ulimwengu

Thomas Emanuel Ulimwengu (born 14 June 1993) is a Tanzanian football striker who is currently playing as a forward for TP Mazembe and the Tanzania national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Damu ndio sarafu pekee ya kulipia huduma zote zinazotolewa katika ulimwengu wa roho (Damu ya Yesu ilifanya kazi hiyo)

    Mathayo 26:26–29 Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, “Twaeni mle; huu ndio mwili wangu.” Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika hiki; kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi...
  2. marcoveratti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Nini Marvel Inaonekana Bora Kuliko DC Katika Ulimwengu wa Filamu

    Kwa zaidi ya muongo mmoja, Marvel Studios imefanikiwa kujijenga kama kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa filamu za mashujaa duniani. Ingawa DC ina baadhi ya wahusika maarufu zaidi kuwahi kuundwa kama Batman, Superman na Wonder Woman, bado Marvel imeweza kutawala soko la filamu kwa kiwango...
  3. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu simama nishuke

    NIPEBOOST ni mkopo wa siku 30.Usipolipa ndani ya siku 30 utatozwa faini ya 0.5% na kutozwa riba ya juu ya 0.83% kwa siku.Usipolipa ndani ya siku 60 unaweza kupunguziwa kiwango cha kukopa, kufungiwa akaunti na kuripotiwa CRB.Furahia huduma,KOPA na LIPA ndani ya siku 30.Msaada piga BURE...
  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Dunia ya wajinga, ulimwengu wa werevu

    Rasilimali, fursa, au mazingira yaliyopo yanaweza kutumiwa vibaya au kupuuzwa na watu wasio na maarifa (wajinga), lakini watu wenye akili na busara (werevu) huyatumia hayo hayo kujipatia mafanikio na faida.
  5. kindikinyer leborosier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa mapenzi ulikuacha na kumbukumbu ipi usiyoweza kuisahau?

    Habari Wana jamii!! Mpo salama? Mpo poa? . Niende Moja kwa moja kwenye habari, nimewaza hili nikikumbuka matukio mawili ambayo Siwezi kuyasahau, yanafundisha sana, na kuonyesha vile vile. . TUKIO LA KWANZA. nikikua na mpenzi mwanamke mzuri alieajiriwa jeshini ni daktari, alipata mafunzo yote ya...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 ya kiroho kwenye ulimwengu wa giza

    1. Maagano ya Damu (Blood Covenants)Ulimwengu wa giza hufanya kazi kupitia maagano ya damu ya siri, ambapo kafara za wanyama au wanadamu hutumika kama sarafu kuu ya kiroho. Kwenye dunia ya asili, jambo hili linajidhihirisha kupitia matukio yasiyoelezeka ya vifo vya ghafla au ajali mfululizo...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Kuna mambo mawili ambayo wenye akili wanayatafakari sana: 1. Nyerere alikuwa ameshaamua Mkapa asingekuwa raisi wa awamu mbili 2. Nyerere angekuwa hai, Kikwete asingekuwa Rais, maana alimshamkataa katakata 3. Mkapa alimwambia Kikwete waziwazi, kwamba kwa mazingira yaliyopo mimi nisipokuwa...
  8. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania BIKRA ya mwanamke sio ishara ya ubora wake. Ulimwengu wa mtu upo kichwani na moyoni mwake, hata siku moja uchi hauwezi amua chochote.

    Ooh hakikisha unaoa mwanamke mwenye bikra, Mara ooh ukikuta hana bikra, piga chini. Kama ingekuwa hivyo wengi wenu msingekuwepo hapa duniani. Mwanamke akiamua kukubadirikia atakubadirikia tu haijalishi ulimkuta sealed au open case kwa maana mindset ipo kichwni na sio ukeni Acheni utoto.
  9. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Katika ulimwengu wenye kelele na mambo mengi: Ni jambo gani dogo linalokupa utulivu wa nafsi kwa sasa?

    Habari za wakati huu wana-jukwaa wenzangu, Maisha ya sasa yamekuwa na kasi sana. Kila mmoja wetu anapambana na majukumu, foleni, kazi, na changamoto mbalimbali za kimaisha. Katika mihangaiko hii yote, ni rahisi sana kujisahau na kupoteza ule utulivu wa ndani (inner peace). Lengo la uzi huu si...
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran: Ulimwengu Unajua Kinachoisibu Israel Kutokana na Vita?

    https://youtu.be/jLnDr9GEKiU?si=uwb_tCX5jY4cGNUJ
  11. Life2

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuua watu bure Ulimwengu mzima ukanyamaza juu yako

    Endeleeni kupumzika kwa amani Watanganyika wenzetu mliopoteza maisha yenu 29 Oct, mkiwa na lengo la kulipigania taifa hili. Mauaji ya Kimbari kule Rwanda mpaka leo yanakumbukwa. Mauaji ya halaiki kwa njaa kule Ukraine (Holodomor) kutoka kwa Urusi mpaka leo bado yanakumbukwa, na bado baadhi ya...
  12. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Mambo huanzia rohoni nakuja kimwili

    Umewahi kujiuliza kwanini kuna watu kila wakigusa jambo linafanikiwa, na kuna wengine kila wakijaribu wanagonga ukuta? Siri kubwa haipo kwenye bahati, bali ipo kwenye sumaku iliyojificha ndani ya akili na nafsi yako. *Ukweli ni huu: Huvuti unachokitaka, unavuta kile ulicho nacho ndani. 1...
  13. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Uwazacho ndo ukivutacho toka ulimwengu wa kiroho hadi kimwili

    Umewahi kujiuliza kwanini kuna watu kila wakigusa jambo linafanikiwa, na kuna wengine kila wakijaribu wanagonga ukuta? Siri kubwa haipo kwenye bahati, bali ipo kwenye sumaku iliyojificha ndani ya akili na nafsi yako. *Ukweli ni huu: Huvuti unachokitaka, unavuta kile ulicho nacho ndani. 1...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Safari ya Jenerali Ulimwengu kutoka Ngara hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Kumekuwa na utata wa wasifu wa mwandishi wa habari mkongwe, Jenerali Ulimwengu, hasa baada ya kutakiw akuomba upya uraia, enzi za Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa. Akizungumza katika mahojiano maalum, Jenerali Ulimwengu anasimulia safari yake tangu alipozaliwa wilayani Ngara mkoani...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Sababu za Jenerali Ulimwengu kuzinguana na Mkapa hadi kunyang'anywa uraia

    Japo Jenerali Ulimwengu anasema hakuwa na urafiki wa karibu na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, wawili hao wana historia ya kufanya kazi pamoja, tangu wakiwa gazeti la Daily News miaka ya 1973- 74 na baadaye walipokutana kwenye siasa. Hata hivyo, ilifika mahali wawili hao wakatofautiana na hapa...
  16. E

    JamiiForums Tanzania Jenerali Ulimwengu: Tanzania ni kama tumerudi kwenye mfumo wa chama kimoja cha siasa

    Licha ya Mataifa ya Afrika kuridhia mfumo wa vyama vingi kuanzia miaka 1989, baadhi yao yameshindwa kuendeleza demokrasia ya vyama vingi, huku watawala waliochaguliwa na wananchi wakiziendesha nchi zao kidikteta. Tanzania iliyoridhia mfumo huo mwaka 1992, imepita katika milima na mabonde...
  17. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Majibu ya Sayansi kwa swali maarufu la Atheists. Kwanini hakuna uwezekano kwamba ulimwengu ulikwepogi tu milele. Vita kali dhidi ya Atheists Ep4

    ‎Atheists wengi wanaposikia hoja ya Mungu kama Muumba wa ulimwengu wanajibu haraka kwamba "Ulimwengu ulikuwepo milele hauhitaji muumba." ‎ ‎Jibu hilo linaonekana rahisi. Linaonekana la akili. Linaonekana kama njia nzuri ya kukimbia swali zito. ‎Lakini ni sayansi sio mimi P h a r a o h sayansi...
  18. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ulimwengu Umeundwa Mahususi kwaajili ya ku support Uhai kama mtu anavyotengeneza banda kisasa ili kuku wakae ?. Vita kali dhidi ya atheist Ep2

    ‎ulimwengu una mipangilio sensitive kama frequency ya redio ( ambapo ukibadikisha kidogo tu huipati channel hiyo ) ambapo kama ulimwengu ungekuwa tofauti kidogo tu hata kidogo sana uhai usingewezekana kabisa. ‎ ‎Mfano mmoja tu wa kuelewa: ‎Nguvu inayoshikilia atom pamoja inaitwa strong...
  19. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Jabali la Afrika lililouduwaza Ulimwengu- Edward Festus Mukuka Nkoloso (1919 – 4 March 1989) Mzee wa The Afronauts

    Edward Festus Mukuka Nkoloso (1919 – 4 March 1989) Edward Festus Mukuka Nkoloso alikuwa mwalimu, mwanaharakati wa uhuru, na mtu mashuhuri kwa wazo lake la kipekee la kuanzisha programu ya anga za juu nchini Zambia. Open sidebar ChatGPT Get Plus You said: Je nawezaje Kuuza machine za...
  20. C

    JamiiForums Tanzania Logic ya kawaida vs nature, ukielewa hichi kitu kimoja tu utakua umeelewa kilakitu katika ulimwengu

    Logic ya kawaida: nikihifadhi kitu nimesecure ni changu nikiendelea kufanya hivi zinaongezeka natajirika. Nature: ili kitu kiendelee kuongezeka lazima kitoe kitu chake kwanza mfano: mti lazima utoe kimvuli, muonekano mzuri, au matunda, kisha utaruhusuwa kuzaliana na kustawi - ukiwa na mazao...
Back
Top Bottom