msimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Nani anaefaa kuwa mchezaji bora wa EPL msimu huu? Bruno au Rice?

    Nani anaefaa kuwa mchezaji bora wa EPL msimu huu? Bruno au Rice?
  2. SGS AGENCY

    JamiiForums Tanzania Soko la mbuzi & kondoo kwa msimu wa sikukuu ya Eid Al- Adh- Haa

    Habari za muda huu wanajukwaa. Wakazi wa manispaa ya Moshi na viunga vyake mnakaribishwa sana kununua mbuzi na kondoo kwa ajili ya sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ambayo inatarajiwa kufika ndani ya siku chache zijazo. Moja ya ibada kubwa katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ni kuchinja...
  3. SGS AGENCY

    JamiiForums Tanzania SOKO LA MBUZI & KONDO KWA MSIMU WA SIKUKUU YA EID AL- ADH- HAA.

    Habari za muda huu wanajukwaa. Wakazi wa manispaa ya Moshi na viunga vyake mnakaribishwa sana kununua mbuzi na kondoo kwa ajili ya sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ambayo inatarajiwa kufika ndani ya siku chache zijazo. Moja ya ibada kubwa katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ni kuchinja...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Arsenal wazindua jezi mpya ya nyumbani ya msimu wa 2026/27

    Arsenal wanazindua jezi mpya ya nyumbani ya msimu wa 2026–27 kabla ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Champions League final.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo. Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli. Hivi timu kubwa km Simba ni yakukaa na kuwa wanafurahia magoli ya wachezaji wao?? Turudi kwa kiwango cha chama...
  6. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Jezi mpya kwa timu mbalimbali kwa msimu ujao 2026/2027

    Tukiwa tunamalizia msimu huu, baadhi ya timu zimeshaanza kutoa jezi mpya kwa msimu ujao. Timu kubwa ya kwanza kuachia jezi zao ni Bayern Munich. Uzi huu utakuwa unakuletea jezi mpya kadri tunavyozipata kutoka katika vyanzo mbalimbali. Karibu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Yanga msimu ujao club bingwa boresheni point zenu walau zifike 9 sasa tumechoka

    Yanga kwa hii misimu yote iliyocheza club bingwa,Kila msimu kwenye makundi imekua ikimaliza makundi na jumla ya point 8 Kwa match zote 6 inazocheza.Hali hiyo imeifanya yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali mara mbili mtwalia. Kwa hivyo msimu ujao uongozi wa yanga nafikili Hilo nao pia...
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

    Tumeona... Kuna huo ujinga kuwa kwa sababu hatujazidhamini basi zinakomaa zinapocheza na Yanga. Ili sasa kuvutia GSM iweke dau. Huo ni ujinga mbwah nyie. Yanga bado ni team bora Afrika kwa sasa. Na ina uwezo mkubwa sana. Tupo nayo na tunatamba nayo. Msimu huu pia tunachukua Kombe. Mtake msitake...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Msimu wa biashara ya usafirishaji

    🔥 USAFIRI NI BIASHARA YA MSIMU — JE UPO TAYARI KUVUNA FAIDA? 🔥 High season inakaribia kwa kasi (Juni – Desemba) — huu ndio muda ambao mabasi yanafanya pesa halisi 💰 👉 Usisubiri msimu uanze ndipo uanze kutafuta bus… utachelewa! 🚨 Weka order yako SASA Ili kufikia high season uwe tayari na bus...
  10. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania TFF Iwe Inaweka taratibu za Ligi Mwanzoni mwa Msimu tu

    Hii tabia ya kuruhusu viwanja mwanzoni mwa msimu halafu baadaye kuvifungia wakati ligi inaendelea siyo jambo zuri. Wakishakagua uwanja na kuupitisha basi wangoje hadi msimu uishe ndipo wautolee uamuzi mwingine.
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Eti wana Man Utd ni heri kubaki na Fletcher hadi mwisho wa msimu au kuletewa Ole Gunnar/Carrick?

    #GGMU #MUFC
  12. B

    JamiiForums Tanzania Polisi kushirikiana na nyumba za ibada ili kuzuia vitendo vya kihalifu kuelekea msimu wa sikukuu

    Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro ameeleza kuwa wameanza ukaguzi wa kushtukiza kwa madereva wa magari wenye dalili za kutaka kusababisha ajali. Pia ameeleza kuwa wamejipanga kushirikiana na nyumba za ibada ibada ili kutanzua uhalifu...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Huu ndio msimu ambao bwana covax ataenda kutafuta vifungu ili atuhakikshie kuwa Yesu alikuwa ni mpalestina na itikadi kali

    Mimi sio nabii ili kabla ya tarehe 31 mtaona majaabu😄😄 Red black dosho12 Vincenzo Jr secretarybird Moisemusajiografii hamis77
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Msimu wa sikukuu wafuatao ndio muda wao sasa

    Msimu wa sikukuu ndio kipindi cha watu kupata mapato mengi ukilinganisha na miezi mingine. 1 Huduma za Usafiri na sheli. 2. Masokoni, minadani, maduka makubwa na wauza nguo. 3. Wauza vileo, kumbi za starehe, Wasanii(Hapana wafanye kazi kwanza) na wauzaji wa vyakula vizuri. Kama hujatunza Pesa...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Chalamila: Nimeona watu wanaenda mikoani,huu ni msimu wa sikukuu

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa watu wanaosafiri kwenda mikoani ni jambo la kawaida linalotokea kila mwaka, na si kitu cha kushangaza au kuhusishwa na sababu nyingine. “Naomba niwaambie kitu kimoja: kama kweli kuna adui, atakuwa amefanikiwa endapo atagundua kuwa...
  16. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Ofa ya X-Banners msimu wa Christmas

    OFA ya msimu wa Christmas, jipatie X BANNER kutoka HAMIA DIGITAL utangaze biashara yako kisasa zaidi na kwa bei poa. Bango la X BANNER ni rahisi sana kuhamishika, ni kama unavyofungua na kufunga Mwavuli. ⚠️ BEI YA OFA ⚠️ 1PC: Tsh 80,000 2PCs: Tsh 75,000 / PC +3PCs: Tsh 70,000 / PC Size: 80cm x...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Leo inabidi wazungu walinde kwa silaha maduka ya msimu wa Christmas kuhofia radicals wa itikadi kali

  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Arsenal kusitisha uhusiano wake na 'Visit Rwanda' mwishoni mwa msimu wa 2026

    Baada ya miaka nane ya nembo ya Visit Rwanda kupamba bega la jezi za Arsenal, klabu hiyo litangaza kuwa itasitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda ifikapo mwezi Juni 2026. Hata hivyo, ushirikiano huu haukupita bila changamoto. Makundi ya haki za binadamu yalieleza wasiwasi kuhusu kuhusishwa...
  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Sergio Busquets atangaza kustafu soka mwishoni mwa msimu

    Hatimae kiungo bora mkabaji wa muda wote, Segio Busquets ametangaza kustaafu soka kufikia mwisho wa msimu. Busquets ambaye huwa anacheza kiungo mkabaji, amefikia uamuzi huo katika umri wa miaka 37. Ni mshindi wa Kombe la Dunia la mwaka 2010 akiwa na Timu ya Taifa ya Spain katika fainali...
  20. Stability

    JamiiForums Tanzania Kati ya minara na parachute unapendelea yapi zaidi?

    Eti mabaharia😜
Back
Top Bottom