Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea.
Tuambiane;
- Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako?
- Ni ya aina gani...
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu....
Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki...
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona, tunazotaka kuziona. Karibuni.
Tuanze na Hangover 2.
Kwa mujibu wa Rotten Tomatoes naona...
Album bora ya hiphop ya muda wote ni ipi?
Msanii bora wa hiphop wa muda wote ni nani?
Wimbo bora wa hiphop wa muda wote?
History ya hiphop
Records za hiphop
Tafsri ya hiphop na utamaduni wa...
Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo.
Hivyo tu.
Huku Kwetu nchini Tanzania tunawaita Marapa / Waghani ila kwa wenyewe Wakongo kutoka Kinshasa na Brazaville wanawaita Atalakus na kwa Wafaransa na Kifaransa wanaitwa Animateurs kutokana na umuhimu...
Moja ya kitu kinafelisha bongo series ni kutokua na waandishi wazuri wa series na muvi yaani Screenwriter/Scriptwriters. Mtu kwakua ana stori anayo kichwani basi yeye mwenyewe anaiandikia script...
Nimeweka nyimbo 4 za wapiga solo tofauti kwahiyo unaweza kudownload kusikiliza na kuamua kwako nani mkali.
1. Dally Kimoko
2. Diblo Dibala
3. Nene Tchakou
4. Saladin
Twende kazi
Akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyingi anahamasisha mambo yasiyofaa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii.
Ombi kwake na...
Wale wenzangu na mie tunaochungulia Kenya kwenye tasnia ya muziki, hasahasa muziki wa hawa malijendari Sauti Sol tukutane hapa:
(a) Tujuzane the best song of each one humu jf. Kwa kuanzia napenda...
Wadau napenda sana nyimbo zilizokusanya watoto na kuitikia chorus, mara nyingi nyimbo huwa nzuri sana. Mfano ni kama hizi;
1. I'm a thug ya Trick Daddy
2. I can ya Nas
3. Fabulous ya Jaheim
4...
Napenda sana kusoma vitabu, hali hii imenifanya nipende kuandika visa kadhaa ambavyo huwa ni vya kweli, Sina visa vya kutunga.simulizi zote zina ukweli kwa asilimia nyingi.lakini pia...
CHANGE
Story by Elton Tonny
Urafiki, Familia, Mapenzi, Mahaba, Tamaa, Hila, Usaliti, Unyanyasaji, Ukatili, Mauaji, Mambo yasiyotazamiwa, Mambo yenye kuhofisha
R-rated 18+
DISCLAIMER: Hadithi...
Stori: Innocent Killer (The Revenge)
Msimuliaji: Bux the story teller
Umri: 18+
Sehemu ya Kwanza:
NB: Hadithi hii ni ya kubuni na kufikirika haihusiani na maisha ya mtu yeyote, wala taasisi...
Wale wapenzi wa burudani nawaletea filamu zilizochezwa vizuri na wasanii wa hipop (rappers)
Tuanze kutililika[emoji94]
[emoji419]2pac:juice
[emoji419]Ice cube:boyz N the wood
[emoji419]Dmx:belly...
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA
MTUNZI:SINGANOJR .
AGE:18+
NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA
PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346
PROLOGUE../DIBAJI...
Simulizi hii inahusu utafutwaji wa NYARAKA namba 72 waweza kuiita DOCUMENT namba 72 ambayo ina siri nzito sana ndani yake.
DOCUMENT hiyo inadaiwa kuwa na majina ya watu ambao wanatakiwa...
JF huwa ni moja ya sehemu zangu za kujiburudisha hususani kwa ‘ID’ hii. Kwa kuwa nimepata muda kidogo wa kuandika na tarehe ya leo ni kumbukumbu yangu ya siku ya kuzaliwa, nimeona nianze kuwaletea...
Riwaya; Mtegoni
Na; Bahati Kisarwa Mwamba.
Bangassou, Afrika ya Kati.
Majira ya ahsubuhi, ahsubuhi yenye ubaridi usiohatarisha afya ya mtu. Alianza kwa kufumbua jicho lake la kushoto...
Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI.
Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs)
1.Mungu ni Pendo
2.Usinipite Mwokozi...