uwajibikaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania JAB Yasema Uhuru wa Habari Uende na Uwajibikaji

    Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM — Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema uhuru wa uhariri ni nguzo muhimu katika taaluma ya habari na unapaswa kulindwa ili vyombo vya habari viweze kutekeleza majukumu yake kwa weledi...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Sospeter Mtwale: Serikali imejipanga kuhakikisha biashara ya kaboni nchini inatekelezwa kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa jamii

    Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM – TAMISEMI), Sospeter Mtwale, amesema Serikali imejipanga kuhakikisha biashara ya kaboni nchini inatekelezwa kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa jamii ili kuwanufaisha wananchi na Taifa kwa ujumla. Bw...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof Issa Shivji: Watanzania sio wajinga. Kiungo kati ya AMANI na HAKI ni UWAJIBIKAJI. Hatuwezi kupiga hatua bila viongozi wakosaji kujiwabika!

    https://youtu.be/0niFxKMdOSI?si=AQnb1lDVaELvbk05 ANASEMA: Nchi hii si mara ya kwanza kushuhudia ukatili na mauaji ya watu (raia) wasio na hatia uliofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama chini ya usimamizi wa viongozi wa kiraia ma RCs, DCs au Mawaziri Tofauti na wakati ule, katika matukio ya...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za kutaka kumwongezea muhula wa tatu katika Katiba Mpya ya mwaka 2028 ili kukwepa uwajibikaji baadaye

    Wameanza kutest mitambo. ============== Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamependekeza kufanyika kwa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar ili kumpa nafasi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuendelea kuiongoza Zanzibar zaidi ya ukomo wa mihula...
  5. Nelson Kileo

    JamiiForums Tanzania Ni vile tu hatuna Taifa lenye uwajibikaji, ila hii ziara ya Drogba ina harufu ya ufisadi

    Unamuita Drogba wakati Sekta ya mpira ikiwa na matatizo lukuki, ukata mkubwa wa Vifaa na miundombinu ya Michezo Mashuleni na Mitaani, hatuna academy za kutosha nchini. Suala la Msingi: Wakati Didier Drogba akilipwa fedha nyingi kama "pambo" la usomaji wa hotuba ya bajeti, sekta ya michezo...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO IGP weka jicho lako Central Police Station – Dodoma, kuna shida ya Uwajibikaji

    Pale Central Police Station ni kwamba hakuna accountability and transparency yaani hakuna uwajibikaji na uwazi kwa baadhi ya Maafisa Polisi wa pale. Mtu unapeleka kesi ya mtuhumiwa pale na tunajua mtuhimiwa anaweza kupewa dhamana kwasababu mbalimbali lakini unakuta anapewa dhamana ndio bila ya...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Uwajibikaji: Aina na jinsi unavyofikiwa

    UWAJIBIKAJI Namna ya kufikia uwajibikaji ina vipengele vitatu: 1. Uwajibikaji binafsi – mtu kuwajibishwa kwa kosa alilotenda yeye mwenyewe, iwe ni kosa la madai au jinai, kwa kuzingatia vigezo vya kisheria. 2. Uwajibikaji wa kiongozi au kamanda – kuna vigezo maalum; kiongozi au kamanda lazima...
  8. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Kwa propaganda hizi zilizoandaliwa na Tume ya Chande kweli mko serious mnataka Maridhiano? Bila ukweli na Uwajibikaji sioni Maridhiano yakifanikiwa

    Taifa liweze kupona msingi wake lazima huwe ukweli na uwajibikaji sasa hii Tume Jaji chande imejikita kwenye propaganda za kitoto Je kweli nyie mnataka kuliponya Taifa? Watanzania au wananchi wa karne hiii hamtaweza tena kuwadanganya kitoto tena...
  9. UTPC

    JamiiForums Tanzania Pengo la uwajibikaji na changamoto ya miundombinu kwa watoto wenye ulemavu katika shule za Mwanza

    Katika shule za msingi na sekondari mkoani Mwanza, watoto wenye ulemavu bado wanakabiliwa na mazingira ya kujifunzia yasiyo rafiki, kutoka vyoo visivyofikika hadi madarasa yasiyo na njia salama za kupita. Hali hii imeendelea kujitokeza licha ya uwepo wa sera na sheria zinazotambua haki ya watoto...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Sasa mmeleewa kuwa uzee na usomi sio heshima na hekima, heshima ni utu, hekima ni uwajibikaji.

    Its 12:00pm Muwe na mchana mwema
  11. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Silinde azindua baraza la Sita la wafanyakazi tume ya taifa ya umwagiliaji, ahimiza umoja na uwajibikaji

    📍NIRC Dodoma. Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amezindua Baraza la Sita la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), huku akitoa wito kwa watumishi wa Tume hiyo kudumisha umoja na kutokubali kukatishwa tamaa na sauti chache za watu wasiothamini kazi nzuri inayofanywa na...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CV ya Mwenyekiti wa Tume ya matukio ya 29/ 10, Jaji Mohamed Chande Othman

    Ustadi wa Jaji Chande katika Sheria ya Kibinadamu ya Kimataifa, Sheria ya Wakimbizi, Sheria ya Jinai na Sheria ya Ushahidi unamfanya kuwa kiongozi bora siyo tu duniani bali eneo lote la Afrika Mashariki wa uchunguzi wowote muhimu unaohusisha hasara ya maisha na uwajibikaji wa serikali. Hii...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mkiwaona CDF, IGP na DGIS, kwenye utoajii wa hiyo ripoti ya Chande, mjue hakuna uwajibikaji

    Binafsi naamini teyari kuna watu wanajua kilichopo kwenye hiyo ripoti ya Jaji Chande wakiwemo watuhumiwa wakuu wa mauaji ya Oktoba 29. Kwahiyo, kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari cha huu uzi, mkiwaona hao niliowataja wamehudhuria hilo tukio la utoaji wa hiyo ripoti, mjue tu watu hao...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Bila uwajibikaji sioni namna hiyo tume ikiponya taifa zaidi ya kupigilia msumari kwenye vidonda na kuzidisha uhasama

    Hamjambo Wote! 1. Kilichotokea October 29 kiliingiza nchi yetu kwenye historia ngumu, mbaya na yenye maumivu yenye kumbukumbu za machozi ya damu. 2. Kwa wazee niliokutana nao wenyewe wanasema wao wenyewe tangu kuzaliwa hawajawahi kuona Hali na tukio la namna lile. Hii ni kumaanisha wote...
  15. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mpango wa Serikali kuendeleza upya maeneo ya Sinza unahitaji uwazi na uwajibikaji

    Natoa wito kwa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuuangalia kwa karibu mpango wa uendelezaji upya wa eneo la Sinza, Dar es Salaam, unaoratibiwa na Manispaa ya Ubungo, kutokana na kuwepo kwa viashiria vya shinikizo na ukosefu wa uwazi. Kwa muda sasa, wananchi wa Sinza tumekuwa...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apokea ugeni wa Mtandao wa Viongozi Wanawake wa Afrika. Wasisitiza kuimarisha utawala wa kidemokrasia

    Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo amepokea ugeni wa ngazi ya juu kutoka Mtandao wa Viongozi Wanawake wa Afrika (AFLN) katika Ikulu ya Dar es Salaam, ikiwa ni ziara ya kidiplomasia iliyolenga kuimarisha ushirikiano katika utawala bora, ujenzi wa amani, na uongozi...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Bila uwajibikaji wa kweli, hizi ripoti ni kelele tu. Huu si wakati wa kusoma ripoti ya CAG na kusahau

    Ripoti ya CAG si habari mpya ni uthibitisho wa uzembe na ufisadi uliokithiri. Fedha za umma zinapotea, wananchi wanabaki na hospitali zisizo na dawa, shule duni, na miradi hewa. Bila uwajibikaji wa kweli, hizi ripoti ni kelele tu.Huu si wakati wa kusoma ripoti na kusahau.
  18. H

    JamiiForums Tanzania Sababu ya Rais kupewa ripoti ya CAG kila mwaka ni muhimu sana kwa uwajibikaji na uendeshaji mzuri wa Serikali

    . Hizi ndizo sababu kuu: 1. Uwajibikaji wa fedha za umma Ripoti ya CAG inaonyesha jinsi fedha za serikali zilivyotumika. Rais anapewa ili ajue kama fedha zimetumika vizuri au kuna ubadhirifu. 2. Kugundua makosa na ufisadi CAG huchunguza matumizi mabaya ya fedha, wizi, au ukiukwaji wa sheria...
  19. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaiangalia Tume ya Uchunguzi wa Vurugu za Uchaguzi 2025 kama kipimo cha uwajibikaji

    Geneva, Uswisi. Tanzania imeangazia juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan, katika kuimarisha uwajibikaji, maridhiano na kuendelea kuzijenga taasisi za umma kupitia kuundwa kwa Tume Huru ya Uchunguzi kuhusu vurugu zilizohusishwa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Hayo yaliwasilishwa katika tukio...
  20. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Msigwa amshukia Zungu, amwambia kulalamika kuhusu ATCL kuchelewesha safari ni uvunjifu wa sheria!

    Wakuu, Nacheka ka mazuri🤣🤣🤣 kwahiyo mtu akitoa povu lake taasisi/shirika linapozingua ni uvunjivu wa sheria? Nakojoaaaaaa😆😆😆😆. Chawa kafikiwa 😆😆 Kelvin Raphael (Zungu) alitoa povu lake jana baada ya ndege za ATCL kudelay safari, ambapo ATCL imekuja kuomba radhi muda si mrefu! Gerson Msigwa...
Back
Top Bottom