toilet

A toilet is a piece of sanitary hardware used for the collection or disposal of human urine and feces. Toilets can be with or without flushing water (flush toilet or dry toilet). They can be set up for a sitting posture or for a squatting posture (squat toilet). Flush toilets are usually connected to a sewer system in urban areas and to septic tanks in isolated areas. Dry toilets are connected to a pit, removable container, composting chamber, or other storage and treatment device. Toilets are commonly made of ceramic (porcelain), concrete, plastic, or wood.
In private homes, the toilet, sink, bath, or shower may be in the same room. Another option is to have one room for body washing (bathroom) and another for the toilet and handwashing sink (toilet room). Public toilets consist of one or more toilets (and commonly urinals) which are available for use by the general public. Portable toilets or chemical toilets may be brought in for large and temporary gatherings.
Historically, sanitation has been a concern from the earliest stages of human settlements. However, many poor households in developing countries use very basic, and often unhygienic toilets - and nearly one billion people have no access to a toilet at all, and are forced to do open defecation. These issues can lead to the spread of diseases transmitted via the fecal-oral route or via water, such as cholera and diarrhea. The United Nations Sustainable Development Goal 6 therefore calls for "access to adequate and equitable sanitation and hygiene for all and end open defecation".

View More On Wikipedia.org
  1. Asphalt1961

    Tafakuri: Matumizi ya choo kisicho na Maji, chenye toilet paper

    Wana Jamvi habarini za leo na hongereni kwa kumaliza mifungo yote salama. Kuna swala linanitatiza sana hasa nikienda nchi za watu lakini pia hotel na restaurants za kitalii hapa nyumbani. Kiutamaduni sisi waTanzania wengi tumelelewa kwa matumizi ya maji chooni hasa kwenye kujisafisha baada ya...
  2. D

    Je, wajua toilet paper na tissue zina matumizi tofauti?

    Toilet paper na tissue paper hata kama baadhi ya wakati hutengenezwa kwa maumbo sawa, hazifanani matumizi. Toilet paper imetengenezwa kuyeyuka haraka majini, hivyo kuifanya iwe salama kwa mabomba na mifumo ya maji taka. Toilet paper imetengenezwa kwa makusudi ya kujisafisha baada ya kutumia...
  3. T

    Ramani ya vyumba viwili, kimoja master, jiko, sebule na public toilet kwa 5000 tu

    Wakuu habari za hapa,ninauza ramani ya kuanzia maisha ,ramani ya vyumba viwili,KIMOJA master,jiko,sebule, choo cha public. Ramani hiyo Ina kurasa za paa,msingi,muonekano,na vipimo vyake. Kwa mawasiliano nichek inbox. NB: NAUZA KWA SABABU MIMI MWENYEWE NIMENUNUA,NDIO AMBAYO NIMEJENGA.
  4. ward41

    Sehemu kubwa ya dunia hawafanyi tohara, wanatumia toilet paper, tembea uone

    Ukikaa sehemu moja, unaweza sema dunia iko hivyo. Hapana dunia haiko hivyo. Ukweli ni kwamba sehemu kubwa ya dunia wanatumia toilet paper na wanaume hawafanyi tohara. Asia, Europe, America, Pacific, Australia ni mwendo wa toilet paper na wanaume wengi hawajafanya tohara. Mambo ya tohara yapo...
  5. S

    Nasubiri kwa hamu hotuba ya Harrison Mwakyembe aliyetumika kumchafua Lowassa kwenye sakata la Richmond

    Wanyakyusa wamefanya mengi ya kishujaa nchi hii yanayokumbukwa. Lakini Dr. Harrison Mwakyembe alifanya jambo ambalo mpk kesho linashikilia rekodi ya ushubwada. Alikubali kutumika na maadui/wasaliti wa Lowasa kufanya kazi haramu ya kumuangushia zigo la ufisadi kisha kumchafua. Na mhe. Rafael...
  6. kijanamtanashati

    Wazungu waja na Smart Toilet au Choo Janja

    Wazungu wameamua kutuletea smart toilet. Ukikaa ktk iki choo huna haja ya kujikamua ata kama nnya ikiwa ngumu mitambo inakukamua unastukia mzigo umeshashuka chini. Baada ya apo unasafishwa unapigwa msasa na kukaushwa maji. Amna tabu ya kuanza kushika maji au kujishika. Mambo yote yakiisha...
  7. M

    Ni kweli Makonda anatumiwa kuwapoza wasukuma ili kupunguza makali ya 2025?

    Namnukuu member wa Jf Glenn katika moja ya comment yake namnukuu "Ukweli mchungu Msoga wenye nchi kamwe hawataki hata kumsikia Makonda. Pia Kinana na Makonda haziivi hata chembe" NOTE: Ikumbukwe kuwa CCM jambo lao kuu kuliko yote ni kubaki kuwa Chama Bola chama Tawala iwe kwa namna yeyote Ile...
  8. Jamii Opportunities

    Tender Inviting Bids for renovation of the public toilet in the India House Dar es Salaam

    The High Commission of India, Dar es Salaam invites sealed quotations for work of renovation of the public toilet in the India House Dar es Salaam. The tender Document shall be available for collection by applicants from 28.08.2023 to 11.09.2023 upto 1500hrs from High Commission of India...
  9. Superbug

    Wakinadada wanajaza toilet paper kwenye choo changu cha baa, naumia

    Wakinadada mkija bar hasa ya kwangu iko Msamvu, msitumie toilet paper, tumieni flash water ya kupump na mkono!
  10. J

    Rais wa Uganda ahudhuria sherehe za Ruto na mobile toilet

    Kenya. Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Raisi mpya wa Kenya kwa kusafiri na ndege maalumu ya Rais huku akiambatana na washauri wake wa karibu. Katika hali ya kushangaza, Rais huyo wa Uganda ameambatana na mobile toilet katika msafara wake, mobile toilet...
  11. Sky Eclat

    It’s called ECO toilet, it can compose human waste and can be used as manual.

    It can be cleaned with water and you don’t need running water to use it. After cleaning with water you can wipe the surface with antibacterial wipes.
  12. E

    2022 one of my plan is to give more

    Habari zenu Jf. Heri ya mwaka mpya 2022, natumaini wengi wenu ni wazima na wale wenye udhaifu wowote basi Mungu aliye juu sana awatie nguvu ,shauri ,ujasiri na uhodari katika kushinda udhaifu huo. 2022 one of my plan is to give more......... Mwaka mpya umeanza kila mmoja yupo kwenye...
  13. S

    Hivi kweli kupenga makamasi kwa kutumia kitambaa na hajaa kubwa kwa kutumia tissue na kupiga chafya kwa kutumia kiganja,ni usafi na ndio kustaarabika?

    Kwa wengi tuliokulia mijini, bila shaka tumeshiriki katika kuyafanya haya na huenda bado tunaendelea kutekeleza huu utamaduni wa kimagharabiki ambao tunauona ni sahihi na ndio kustaarabika. Tusione aibu na tujadiliane hapa kama kweli hii tabia ya kupenga makamasi na kisha kuweka kitambaa cha...
  14. LellozWho

    “PUBLIC TOILET” Ni sahihi kuita Choo cha nyumba binafsi Public toilet?

    Madalali wengi na watu binafsi kwa Tanzania wanatumia neno Public toilet kwenye choo cha wageni katika (residential house) makazi binafsi. hii imekaa sawa?
  15. Byra toilet construction

    Uchimbaji na ujenzi wa shimo la choo la kisasa kwa bei rafiki

    Hello, Watanzania habari? BYRA TOILET CONSTRUCTORS Tunachimba na kujenga shimo la choo kwa mfumo wa kisasa usiojaa maji taka wala kutoa harufu kwa mda mrefu sana..kwa gharama zifuatazo: 1,200,000/= kwa mkoa wa Daresalaam 1,500,000/= kwa mikoa mingine Note: KWA BEI HIYO KILA KITU NI JUU YETU...
Back
Top Bottom