Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 1,826
- 2,842
Kwanza kabisa, uzi huu hauna lengo la kukashifu imani au itikadi yoyote na msimamo wa mwandishi haufungamani na upande wowote!
ASILI YA ISRAEL, SAUDI ARABIA na PALESTINE, katika dini kuu tatu, yaani Uislamu(Islamic), Ukristo(Christianity) na Uyahudi (Judaism) anatajwa IBRAHIMU au Abrahamu! Mzee huyu ndiye chimbuko la imani hizi, na ndiyo kitu wanachokubaliana wote.
IKO HIVI Mzee Abrahamu alichelewa Sana kupata mtoto! Mtoto wake wa kwanza alizaliwa kwa kijakazi (House girl) akaitwa ISHMAEL (ISMAIL) baba wa waarabu halisi. Mtoto wa pili (wa kwanza na pekee kwa mama yake) aliitwa ISAKA (isaac) chimbuko la wayahudi wa kweli unataka kujua wakristo walitokeaje? Endelea 😀
KWANINI SAUDI ARABIA ANAIUNGA MKONO ISRAEL? Kwa watu wengi wamekuwa wakishangaa ushirikiano wa Israeli na Saudi Arabia! Mwarabu huyu tofauti na wengine amekuwa akionyesha kuiunga mkono Israel na hii ni sababu ni ndugu wa damu! Hata mzee Ibrahimu alivyofariki alizikwa na wanawe wawili ISHMAEL na ISAKA!!
SASA PALESTINE NI NANI KAMA SIYO MWARABU? Kwenye Bible wana wa Israeli walivyofika nchi ya ahadi walipewa eneo la kutawala, na walizungukwa na mataifa mbalimbali wakiwemo WAFILISTI (philistines au PALESTINIAN) 😀Kuna wakati kwenye biblia historia inaonyesha Israel akipewa kichapo cha mbwa koko na wafilisti, Ushasikia habari za Daudi na Goliathi? Huyu mwamba (Goliath) alikuwa jemedari wa jeshi la Wafilisti 😀😀Ukijaribu kuwasuluhisha unaingilia ugomvi usioujua!
VITA YAO haijaanza Leo! Naam vita ya Palestine na Israel imekuwa ni ya muda mrefu Sana! Kwenye biblia miaka zaidi ya 2000 kabla ya Yesu vita hii ilikuwepo!
Kuna clip mzee wa upako Anthony Lusekelo kalieleza suala hilo kwa upana
ASILI YA ISRAEL, SAUDI ARABIA na PALESTINE, katika dini kuu tatu, yaani Uislamu(Islamic), Ukristo(Christianity) na Uyahudi (Judaism) anatajwa IBRAHIMU au Abrahamu! Mzee huyu ndiye chimbuko la imani hizi, na ndiyo kitu wanachokubaliana wote.
IKO HIVI Mzee Abrahamu alichelewa Sana kupata mtoto! Mtoto wake wa kwanza alizaliwa kwa kijakazi (House girl) akaitwa ISHMAEL (ISMAIL) baba wa waarabu halisi. Mtoto wa pili (wa kwanza na pekee kwa mama yake) aliitwa ISAKA (isaac) chimbuko la wayahudi wa kweli unataka kujua wakristo walitokeaje? Endelea 😀
KWANINI SAUDI ARABIA ANAIUNGA MKONO ISRAEL? Kwa watu wengi wamekuwa wakishangaa ushirikiano wa Israeli na Saudi Arabia! Mwarabu huyu tofauti na wengine amekuwa akionyesha kuiunga mkono Israel na hii ni sababu ni ndugu wa damu! Hata mzee Ibrahimu alivyofariki alizikwa na wanawe wawili ISHMAEL na ISAKA!!
SASA PALESTINE NI NANI KAMA SIYO MWARABU? Kwenye Bible wana wa Israeli walivyofika nchi ya ahadi walipewa eneo la kutawala, na walizungukwa na mataifa mbalimbali wakiwemo WAFILISTI (philistines au PALESTINIAN) 😀Kuna wakati kwenye biblia historia inaonyesha Israel akipewa kichapo cha mbwa koko na wafilisti, Ushasikia habari za Daudi na Goliathi? Huyu mwamba (Goliath) alikuwa jemedari wa jeshi la Wafilisti 😀😀Ukijaribu kuwasuluhisha unaingilia ugomvi usioujua!
VITA YAO haijaanza Leo! Naam vita ya Palestine na Israel imekuwa ni ya muda mrefu Sana! Kwenye biblia miaka zaidi ya 2000 kabla ya Yesu vita hii ilikuwepo!
Kuna clip mzee wa upako Anthony Lusekelo kalieleza suala hilo kwa upana