nyimbo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu

    Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu. Saa 2 usiku hadi saa 12 asubuhi. Usingizi hauji kabisa , sijui wagonjwa wapo hali gani
  2. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Chukua nyimbo 10 za Diamond hazitoboi kwa kipande cha dakika 2 cha wimbo wa Juma dede (Times fm) kilichoombwa na Mzee Yusuph

    Ukitaka kuona ukubwa wa Mzee Yusuph kasikilize kipande cha wimbo wa times fm(Juma dede) kilichoimbwa na Mzee Yusuph. Huu wimbo ulikuwa mahsusi kwenye sherehe za times fm hivyo wasanii wa taarabu wale magwiji waliungana kwa pamoja kutoa wimbo wa Juma dede. Yani Mzee alithibitisha ukubwa wake...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka ushabiki hadi kushare stage na Heavyweight jay wa Mitulinga: Nikki mbishi amwagiwa sifa baada ya kutoa back up ya kibabe show ya Professor Jay

    Jana kulikuwa na bonge moja la shoo kutoka kwa Kaka mkubwa @professorjaytz kwa namna moja ama nyingine watu walifurahi kile alichokifanya jukwaani. Pembeni yake alikuwepo @nikkimbishi999 majina ni mengi kwake, Plata O Plomo, Baba Malcom, Kijusi na mengine mengi. Kwa usiku wa jana binafsi...
  4. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kutupia nyimbo kali za Gospel 2026

    Huu uzi utakua maalum kwaajili ya kutupia nyimbo kali za gospel mwaka 2026. https://audiomack.com/voiceofpraise603/song/mungu-ni-pendo-remix?share-user-id=216220807
  5. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Spark aliwahi kutupatia goma classic ambalo litabaki katika historia ya nyimbo bora za BF, aisee, rest in peace mzee.

    https://youtu.be/7eIfsGxlOuo?si=Amx3wcOqUoAKQ6zG
  6. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Lugha zinazoongoza Africa kwenye nyimbo zinazosikilizwa

  7. petro matei

    JamiiForums Tanzania Waimbaji wa nyimbo za injili wengi wao ni aibu kwa Kristo (NENO) wanaliabisha kanisa

    1 WAKORINTO 6 1 Je! Mtu wa kwenu akiwa ana daawa juu ya mwenzake athubutu kushitaki mbele ya wasio haki, wala si mbele ya watakatifu? 2 Au hamjui ya kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu utahukumiwa na ninyi, je! Hamstahili kukata hukumu zilizo ndogo? 3 Hamjui ya kuwa...
  8. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Sio kila nyimbo ya singeli ina maudhui ya kihuni

    Actually mi nasikiliza mziki wowote mzuri ila 95% ya nyimbo ninazosikiliza ni kutoka Marekani na Tanzania Kwa hapa Tanzania nasikiliza Bongo Flava, na singeli chache sana Kuna stereotype imejengwa kuhusu singeli kuwa ni mziki wa wahuni, usio na maadili na hauna mashairi mazuri Well, kwa baadhi...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa utaje top 3 ya nyimbo bora kwa muda wote utataja zipi ?

    Tangu uzakiwe mpaka unaanza shule ukijumlisha nyimbo zote ulizowai kusikia kuanzia mabata madogomadogo yanaogelea, napenda kuhesabu namba, hadi nyimbo za bongofleva nyimbo za dini zote, nyimbo kutoka tz na nje ya Tanzania. Katika zote ukiambiwa utaje 3 bora utataja zipi Mimi kwa harakaharaka...
  10. Desierto

    JamiiForums Tanzania Haya maneno yapo kwenye nyimbo nyingi je yana maana gani?

    Kwenye nyimbo za kizungu, kibongo,nk. Je? Yana maana gani? Na chimbuko lake ni wapi?
  11. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnitajie nyimbo Kali za fally ipupa

    Nimepata ndinga mpya nataka nipige hizi ngoma za fally ipupa sababu nimeshajipata naombeni mnitajie zile Kali ambazo nikipiga kwenye ndinga yangu nitajiona Nipo dunia ya peke yangu bosi ya mboka mutu mukubwa
  12. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Uzi wa nyimbo zilizo tumia AI

    Afichaye dhambi zake
  13. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Mwenye hizi nyimbo za TOT na TamTam tafadhali anibariki

    Tafadhali sana: 1. Bad Bakule akiwa na TamTam wimbo unaitwa Chande( kazi hutaki kufanyabkwa vile kaka ana mali.) 2. Mpende akupendaye - TOT plus
  14. Mgeni wa Jiji

    JamiiForums Tanzania BASATA: Yapo wapi maadili kwenye hii nyimbo "Darasa la saba ya Mbosso" inayohamasisha mapenzi kwa watoto wa shule?

    Habari wana JF, Niende moia iwa moja kwenye hoja yangu ambayo pia naileta kama swali kwa baraza la sanaa ambalo huwa linasimamia pia maadili kwenye kazi za sanaa pamoja na mamlaka zetu zote zinazohusiana na kumlinda mtoto zikiongozwa na wizara husika. Kuna huu wimbo mpya ya msanii Mbosso...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Muimbaji Maarufu wa Nyimbo za Injili Miriam Chirwa Aolewa Rasmi

    Huyu hapa ndo mume Mtarajiwa wa Muimbaji wa nyimbo za injili, Miriam Chirwa. Na hapa ni alivyo fika kwenye send off nyumbani Kwa akina Miriam. Ndoa ni furaha ndugu zangu si mnajionea wenyewe Kwa Wana ndoa hapa.
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania ‘Do you Remember’ song by Phil Collins: Huwezi amini sikujua hii nyimbo naipenda sana kumbe ni makosa nilifanya ila basi

    Kuna mkasa hapa niliwapa ambao age ikishafika ndio basi katika mahusiano. Katika nyimbo zangu pendwa hii nyimbo nilitumiwa kipindi kabla sijajua umuhimu wake kipindi hiko kama salamu za barua nyimbo fulani. Ila Nimeishia kulia na umri uwezi kurudi nyuma wala wakati. Nimekubali nilikosea...
  17. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Izzo Business aachia nyimbo akiwachana wasanii na mamlaka zilizopo bila kupepesa

    Moja ya jambo la kushangaza ni Msanii wa Hip-hop, Izzo Business kuachia kibao akishusha mistari kuwachana wasanii wenzake waliokuwa hawapiganii haki za wananchi badala yao walirundikana kwenye semina na kampeni za chama kimoja kama mchwa. Badala ya kupinga vikali matukio yaliyokuwa...
  18. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Hii nyimbo harmoniza umeua sana, Haswa kwa sisi tunaopenda nyimbo za taratibu

    "Leo" by Harmonize featuring Mbosso, produced by Mafia, is a heartfelt Bongo Flava love anthem that captures the raw honesty of falling deeply for someone at the most unexpected time. Harmonize opens the song with a nostalgic confession, remembering the first moment their eyes met, the...
  19. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania Hizi nyimbo 2 za Bongo Fleva zilikuwa mbele sana ya wakati: "Nang'atuka" na "Nini Chanzo"

    Hizi nyimbo zina zaidi ya miaka 20, lakini yaliyoimbwa hiyo miaka 20 iliyopita ndiyo tunayaishi leo. 1. Prof. Jay - Nang'atuka 2. Juma Nature - Nini Chanzo
  20. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Naombeni playlist ya nyimbo za kusindikizia sikukuu ya Christmas & Mwaka mpya

    Miondoko yote. Afrobeats, Gospel mix, Gospel Catholic, amapiano, 3 Step's, R&B's, n.k.
Back
Top Bottom