Je, wajua umaarufu wa Mlima Ararat ni wa kipekee kabisa?

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Sep 19, 2023
201
439
Umaarufu wa mlima Ararat ulio mpakani mwa Armenia, Uturuki na Iran unatokana na kwamba bada ya Gharika kuu kuisha, safina ilienda kutua katika mlima huu!

FB_IMG_1695227117536.jpg
 
Kabla ya hilo gharika waaafrika walikuwepo au hawakuwepo ? Wachina, wahindi wazungu nao wakikuwepo ? wanyama waliopo huku Afrika waliingiaje kwenye safina na walirudije huku Afrika kuendelea na maisha ?
Huko mashariki ya kati kuna viboko ,mamba au walichukua kutoka bara Hindi?
 
Kabla ya hilo gharika waaafrika walikuwepo au hawakuwepo ? Wachina, wahindi wazungu nao wakikuwepo ? wanyama waliopo huku Afrika waliingiaje kwenye safina na walirudije huku Afrika kuendelea na maisha ?
Huko mashariki ya kati kuna viboko ,mamba au walichukua kutoka bara Hindi?
Kwa maoni yangu, gharika kuu lilitokea eneo hilo tu...

Kwa sababu, kulingana na andiko hilo, gharika lile lilikuwa ni adhabu ya maovu waliyokuwa wakiyafanya watu wale.

Ni kama tu vile Sodoma na Gomora.

Kwa sababu, kama gharika lingekuwa dunia nzima, maana yake dunia yote ingegeuka na kuwa bahari, sasa maji yange drain kuelekea wapi?

Siamini kama gharika lile lilifika mpaka Iwalanje kule Mbeya, au Kazuramimba kigoma
 
Kwa maoni yangu, gharika kuu lilitokea eneo hilo tu...

Kwa sababu, kulingana na andiko hilo, gharika lile lilikuwa ni adhabu ya maovu waliyokuwa wakiyafanya watu wale.

Ni kama tu vile Sodoma na Gomora.

Kwa sababu, kama gharika lingekuwa dunia nzima, maana yake dunia yote ingegeuka na kuwa bahari, sasa maji yange drain kuelekea wapi?

Siamini kama gharika lile lilifika mpaka Iwalanje kule Mbeya, au Kazuramimba kigoma
Kuhusu maji yalienda wapi umesoma biblia lakini?
 
Kuhusu maji yalienda wapi umesoma biblia lakini?
Tukumbushane mkuu, inasemaje kuhusu kipengele hicho?

Ila haya nimaoni yangu tu kulingana na ninavyoona...

Mfano fikiria, kama gharika ile ingekuwa ni kwa dunia nzima, Je ingewalazimu watu wa kwa mfano Nalyendele Mtwara, kufunga safari mpaka huko Ararati kwa ajili ya kupanda merikebu hiyo(safina)?
 
Tukumbushane mkuu, inasemaje kuhusu kipengele hicho?

Ila haya nimaoni yangu tu kulingana na ninavyoona...

Mfano fikiria, kama gharika ile ingekuwa ni kwa dunia nzima, Je ingewalazimu watu wa kwa mfano Nalyendele Mtwara, kufunga safari mpaka huko Ararati kwa ajili ya kupanda merikebu hiyo(safina)?
Siyo kila mtu alipanda Safina bali ni nuhu na familia yake
Na mpaka maji kukauka ilichukua miezi mingi sana inaweza kukaribia hata mwaka

Dunia ilijazwa maji siyo tu kwa mvua hadi chemichemi za bahari na vilindi sijui ndiyo nini labda maziwa zilifunguliwa kujaza maji duniani
Kwa hiyo baadae mvua zilikata na chemichemi zilifungwa
Usitafute logic sana hayo yalifanywa na Mungu siyo binadamu
 
Au
Kwa maoni yangu, gharika kuu lilitokea eneo hilo tu...

Kwa sababu, kulingana na andiko hilo, gharika lile lilikuwa ni adhabu ya maovu waliyokuwa wakiyafanya watu wale.

Ni kama tu vile Sodoma na Gomora.

Kwa sababu, kama gharika lingekuwa dunia nzima, maana yake dunia yote ingegeuka na kuwa bahari, sasa maji yange drain kuelekea wapi?

Siamini kama gharika lile lilifika mpaka Iwalanje kule Mbeya, au Kazuramimba kigomanndio
Au ndio glaciation period!
 
Siyo kila mtu alipanda Safina bali ni nuhu na familia yake
Na mpaka maji kukauka ilichukua miezi mingi sana inaweza kukaribia hata mwakaa
i
Dunia ilijazwa maji siyo tu kwa mvua hadi chemichemi za bahari na vilindi sijui ndiyo nini labda maziwa zilifunguliwa kujaza maji duniani
Kwa hiyo baadae mvua zilikata na chemichemi zilifungwa
Usitafute logic sana hayo yalifanywa na Mungu siyo binadamu
Naomba kujuzwa ukubwa wa safina na idadi ya wanyama walio ingia. Walikula nini waliishije n.k
 
Siyo kila mtu alipanda Safina bali ni nuhu na familia yake
Na mpaka maji kukauka ilichukua miezi mingi sana inaweza kukaribia hata mwaka

Dunia ilijazwa maji siyo tu kwa mvua hadi chemichemi za bahari na vilindi sijui ndiyo nini labda maziwa zilifunguliwa kujaza maji duniani
Kwa hiyo baadae mvua zilikata na chemichemi zilifungwa
Usitafute logic sana hayo yalifanywa na Mungu siyo binadamu
Kwa hiyo baada ya gharika Nuhu na familia yake wakaijaza tena dunia? Asee stori zenu nyie watu!!
 
Back
Top Bottom