Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.
Rais Samia Suluhu amewasihi Watanzania, hususan vijana, kulinda amani na utulivu wa nchi kwa kuwakataa wale wote wasiolitakia mema taifa. amesema hayo Agosti 14, 2026 wakati akishiriki katika Tamasha la Kizimkazi kwenye Uwanja wa Mwehe Makunduchi, Zanzibar .
Amesisitiza kuwa shughuli za...
Wachimbaji madini nchini wamenunua picha moja kwa ajili ya kumpa zawadi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Samia Suluhu Hassan kwa thamani ya Shilingi Bilioni 1.8.
Wachimbaji hao wamenunua picha inayowaonesha Pomboo (Dolphin) wakiwa ndani ya maji Kizimkazi.
Katika hafla ya usiku wa sanaa...
Rais Samia Suluhu, amewajibu wakosoaji wanaojiuliza na kuhoji kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar, akieleza kuwa ushindi huo mkubwa wa asilimia 97 ulitokana na mshikamano mkubwa kati ya Wazanzibari wote.
"Nataka niwaambie ndugu zangu, uchaguzi wa mwaka huu kwa Zanzibar, Wazanzibari wote...
Katika nchi ni lazima tukubaline kuwa kuna mambo ni maslahi ya Taifa. Mojawapo ni uwekezaji wa Petroleum Refinary Tanga.
Tukiwa wakweli, Kenya walishatupiga chenga baada ya Dangote kubadili mawazo na kuhamishia Lamu uwekezaji wake wa Refinary.
Mkutano wa Rais Samia na Rais Ruto, baadaye na...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa, akizungumza na mabalozi na makada mbalimbali wa CCM mkoani humo, amesema Katiba Mpya haiwezi kupatikana kwa malalamiko yasiyo na tija, kwani suala hilo tayari limeainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM chini ya uongozi...
Wanabodi. Tumsifu Yesu Kristo. Asalama leko.
Kama kichwa cha habari hapo juu
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt Samia Suluhu Hassani.
Mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya juu ya uongozi serikalini akiongoza raia million 60.
Rais ambaye ambaye ameleta philosophy 4r. Mwenye misimamo ya...
Rais Samia Suluhu, amewataka Watanzania na viongozi kukaza buti na kufunga mikanda kutokana na mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa yanayoendelea duniani, amesema hayo Agosti 3, 2026 katika uzindizi wa Nyenzo za Utekelezaji wa Dira 2050 pamoja na kushiriki katika Mkutano wa Mazungumzo Maalum na...
Huu ni ujumbe wangu kwako, naendelea kusambaza vipeperushi vya amani kuomba Humphrey Polepole arudishwe haraka sana kwaajili ya kutusaidia kujenga hoja za maridhiano.
Nimeona CHADEMA wanaendelea kupaza sauti ili Tundu Lissu aachiwe kabla ya maridhiano. Nadhani wako sahihi pia.
Sasa kwanini...
Rais Samia na Makamu wake Dkt. Emmanuel Nchimbi wakishiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa katika Uwanja wa Mashujaa, Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma, Julai 25, 2026.
https://www.youtube.com/live/CWeTDEkFWwI
YAH: UTEUZI NA UHAMISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi na uhamisho huo ni kama ifuatavyo:
(i) Dkt. Latifa Mohammed Khamis...
Akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA), Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema:
“Tutasaidiwa kuiharibu nchi yetu, lakini hatutasaidiwa kuijenga tena. Tanzania ni yetu sote na tunapaswa kuilinda.”
chama
chama cha mawakili
jamhuri
jamhuri ya muungano
mawakili
mawakili wa serikali
mkutano
mkutano mkuu
mkuu
muungano
mwaka
rais
rais wa jamhuri
samiasamiasuluhusamiasuluhuhassan
serikali
suluhu
tanzania
Lazima tujifunze kusema ukweli, hata kama unauma. Ukweli unaweza kuumiza, lakini ndiyo unaosaidia kurekebisha mambo.
Kwa mtazamo wangu, CCM ya kipindi cha Rais Samia ni dhaifu kuliko ilivyokuwa awali.
CCM ya sasa imeibua watetezi ambao, kwa maoni yangu, wengi wao hawawezi kujenga hoja zenye...
Rais Samia Suluhu amesema maridhiano ni ishara ya ukomavu wa kisiasa unaojenga umoja na kuheshimiana, akisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuongozwa na hekima, utu na maslahi ya taifa badala ya mivutano isiyoisha.
Amesema wananchi wanahitaji amani, usalama na utulivu, akizungumza Julai 9, 2026...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amelitunuku Tuzo Maalum Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kufuatia mafanikio yake ya kurejea kwenye faida kwa mara ya kwanza baada ya kipindi kirefu cha changamoto za kifedha.
TTCL imepata faida ya Shilingi bilioni...
Ukishinda uchaguzi kwa kwa 98% maana yake unakubalika. Yaani wananchi wanakukubali na utendaji kazi wako unakubalika.
Nashangaa huyu kiongozi wetu kushinda uchaguzi kwa 98% alafu mitaani kila raia anaonyesha chuki dhidi ya serikali yake. Na hata kila jambo analolifanya hakuna anayelikubali...
Kwa kipindi tulichopo nakushauri fukuza huyo waziri wako anaitwa Katambi huyu ni Kama anakuhujumu mchana kweupe.
Kwa kipindi kama hiki joto ni kubwa kwenye nchi yetu liko juu sana sio ndani ya nchi tu mpaka nje ya nchi tumeona nchi za magharibi zinataka kutunyima...
huyu
kipindi
mambo
mambo ya
mambo ya ndani
mzigo
naomba
ndani
rais
rais samia
rais samiasuluhu
rais samiasuluhuhassansamiasamiasuluhusamiasuluhuhassan
sio
suluhu
tatizo
waziri
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga, amesisitiza kuwa Rais Samia Suluhu ameonyesha dhamira ya dhati ya kuiponya nchi kwa kunyoosha mikono yake tayari kwa mazungumzo na maridhiano ya kisiasa.
Akizungumza Juni 19, 2026, katika mahojiano na...
Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Emmanuel Kingu, amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya nchini, hatua inayofanya huduma za tiba kuboreshwa kwa kiasi kikubwa katika maeneo mbalimbali ya Tanzania Bara na Visiwani.
Kingu ameeleza kuwa ni jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.