ronaldo

  1. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kilikuwa kikosi cha Ureno cha vidume, acha hawa wapiga picha za insta. Hawa ndio waliji submit kwa Ronaldo na kucheza kama timu

  2. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Ronaldo: Kubeba Euro 2016 kwangu ni sawa na World Cup tu

    Baada ya Portugal kutolewa na Spain kwenye World Cup 2026, Cristiano Ronaldo alisema Euro 2016 kwake ina uzito sawa na World Cup. “Watu wanaweza kusema chochote wanachotaka… lakini kwangu, kuipa Portugal Euro ilikuwa na uzito sawa na World Cup kwa hiyo, nina furaha.” alisikika "MBUZI" huyo.
  3. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Kuhusu neymar kustaafu, nime mfikiria sana Ronaldo, huyu jamaa aheshimiwe sana

    Neymar anastaafu soka la kimataifa akiwa na umri mdogo sana, sijui shida Nini, hapo ndo napo mheshimu sana ronaldo
  4. Fene

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ronaldo wa 20's anahesabika bora kuzidi Mbappe wa 20's licha kitakwimu Mbappe yupo juu? Majibu haya hapa

    Je kwanini Ronaldo wa 20's still anaonekana bora licha ya kuwa kitakwimu zinambeba Mbappe Jibu fupi ni: Ronaldo wa 20’s zake alipimwa kwa zaidi ya “namba”, Mbappé anapimwa zaidi kwa “takwimu”. Na hayo mawili si kitu kilekile. Hebu tuchambue 👇 1. Muktadha wa zama (era tofauti) Ronaldo (CR7)...
  5. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Ronaldo Avunja Rekodi ya Eusébio World Cup

    Cristiano Ronaldo sasa ndiye mfungaji bora zaidi wa Portugal kwenye historia ya World Cup 🔥 Baada ya mabao yake mawili dhidi ya Uzbekistan: Ronaldo amefikisha mabao 10 ya World Cup 🔥 Akimvuka gwiji wa zamani wa nchi hiyo Eusébio da Silva Ferreira aliyekuwa na mabao 9 Jamaa anadai amerudi...
  6. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Ronaldo Amaliza Ukame na Kuweka Rekodi Mpya World Cup 🔥

    Cristiano Ronaldo aliisaidia Portugal kuifunga Uzbekistan 5-0 baada ya kufunga mabao 2 kwenye mchezo huo. Mabao hayo: Yamekatisha ukame wake wa mechi 10 bila kufunga kwenye mashindano makubwa. Na pia yakamfanya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga kwenye World Cup 6 tofauti. Ronaldo sasa...
  7. Stunnaman008

    JamiiForums Tanzania Leo Ronaldo ataishangaza dunia

    Leo Ronaldo atafunga mabao 5 peke yake
  8. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Scholes Amtaka Ronaldo kuwa Goalkeeper😃

    Paul Scholes ameibua mjadala mkubwa baada ya kumchana Cristiano Ronaldo kufuatia mwanzo mbovu wa Portugal kwenye World Cup. Akiongea kwenye podcast ya The Good, The Bad & The Football, gwiji huyo wa Manchester United alisema: “ Nadhani ni ngumu kwa kocha… nilimuuliza Roberto Martinez...
  9. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Harry Kane ampiku Ronaldo idadi ya magoli Kombe la Dunia

    Baada ya kutupia mabao mawili jana dhidi ya Croatia, Harry Kane sasa amefikisha mabao 10 ya World Cup na kumuacha Cristiano Ronaldo mwenye mabao 8 😅🔥 Kabla ya World Cup hii kuanza wote walikuwa sawa na mabao 8 lakini Hurricane mwenyewe kaamua kutemana na Penaldo fasta tu ⚽🔥 Captain Kane...
  10. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Drafti: Ronaldo kaisha tangu arudi kutoka ughaibuni, kesho atacheza na Simba Dom kwa aibu atakayoipata hatokaa asahau

    Kuna wakati kulikuwa na ubishi nani mkali kati ya dogo Sisko(jini) na Ronaldo (mwanasayansi) kiukweli kwa kipindi kile angalau angalau angefurukuta ila alikuwa kila akiwekewa dau acheze naye anakimbia au akijua kwenye mashindano Sisko yupo jamaa hashiriki hayo mashindano. Sasa bwana jamaa hapa...
  11. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Messi na Ronaldo wamekutana na kucheza pamoja kama video hii

  12. zachariano alexido

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Cristiano Ronaldo Fans

    Mashabiki wote wa Cristiano Ronaldo tukutane hapa kupiga stori mbili tatu kuhusu maisha, na role model wetu ni mnyamaaaaa
  13. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Ronaldo amesepa Saudia kwenda Hispania kukwepa mabomu ya Iran

  14. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Cristiano Ronaldo na Georgina Rodríguez wametembelea Zanzibar

    Cristiano Ronaldo and Georgina Shine in Zanzibar: A Royal Welcome in Swahili Splendor The turquoise waters of the Indian Ocean sparkled under the morning sun as the island of Zanzibar prepared for an extraordinary moment. Word had spread quickly across Stone Town: Cristiano Ronaldo and his...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Messi kazidiwa na Ronaldo mechi 166, kazidiwa goli 64, na Messi anaongoza kwa assisti 131

    PICHA INAJIELEZA...WAZEE WA MAGOLI MSIJISAHAU ANDUNJE AINAKUJA
  16. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna madogo wawili wanalipuka kutoka carrington huko, ni regeneration ya rooney na ronaldo, tukutane kwenue huu uzu baada ya miaka mitatu minne hivi

  17. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Messi au Ronaldo?

    Kuna watu wengi sana wanasema Messi wengine Ronaldo; wewe unamuona nani mchezaji bora zaidi kati ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi😝
  18. X

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Ronaldo amvisha pete GF wake wa muda mrefu Georgina. Je, amejifunza yaliyomkuta Birdman kwa Toni Braxton?

    Mimi sio nabii ila kama Ronaldo hajamsainisha babe mama wake Georgina mkataba wa prenup kulinda assets zake kabla ya kufunga ndoa na mrembo huyo. Yatamkuta yale ya Birdman kwa mshangazi Toni Braxton au ya mastaa wengine wa kiume. Birdman alijaa kwenye mfumo. Baada ya kuwa kwenye mahusiano na...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rasmi sasa Ronaldo ni mchezaji Bilionea, afikia utajiri wa Dola Bilioni Moja

    Mshindi mara tano wa Ballon d’Or Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza wa mpira wa miguu kufikia utajiri wa USD Bilioni kwa juhudi zake binafsi katika historia ya mchezo huu. Mwaka 2020, kulikuwa na taarifa mitandaoni zikidai kuwa Ronaldo alikuwa tayari amekuwa bilionea. Lakini ukweli ni...
  20. F

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwanadada Azra Ronaldo akutwa amefariki chumbani kwake

    Mwanadada anayefahamika kama Azra (Maarufu kama Ronaldo) amekutwa amefariki dunia ndani kwake kisarawe huku mwili wake ukiwa umevimba, tukio hilo limetokea leo Jumatano Juni 11, 2025 baada ya majirani kubaini harufu katika chumba chake. Mdau wa Michezo Seleman Kaniki ambaye alikuwa akimfahamu...
Back
Top Bottom