Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
  • Sticky
- Seven Pounds Official Movie Trailer HD
23 Reactions
5K Replies
442K Views
  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
47 Reactions
21K Replies
2M Views
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
63 Reactions
20K Replies
2M Views
  • Sticky
YouTube - Kool & The Gang - Let's Go Dancing (Ooh, La, La, La) YouTube - Kool & The Gang - Get Down On It YouTube - Kool & The Gang - Celebration
43 Reactions
666 Replies
162K Views
  • Sticky
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu.... Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki...
41 Reactions
2K Replies
637K Views
  • Sticky
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona, tunazotaka kuziona. Karibuni. Tuanze na Hangover 2. Kwa mujibu wa Rotten Tomatoes naona...
16 Reactions
2K Replies
225K Views
  • Sticky
Album bora ya hiphop ya muda wote ni ipi? Msanii bora wa hiphop wa muda wote ni nani? Wimbo bora wa hiphop wa muda wote? History ya hiphop Records za hiphop Tafsri ya hiphop na utamaduni wa...
7 Reactions
261 Replies
80K Views
Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo. Hivyo tu.
41 Reactions
237 Replies
13K Views
Huku Kwetu nchini Tanzania tunawaita Marapa / Waghani ila kwa wenyewe Wakongo kutoka Kinshasa na Brazaville wanawaita Atalakus na kwa Wafaransa na Kifaransa wanaitwa Animateurs kutokana na umuhimu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
igwe lele le igwe igwe lele le Jina la msanii silijui msaada mwenye kujua
1 Reactions
7 Replies
179 Views
Moja ya kitu kinafelisha bongo series ni kutokua na waandishi wazuri wa series na muvi yaani Screenwriter/Scriptwriters. Mtu kwakua ana stori anayo kichwani basi yeye mwenyewe anaiandikia script...
8 Reactions
99 Replies
2K Views
Nimeweka nyimbo 4 za wapiga solo tofauti kwahiyo unaweza kudownload kusikiliza na kuamua kwako nani mkali. 1. Dally Kimoko 2. Diblo Dibala 3. Nene Tchakou 4. Saladin Twende kazi
3 Reactions
114 Replies
4K Views
Akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyingi anahamasisha mambo yasiyofaa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii. Ombi kwake na...
14 Reactions
75 Replies
1K Views
Nimeanzisha uzi wa nimemsamehe ,nautafuta siuoni
0 Reactions
5 Replies
55 Views
Wale wenzangu na mie tunaochungulia Kenya kwenye tasnia ya muziki, hasahasa muziki wa hawa malijendari Sauti Sol tukutane hapa: (a) Tujuzane the best song of each one humu jf. Kwa kuanzia napenda...
2 Reactions
8 Replies
102 Views
Wadau napenda sana nyimbo zilizokusanya watoto na kuitikia chorus, mara nyingi nyimbo huwa nzuri sana. Mfano ni kama hizi; 1. I'm a thug ya Trick Daddy 2. I can ya Nas 3. Fabulous ya Jaheim 4...
1 Reactions
13 Replies
444 Views
Napenda sana kusoma vitabu, hali hii imenifanya nipende kuandika visa kadhaa ambavyo huwa ni vya kweli, Sina visa vya kutunga.simulizi zote zina ukweli kwa asilimia nyingi.lakini pia...
17 Reactions
419 Replies
54K Views
Hello. Wana jamii naomba mnisaidie majina ya hizi movie au link nizi download.
0 Reactions
2 Replies
116 Views
CHANGE Story by Elton Tonny Urafiki, Familia, Mapenzi, Mahaba, Tamaa, Hila, Usaliti, Unyanyasaji, Ukatili, Mauaji, Mambo yasiyotazamiwa, Mambo yenye kuhofisha R-rated 18+ DISCLAIMER: Hadithi...
10 Reactions
225 Replies
30K Views
Stori: Innocent Killer (The Revenge) Msimuliaji: Bux the story teller Umri: 18+ Sehemu ya Kwanza: NB: Hadithi hii ni ya kubuni na kufikirika haihusiani na maisha ya mtu yeyote, wala taasisi...
12 Reactions
425 Replies
58K Views
Wale wapenzi wa burudani nawaletea filamu zilizochezwa vizuri na wasanii wa hipop (rappers) Tuanze kutililika[emoji94] [emoji419]2pac:juice [emoji419]Ice cube:boyz N the wood [emoji419]Dmx:belly...
3 Reactions
21 Replies
275 Views
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA MTUNZI:SINGANOJR . AGE:18+ NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346 PROLOGUE../DIBAJI...
27 Reactions
3K Replies
982K Views
Simulizi hii inahusu utafutwaji wa NYARAKA namba 72 waweza kuiita DOCUMENT namba 72 ambayo ina siri nzito sana ndani yake. DOCUMENT hiyo inadaiwa kuwa na majina ya watu ambao wanatakiwa...
3 Reactions
70 Replies
6K Views
JF huwa ni moja ya sehemu zangu za kujiburudisha hususani kwa ‘ID’ hii. Kwa kuwa nimepata muda kidogo wa kuandika na tarehe ya leo ni kumbukumbu yangu ya siku ya kuzaliwa, nimeona nianze kuwaletea...
33 Reactions
332 Replies
48K Views
Riwaya; Mtegoni Na; Bahati Kisarwa Mwamba. Bangassou, Afrika ya Kati. Majira ya ahsubuhi, ahsubuhi yenye ubaridi usiohatarisha afya ya mtu. Alianza kwa kufumbua jicho lake la kushoto...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI. Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs) 1.Mungu ni Pendo 2.Usinipite Mwokozi...
43 Reactions
126 Replies
4K Views
Back
Top Bottom