wajua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania WATANZANIA kwa hizi Tume mbili haifai tuamini hakutoa amry yamauaji ILA aliujumiwa na hasio wajua?

    Mpaka Leo Samia suluhu hajui aliyetoa amri ya mauaji ni nani, JE watanzania hatuamini yakuwa mama yetu kipenzi hakuusika katika ushenzini huu? Nakutabilia ushindi mama Samia jipange icc court
  2. pulex

    JamiiForums Tanzania Je wajua Tanzania ndo nchi ya pekee Africa yenye visima /hifadhi ya gesi kubwa lakini karibu hifadhi au visima vyake vyote haina umiliki navyo?

    Tanzania imemilikisha au kuuza hifadhi za gesi kwa mashirika au kampuni za nje na haina umiliki wa asilimia zozote badala yake wamegewa haki ya kushiriki kupitia TPDC ila hawana umiliki, na baadhi ya visima/hifadhi wameficha taarifa za umiliki, ni huzuni sana. Visima au hifadhi...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Chuki ni Ugonjwa?. Chuki ni Ugonjwa Hatari Unaua!, na Unaoambukiza kwa Kasi!. Watanzania Tuacheni Chuki!, Tiba Yake ni Upendo!. Adui Mpende!

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo, nikiwahimiza Watanzania, tuache chuki, ni ugonjwa hatari unao eneo kwa kasi kwenye taifa letu, uliokolezwa na kilichotokea October 29. Je ni wangapi miongoni mwetu, wajua kuwa chuki ikizidi ni ugonjwa?. Chuki ni ugonjwa...
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je, Wajua Kanuni za Bunge Zina Makosa?. Spika wa Bunge ni Bonge la Dikiteta! Uamuzi Wake ni wa Mwisho, Final and Conclusive, Hata Kama Sio wa Haki

    Wanabodi, Huu ni uzi wa kuelimishana, Uzalendo wa kweli wa nchi yako, ni pale unapobaini kuna makosa mahali, unakosoa, na kutoa ushauri namna ya kurekebishasha makosa hayo. Kwa muda mrefu, sisi humu tumekuwa tukilalamikia hoja mbalimbali kuhusu uendeshaji wa Bunge letu, ukiwemo udikiteta wa ma...
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je Wajua, Rais kama Taasisi, Hakosei?, Ila Rais Kama Binadamu, Anaweza Kukosea na Ana Haki ya Kukosea. Kufanya Kosa Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa-Mw. JKN

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano ya leo ni kuwaelimisha Watanzania kuwa kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977. Rais wa JMT kama Taasisi ya urais, hakosei, na hata akikosea na kufanya kosa lolote, linakuwa sio kosa!, ila Rais kama binadamu, anaweza kukosea...
  6. Morning Joy Motors

    JamiiForums Tanzania Je , wajua maana ya taa za viashiria hivi kwenye dashboard ya gari yako na rangi hizi zinavyomaanisha.? Soma hapa tumekuwekea ufafanuzi.

    Kikawaida kuna rangi tatu za taa kwenye dashboard ya gari yako. Rangi hizi standard : red, orange, na green. Zingatia kwamba green wakati mwingine huwa ni blue, inategemea na aina ya gari uliyonayo ila haibadilishi maana halisi ya ka,zi yake ni kama tu vile huwa magari mengine symbol ya...
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Je wajua!?: Hirizi nazo hufanyiwa service? Na zina expire date?

    Kama uonavyo kwenye makampuni ama viwanda vya kutengeneza vitu mbalimbali na kwenye ulimwengu wa giza ni hivyo hivyo!? Kuna maduka maalum ya kuuza zana na vipuri vya tunguri Kuna watu maalum wa kusuka tunguli kulingana na mahitaji ya mteja Kuna wauza tunguli feki na original Kuna tunguli used...
  8. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Dr faza Kitima, hamtamki Dr Samia na Dr Nchemba kama Dr je WAJUA kwa Nini? Elimu ya ZAWADI Haina mvuto

    Nina jua madhara ya andiko kama langu maana aliyehoji elimu ya Magufuli alitekwa na KUPOTEZwa mpaka Leo Sina amani ya kusema Ben Saanane kamwe Inaumiza kwa elimu za kibongo zilivyongumu Kuona mtu anapewa updh una UMMA sana Mimi niliwai Kuoji hivi mwigulu na Dr Jafo wakiwa mawaziri waliwezaje...
  9. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Je, wajua? Wasio Waislamu hawaruhusiwi kukanyaga Makka?

    Katika Nchi ya Saudi Arabia, Eneo la Makka inachukuliwa kuwa mji mtakatifu zaidi katika Uislamu. Ndiko kunakopatikana Msikiti wa Masjid al-Haram, ambako ipo Kaaba (Lile jiwe linalozungushiwa kitambaa cheusi ambalo waumini ulizunguka). Hapo ndio kitovu cha kiroho cha Uislamu, na Waislamu duniani...
  10. Morning Joy Motors

    JamiiForums Tanzania JE WAJUA NI MUDA GANI UNAPASWA KUBADILI OIL FILTER YA GARI YAKO?

    Namna ya kufahamu Oil filter ya Gari yako Oil filters inapaswa kuwa replaced kila baada ya 6,000–8,000 km (ambapo kwa wengi ni 12 months), typically kila unapofanya oil change. Viashiria muhimu vinavyo ashiria oil filter yako kuwa mbovu : Pressure ndogo ya oil Engine kukosa nguvu...
  11. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, wajua umalaya, uzinzi wala ulevi siyo dhambi?

    Dhambi ni kutolijua Neno la Mungu. Ukilijua Neno la Mungu, ukalielewa, ukalishika, litakuweka huru kweli kweli. Utakuwa huru na dhambi zote za duniani. Hutozini. Hutolewi. Hutofanya umalaya. Hutokuwa mmbea. Hutokuwa msengenya. Hutokuwa mfura. Hutofanya dhambi. Kwa kifupi, ukisikia dhambi...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Wajua Tanzania Haijawahi Kuwa na Katiba ya Wananchi?. Katiba Hii Iliyopo ni ya CCM!, Pongezi Katiba ya Samia, Ndio Katiba ya Kwanza ya Wananchi!.

    Wanabodi, Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, Utangulizi: Bandiko hili ni bandiko la manifestation ya Katiba mpya, japo hata mchakato wa Katiba mpya bado haujaanza, bandito linatoa pongezi kwa Katiba mpya ya Samia!, hii ni kufuatia kushindikana kwa mchakato wa Katiba mpya ya...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Utofauti wa Maandamano ya Sasa huko Iran, na Maandamano yaliyotangulia dhidi ya Utawala wa Kiayatollah?

    Baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya 1979, Utawala wa Kiayatollah umekumbwa na maandamano mwaka 1999, 2009-2010; 2017-2018; 2019 na 2022-2023. Katika maandamano hayo yote sababu kubwa zimekuwa madai ya Haki za Msingi kwa Wananchi na Mabadiliko ya Mfumo wa Kisiasa. Kwa sehemu kubwa maandamano hayo...
  14. Silivian

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, wajua?

    Unajua sifa ya mwanamke mwenye asili ya unyevu nyevu mikononi? •Ana hisia kali za mapenzi •kizazi chake kipo karibu ni rahisi kupata mimba •huwezi kumdhuru(hata ukiwa na nia ya kutaka kumfanya kitu kibaya mwisho mtaishia maongezi tu)
  15. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Je wajua kuwa Pweza wana mioyo mitatu, bongo tisa na damu ya rangi ya bluu?

    Ukweli ambao watu wengi hawaujui kuhusu Pweza ni kwamba ni kiumbe pekee cha majini chenye mioyo mitatu. Mioyo miwili husukuma damu kwenda kwenye mapafu ya baharini (gills), na moyo mmoja husukuma damu kwenda sehemu nyingine za mwili. Damu yake ina rangi ya bluu kwa sababu hutumia madini ya shaba...
  16. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Je wajua asili ya neno Punyeto?

    Asili ya neno punyeto Neno punyeto katika Kiswahili linamaanisha kujichua / kujichezea sehemu za siri. Asili yake Punyeto limetokana na Kireno (Portuguese) Neno la asili ni punheta, ambalo pia linamaanisha masturbation kwa Kireno. Jinsi lilivyoingia Kiswahilini Wareno walifika na kutawala...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya neno “MAMA” kwa makabila mengi hapa nchini ni "NYOKO"

    Neno mama:- 1. Kwa kiha (watu wa Kigoma) ni "nyoko". Mfano. (a) Ndamhamagala nyoko wawe (namuita mama yako). (b) Jewe ndi nyoko wawe (mimi ni mama yako). 2. Kwa lahaja nyingi za kiswahili; neno "mama" ni nyoko. Mfano. K*ma"nyoko" ni tusi la kiswahili lenye muunganiko wa maneno mawili; "k*ma" na...
  18. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Je, wajua nusu Hekta unaweza kuvuna gunia hamsini za mahindi?

    Nimehuzunika mno kuona watu wanafanya kilimo bila kuwa na mafanikio kwa mda mrefu. Japokuwa watu wamejikita sana kwenye kilimo kwa mda mrefu lakini wameambulia kuchoka haswaa. Lengo la uzi huu ni kuwashauri na kuwatia moyo wakulima kuwa wanao uwezo wa kulima nusu hekta na kuvuna gunia hamsini...
  19. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Askofu usikubali kumsujudia shetani wajua wanawinda kichwa chako

    Wajua nini chakusema. Bakia palepale guy. Miye nilikuambia Siku Ile uhame pale wajua nini kingetokea kama usingehama. Leo wamekuwekea mtego hapo kwako Kesho wakunase. Au wajuemo wapi uko. Bakia humohumo. Mulemule mayi. Hutaki utekaji siye pia. Nye Nye Nye. Hiyo hutuba uliyoletewa usisome. Wape...
  20. President of China

    JamiiForums Tanzania Je, wajua CCT (Christian Council of Tanzania) ilianzishwa 1934 wakati TEC (Tanzania Episcopal Conference) ilianzishwa 1969?

    Tanzania ina historia ndefu ya ushirikiano wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo kupitia mashirika yenye misingi ya kijumuiya na kidini. Mbali na mchango wa makanisa binafsi katika jamii, kuwepo kwa mashirika kama Christian Council of Tanzania (CCT) na Tanzania Episcopal Conference (TEC)...
Back
Top Bottom