Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea.
Tuambiane;
- Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako?
- Ni ya aina gani...
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona, tunazotaka kuziona. Karibuni.
Tuanze na Hangover 2.
Kwa mujibu wa Rotten Tomatoes naona...
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu....
Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki...
Album bora ya hiphop ya muda wote ni ipi?
Msanii bora wa hiphop wa muda wote ni nani?
Wimbo bora wa hiphop wa muda wote?
History ya hiphop
Records za hiphop
Tafsri ya hiphop na utamaduni wa...
Nimeisikiliza hii ngoma ya Dizasta Vina. Inaitwa Mwanajua....nimeskiliza zaidi ya mara 20 Lakini hadi leo sijaelewa hii fasihi jamaa alilenga kitu gani, Kuna anaefahamu?
Huyu...
Wakuu humu ndani hamna wapenzi wa BBN? Naona season hii kuna washiriki wazuri kweli na wameweka level mbili naona shindano la mwaka huu litanoga sana.
Mpaka sasa housemates wanao make headlines...
Karibuni kwenye uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Comics (Super heros) hasa kwa mashabiki wa DCEU movies na MCU movies.
Mimi ni mshabiki wa Marvels hasa Doctor Strange upande wa DC nampenda Joker...
C
Ep 01
[emoji95][emoji91][emoji432]
Milango ya kanisa ilikuwa wazi na watu
waliendelea kuingia.Toka saa nane za mchana watu walikwisha anza kuwasili katika kanisa la Mtakatifu Albano.Hadi...
RIWAYA: WAKALA WA SIRI
Mtunzi; Robert Heriel
0693322300
Episode 01
MAABARA YA BORETI.
Jokofu maalumu kwa ajili ya kuchunguzia maiti lilikuwa limezungukwa na Madaktari bingwa wa maswala ya...
Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudonloqd nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali
Haya naanza na hii. Inanyimbo mpya za 2021...
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
MWANDISHI: BUX THE STORY TELLER
WHATSAP: 0621567672
UMRI:MIAKA 18+
UKURASA WA TATU
SEHEMU ILIYOPITA TULIPO ISHIA...
Aliamka asubuhi na...
Jipatie riwaya na vitabu mbalimbali vya kijasusi kutoka kwa waandishi mahili kabisa kwa mfumo wa PDF bei TSH 2500 kwa kila kitabu full kabisa nitafute whatsApp namba 0685188006
1 - Ambola by...
1. Major Lazer ft Wyclef Jean- Reach to the stars
2. David Guetta ft James Young & Birdy- I'll keep loving you
3. Naughty Boy ft Beyonce & Arrow Benjamin- Runnin(Lose it all)
4. Calvin...
Shaloom wakuu,
Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's...
Amapiano ndio habari ya mujini kwa sasa kunako sekta ya burudani hasahasa kiwanda cha muziki. Kama Amapiano ni jina geni kwako basi sikiliza wimbo wa Mama Amina wa kwake Marioo ft Sho Madjozi na...
Tukisema nyie bado Sana kimataifa mnabisha [emoji28]
Unaambiwa Aziz k na mayele walipoingia tulipiga kelele Kama limefungwa goli...[emoji28][emoji28]
Hapa naplay Ngoma ya motra the future...
Hello wana JF,
Nawaletea baadhi ya movies/series ambazo si za kutazama na watoto 🔞 yaani ni movie ambazo hazifai kutazama hata na wazazi wako, zingine haifai kutazama hata na wana 🤣🤣🤣msije...
Muandishi:- Joseph .D. Migini
Call/txt:- +255766604683
Josephdeo70@gmail.com
Ndani ya chumba hichi cha wastani kilichoja samani za kufanya kuitwa sebule ya kisasa kwa waingiao. Nilikuwa nimeketi...
Mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya ameonesha kukerwa na kitendo cha Mgombea Urais kupitia Azimio nchini Kenya, Raila Odinga kumwalika Diamond Platinumz kufanya show kwenye kampeni zake leo...
[emoji3590][emoji91]
SEHEMU YA 01
DARASANI:
llikua ni muda wa kipindi cha ujasiriamali kwa wanafunzi wa kozi ya biashara. Mwalimu wa somo alikuwa mbele ya Darasa akifundisha. Kutokana na ukali...
Tuna safari ndefu sana katika maisha na kila mmoja anakutana na mikasa yake. Lakini katika yote hayo yaani safari ndefu na mikasa ambayo tunakutana nayo kuna kitu kimoja tu ambacho kinatufanya...
. Jicho la sanaa
. Miezi sita ya kumjua na kunipotea
. Hakuna wa mfanano wako
. Hatia
. Oparesheni Migongo
. Ukatili wa ulimwengu
Hizi na nyingine nyingi ambazo bado ziko kwenye maadalizi unaweza...
SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA HAIUSIANI NA MTU YOYOTE WALA KIKUNDI CHOCHOTE , MAENEO , OFISI NA MAJINA YALIONDANI YA HII SIMULIZI NI YA KUBUNI
ENJOY
SURA YA 01
Ilikuwa ni siku iliokuwa...
Mwaka jana Ngowi alibuni jezi za Yanga ya Nyumban ile Kijan akaharibu sana
Mwaka huu the same Jezi ya Nyumban kaharibu(tusiogope kusema ukweli wanayanga ameharibu)
Mwaka Jana Vunjabei...