tofauti

World Tofauti (A Different World in English) is a 2017 Kenyan romantic film directed by Kang'ethe Mungai. The film stars Avril Nyambura and Innocent Njuguna, and features Maureen Njau in a supporting role.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tofauti na Mama nani mwingine ambaye alikuwa anaruhusiwa kutoa hicho Kitambaa kwenye TV

    Wakuu Tofauti na Mama nani mwingine ambaye alikuwa anaruhusiwa kutoa hicho Kitambaa kwenye TV
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti kati ya ndoto ya Mungu na ya shetani

    Kuna tofauti kati ya ndoto ya Mungu na ya shetani Maarifa yanayohusiana na ndoto ni mapana. Hata hivyo, kwa ufupi, zipo ndoto za aina tatu. 1. Ndoto zinazotokana na shughuli unazofanya Ndoto hizi ndizo mara nyingi zinamjia mtu. Kwa mfano: mtu alikuwa anafanya shughuli fulani siku nzima, usiku...
  3. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Je Alitop Sound bar SP - 1036 ni mzuri kulinganisha na Mr UK - 911A Subwoofer?

    Je soundbar inaweza kuja kuuwa soko la sabufa,? Je soundbar kama Alitop Sound bar SP - 1036 inaweza kuwa bora zaidi kulinganisha na sabufa za bei ya chini kama mr UK na Sean peano? Je ni wakati wa kubadilisha sabufa zote na tuanze kutumia soundbar? Je soundbar kama za 12000 wtt huwa zina...
  4. Kigongoi kwetu

    JamiiForums Tanzania Unyama wa Mwanadamu: Ukatili na Madhara Yake

    Kama ni kweli kabisa binadamu anaweza kumteka mwenzie kwa sababu kamkosoa au ametofautiana nae katika hoja na mawazo tofauti nakuamua kumuua; huyo ni MNYAMA. Kama ni kweli mwanadamu anashindana na kikundi kingine lakini alie kwenye kiti anatumia vyombo vyenye silaha kumwaga damu na wakati...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Yafuatayo ni mawazo mgando ya Wanaume wengi Mabwege na wenye Akili duni.

    YAFUATAYO NI MAWAZO MGANDO YA WANAUME WENGI MABWEGE na WENYE AKILI DUNI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Yule Shujaa. Moja ya mambo yaliyonifanya nisipende kukaa vijiweni na kuwaelewa wazazi na walezi wangu ni kutokana na mitazamo, fikara, na mawazo ya vijana na wanaume wengi wanaokaa...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu BAVICHA: Sisi tumeruhusiwa kuwa Think Tank ya chama, tofauti na wenzetu upande mwingine ni Praise and Worship Team

    Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Dua Lyamzito, amesema kuwa tofauti kubwa kati ya baraza hilo na mabaraza ya vijana ya vyama vingine vya siasa nchini ni uhuru wa kufikiri na kufanya ukosoaji ndani ya chama badala ya kuwa vyombo vya kusifu na...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Consistency ya Tundu Lissu kukosoa serikali za awamu zote inafanya watu wamuamini tofauti na wale Wanasiasa wa msimu

    Hamjambo! Kuna Wanasiasa wa Msimu. Akiingia kiongozi huyu wanakuwa wakali kama viwavi jeshi. Akitoka huyu na kuingia mwingine wanakuwa kimya. Hali hiyo inawafanya waonekane wanasiasa wenye maslahi fulani au ubaguzi hivi. Hata ingekuwa ni mimi ndiye nimeingia madarakani. Yaani wakati wa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Uzalendo hauna vipande, Vijana wa Tanganyika wamepoteza uzalendo wa Muungano wamehamishia uzalendo kwenye Pesa na vyeo tofauti na Wazanzibari

    UZALENDO HAUNA VIPANDE Uzalendo ni kuipenda nchi yako hata pale ambapo hakuna cheo cha kupata, hakuna pesa ya kupewa na hakuna maslahi binafsi yanayokusubiri. Lakini uzalendo huu unaweza kuyeyuka haraka sana pale ambapo nchi yenyewe inaanza kugawanywa katika hisia, utambulisho na maslahi...
  9. Moaz

    JamiiForums Tanzania Taifa kwanza wakati wa Tanzania kuweka utaifa juu ya tofauti zetu

    Utangulizi Katika kipindi ambacho dunia inapitia mabadiliko makubwa ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiusalama, kuna jambo moja ambalo linajidhihirisha wazi zaidi kuliko wakati mwingine wowote: mataifa ambayo yanaweza kusimama imara mbele ya changamoto kubwa ni yale ambayo wananchi wake wana...
  10. kilio

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya "Special Lupsum" na Unemployment 33.3% Katika UNEMPLOYMENT BENEFIT za NSSF nini?

    Nimeshakaa zaidi ya miezi mitatu bila kupata kazi nyingine. Nilikuwa nafanyakazi private sector. Niko katika mchakato wa kujaza CLaims fomu za UNEMPLOYMENT BENEFIT katika NSSF portal. Niko kwenye kipengele cha category SPECIAL LAPSUM na UNEMPLOYMENT 33.3% , nipate Unemployment benefit...
  11. USSR

    JamiiForums Tanzania EAGT na TAG wamaliza tofauti zao na minyukano ya miaka mingi

    Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) na Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) limefikia maridhiano ya kumaliza tofauti za muda mrefu zilizotokana na mgawanyiko wa kihistoria wa Assemblies of God nchini Tanzania. Mzizi wa mgawanyiko huo ulianza mwaka 1982, wakati TAG ilipogawanyika...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Haitoshi kulipenda gari lichunguze linachukuliwaje na jamii, kuna magari ambayo yamejipatia umaarufu kutumika na watu tofauti na ulivyo

    Toyota IST, Raum - Moja kwa moja unaonekana ni mtu unaebana sana pesa, kama huna taabu kuonekana hivyo si mbaya ila ndivyo utavyochukuliwa Toyota Altezza - gari iliyojipatia umaarufu kutumiwa na vijana wadogo hasa miaka 18 hadi 26 wanaopenda drifting, kelele nyingi na kukimbiza barabarani, hawa...
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini kujiondoa CCM na kujiunga upinzani ni hasara na mwanzo kujimaliza mwenyewe kisiasa?

    Ni sababu zipi hasa, hufanya mwanasiasa anaetoka upinzani na kujiunga CCM kufaidika, kushamiri na kuneemeka kisiasa, kijamii na kiuchumi, tofauti na mwanasiasa anaetoka CCM na kujiunga upinzani ambao daima hudumaa zaidi kisiasa, kijamii na kiuchumi? Unadhani kuna muujiza gani wa hali hizo za...
  14. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Wakati tunakabidhiwa uhuru 1961 hatukuwa na huu mfumo wa siasa na utawala kama tulionao sasa wa Rais kuhodhi madaraka makubwa kupitiliza. Tulikuwa na mfumo wa kibunge naweza kusema hivyo kama uliokuwepo Singapore ambao hupo mpaka sasa na hapa Waziri mkuu wa zamani wa Singapore Lee Hsien Loong...
  15. Mtoto halali na hela

    JamiiForums Tanzania Kuna ubaya mwenza wako akimtazama jinsia tofauti na yake

    Wasalam ulifanyaje mwenza wako alipokuona uelekeo wa fikra zako na macho yako yapo kwa binti/ kijana anayepita ? Kuna siku nimetulia sehemu wife akafuata kitu dirisha la huduma, ghafla kikakatiza chombo kwa mbali nikawa naki zoom naye sijui alistuka anaangaliwa akageuka. Kumbe wife kasharudi...
  16. Stability

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti kati ya kuishi Dar es Salaam na kukaa Dar es salaam. Wengi wetu tunakaa Dar es salaam

    Umeshtuka usiku unasikia kiu, sasa lile wenge la usingizi unasahau dumu ambalo lina maji ya kunywa unachanganya na ndoo yenye maji uliosuuzia vyombo vichafu usiku unayochota na kunywa, 🤮
  17. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Zemanga soze kashakuja sana bongo hapa na timu tofauti tofauti na hajawahi kupoa

    Miaka 33 mpka sasa lakini leo Karudisha viungo wote darasani, kaanza ngoma kakimbia kaja DAMARO kakimbi kaja DUKE, MUDA, na CASSEMIRO hao wataenda kulala na viatu mtaalamu alizima kelele mjini
  18. Stability

    JamiiForums Tanzania Hivi tofauti na ukame, vita na mafuriko kuna shida yoyote ya kimaisha wadada wenye makebo makubwa wanapitia kwa kweli?

    Makebo makubwa yamekuwa njia ya utajiri siku hizi kwa hawa dada zetu. Makebo makubwa yanawapatia urahisi wa maisha na access ya vitu vya kifahari ingawa ana umri mdogo, kisomo kidogo na hata kama ametoka familia duni.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Wanachopitia Chadema hakina tofauti na Mkoloni alivyowahi kuiminya Tanu kiuchumi mpaka timu ya Tanu (Yanga) ikawa inacheza mgongo wazi kwa kukosa jezi

    Katika historia ya harakati za ukombozi wa Tanganyika, kabla ya TANU kupewa mamlaka ya kuongoza nchi na baadaye kubadilika kuwa CCM, chama hicho kilikuwa kinapigania ukombozi dhidi ya wakoloni weupe. utawala wa kikoloni ulitafsiri harakati hizo kama tishio kwa utulivu wa kisiasa na hivyo kuweka...
  20. stephenga

    JamiiForums Tanzania LNG, LPG na CNG: Tofauti Yake Ni Ipi, na Tanzania Inapaswa Kuwekeza Zaidi Kwenye Ipi?

    Mara nyingi tunasikia majina haya matatu—LNG, LPG na CNG—lakini kwa Mtanzania wa kawaida ni vigumu kuelewa tofauti zake na matumizi yake. Ningependa wataalamu wa nishati watuelimishe kwa lugha rahisi: LNG ni nini, na hutumika zaidi wapi? LPG ni nini, na kwa nini ndiyo gesi inayotumika...
Back
Top Bottom