalifa, , ulinzi mkali hoteli za kifahari kiwanja kizuri cha ndege na mambo mengi yanayofurahisha na kuufariji moyo.... Lakini kwa wakati mmoja jiji la Dubai...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Sasa Rasmi Mkuu wa Hamas, Izz al-Din al-Haddad kaangamizwa!!

    IMETHIBITISHWA: Mkuu wa Hamas, Izz al-Din al-Haddad, ameangamizwa bila huruma huko Gaza. Hii inadhibitisha wazi kuwa Israel ina mkono mrefu!! Habari za kifo hiki ziwafikie Mzee wa Uharo Ritz Adiosamigo mdogo gallow bird gTurn na Wafuga Midevu na Majini Popote walipo duniani mipango ya mazishi...
  4. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas waendelea kuangamizwa huko Gaza!!

    Usiku mmoja, Israeli ililenga kituo cha polisi cha Hamas karibu na Makki Square katika kambi ya al-Maghazi katikati mwa Gaza. Magaidi 3 waliuawa. Leo, Israeli ilifanya shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye gari aina ya Jeep la Tucson kaskazini magharibi mwa Khan Yunis kusini mwa Gaza...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania GRAPHIC-VIDEO: Kituo cha Polisi kinachosimamiwa na Hamas chashambuliwa!!

    Shambulio lililolengwa na Israeli lilipiga kituo cha polisi cha Hamas huko Sheikh Radwan, kaskazini mwa Gaza. Angalau magaidi 2 waliuawa na wengine 3 walijeruhiwa vibaya kwa kufumuliwa makalio yao hakuna uwezekano wa wao kupona. Shambulio hilo lilifuatia baada ya magaidi hao kuvishambulia...
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Miaka 2 na miezi kadhaa imepita sasa tangu Mtanzania Joshua Mollel alivyouawa na kikundi cha kigaidi cha Hamas

    October 7th, 2023 mwanafunzi wa miaka 21 Joshua Mollel kutoka Tanzania aliuliwa kikatili na kikundi cha kigaidi cha Hamas Joshua alikuwa ni mwanafunzi wa Agriculture nchini Israel, hakuwa sehemu ya vita vya Israel vs Palestine, hakuwa tishio, hakuwa adui, lakini Hamas walipomkamata walimuua...
  7. Zacht

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Kuna ripoti ya uchunguzi imetolewa (BIBI FILES) wakati vita ikiendelea kati ya Iran na Israel. Ripoti hiyo ni video inayomuonyesha Netanyahu akifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha. Katika ripoti hiyo, Netanyahu anakiri kuwa alitoa ufadhili wa kifedha...
  8. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Jinsi mwanadiplomasia wa Hamas alivyotekwa jijini Brussels na Majasusi wa Mossad wakati wa mkutano wa U.N

    Brussels, Ubelgiji. Tarehe 3 Novemba 1995. Yupo Mwanadiplomasia mmoja wa Hamas siku hii alikuwa anatoka kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa uliokuwa ukijadili kuhusu wakimbizi wa Palestina. Sasa akawa Anaangalia saa yake ya mkononi akifikiria kuhusu sehemu aliyopanga kwenda kula chakula cha...
  9. Echolima1

    JamiiForums Tanzania GRAPHIC-VIDEO-Magaidi wawili wa Hamas wauawa huko Gaza

    Magaidi waliokuwa wanatafutwa na Majeshi ya Israel kwa mauaji ya Oct 07,2023 hatimaye nao jana walipatikana na kuuwawa walipokuwa kwenye Gari lao. Adiosamigo gallow bird zitto junior na 100 others Tunawasikia wakiongea lugha ya majini wengine lugha hiyo hatuijui kwa faida ya wengi tunaomba...
  10. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Makosa makubwa ya Iran ni kuasisi tukio la Oktoba 7, 2023 kupitia Hamas

    Mauaji ya Oktoba 7: Kosa Kubwa la Kijeshi 1. Mkakati wa Mhimili wa Upinzani Mashambulizi yalipangwa kulazimisha Israel kuingia Gaza kwa uvamizi wa ardhini. Lengo lilikuwa kuchochea hasira za Waarabu na kuanzisha mashambulizi ya pande nyingi kutoka washirika wa Iran. Iran iliwekeza zaidi ya...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas huko Gaza wanapata taabu sana tuwaombee tu!!!

    Magaidi wa Hamas baada ya kusimamisha mapigano walijikusanya kwenye Gorofa moja ili wajipange upya kuishambulia Israel. Matokeo yake yalikuwa mabaya sana kwa waliuwawa wote waliokuwa ndani ya jengo hilo na sasa kuna uwezekano kama ni kweli wamekabidhiwq wale mabikira fake ili wawabikiri!!!!
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas sasa hivi wanapata kipondo cha Mbwa mwili huko Gaza!!!

    Wakati Iran anatandikwa na Marekani wakati huohuo Magaidi wa Hamas nao wanapata kipigo cha mbwa-mwili huko Gaza!!!! Safari hii Magaidi wa Hamas,Hezbollah, Houth na Bwana wao Iran wanapata kipigo kwa pamoja!!! Yajayo 6anafurahisha!!! https://x.com/vividprowess/status/2017590868220280929?s=61
  13. Echolima1

    JamiiForums Tanzania BENJAMIN NETANYAHU aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran

    🚨 WAZIRI MKUU NETANYAHU: aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran. Akizungumza katika kikao cha bunge, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alielezea msimamo wa Israeli kwa maneno yasiyopingika: • Wanajeshi wa Uturuki au Qatar hawatakanyaga Gaza • Katika awamu ya pili, Hamas itanyang'anywa silaha na...
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Uislamu na Amani, asema mtoto wa Hamas

  15. M

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa Hamas hakamatwi kama kuku

    Nchi ya kiislam hawezi kiongozi wake kukamatwa kama kuku kama vile Maduro.
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Magaidi wa Hamas wakiri Makamanda wao Mahiri waliangamizwa bila huruma huko Gaza!!!!

    Hamas inatangaza rasmi safu ya maafisa wakuu ambao waliangamizwa katika miezi ya hivi karibuni (kwa mpangilio kutoka kushoto kwenda kulia): Abu Ubaida - Msemaji wa Hamas Ra'ad Saad - Mkuu wa wafanyakazi wa uzalishaji Hakim Alais (Abu Omar Al-Suri) Mohammad Shabana - Amiri wa Rafah Mohammad...
  17. Q

    JamiiForums Tanzania GenZ: CCM hakina tofauti na kikundi cha kigaidi cha HAMAS, kinafadhili vikundi vya kigaidi, dunia ikipige marufuku

    Chama cha Mapinduzi CCM kimeanzisha, kinafadhili, kuendesha, na kulinda vikundi vyenye silaha nchini chini ya tawi lake la vijana UVCCM. Makundi haya yanatumika kuendesha utekaji, mateso kwa Watanzania wasio na hatia. CCM kupitia vikundi hivi vya kigaidi kinawanyanyasa na kuwateka viongozi wa...
  18. adriz

    JamiiForums Tanzania Sababu za kuwapinga Hamas japokuwa Mimi Muislamu na wanaonewa ndio hizohizo ninazotumia kupinga Maandamano pamoja na utanzania wangu.

    Moja kwa moja. Baada ya tukio la October 7 Hamas kushambulia Israel nilikuwa kinyume na Waislamu wengi wa Jf katika mijadala ya humu tokea siku ya kwanza , na supporters wa Hamas walinipinga wakidai. 1. WaPalestina wanaonewa kila siku kwa miaka mingi tena kwa dhuluma hivyo lazima wapambane...
  19. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Jeshi la IDF linaendelea kuwashambulia Hamas

    Baada ya Hamas kushindwa vita waliyoianzisha wao wenyewe Oct 07,2023 sasa hivi wanafuatwa popote walipo na kuuwawa na wengine waliokuwa wamebaki kwenye mahandaki Njaa imeanza kuwatoa huko na wanaojisalimisha wanatiwa mbaroni na wanaokaidi wanaangamizwa papa kwa papo. Sasa hivi hakuna...
  20. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Hatimae Mwili wa Marehemu Joshua Mollel warejeshwa na Magaidi wa Hamas wenye vina saba na Chama Cha Mauwaji

    Joshua Loitu Mollel (Picha Kwa Hisani ya Maktaba) Mabaki yaliyorejeshwa kutoka Gaza hadi Israel usiku kucha yalitambuliwa kuwa ya raia wa Tanzania Joshua Loitu Mollel, mamlaka ya Israel ilisema Alhamisi. Wawakilishi wa Jeshi na Wizara ya Mambo ya Nje waliifahamisha familia ya Mollel kwamba...
Back
Top Bottom