Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,192
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha Watanzania ni dhahiri anajivunia uwepo wa viongozi hawa katika utawala wake ambai ni:
1. Dkt. Tulia Ackson, Spika wa Bunge JMT na Rais wa IPU.
2. Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama.
3. Na Paul Makonda- Chuma Mwenezi wa Chama na Mzee wa kujitoa muhanga asiyeogopa kitu
Hawa ni key factor kuelekea uchaguzi Mkuu 2025
Japo wengi wanafanya kazi nzuri akiwemo Albert Chalamila, Mavunde, Mchengerwa, Bashungwa na Bashe lakini hao hapo juu ni moja ya viongozi ambao Rais Samia anajivunua sana na wanamfanya alale usingizi mnono dhidi ya wahafidhina wa kusaka urais 2025.
2025 ni Yeye Dkt. Samia Suluhu Hassan
1. Dkt. Tulia Ackson, Spika wa Bunge JMT na Rais wa IPU.
2. Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama.
3. Na Paul Makonda- Chuma Mwenezi wa Chama na Mzee wa kujitoa muhanga asiyeogopa kitu
Hawa ni key factor kuelekea uchaguzi Mkuu 2025
Japo wengi wanafanya kazi nzuri akiwemo Albert Chalamila, Mavunde, Mchengerwa, Bashungwa na Bashe lakini hao hapo juu ni moja ya viongozi ambao Rais Samia anajivunua sana na wanamfanya alale usingizi mnono dhidi ya wahafidhina wa kusaka urais 2025.
2025 ni Yeye Dkt. Samia Suluhu Hassan