train

  1. Danielmwasi

    Train letu aerodynamic zinakataa kufika 200 KM/HR . According to Scientific Research of why the body should be streamline to archive speed and balance

    Hakika! Hebu tujadili ulimwengu wa treni zenye umbo la kubana na kwa nini ni muhimu kwa kufikia kasi kubwa kama vile 200 km/saa. ## Treni Zenye Umbo la Kubana: Umuhimu wa Kasi ### 1. Umuhimu wa Aerodynamics Treni zenye umbo la kubana, au "streamliners," zinabuniwa na umbo lenye mvuto. Hapa...
  2. Abou Shaymaa

    Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14

    Wakuu mwenye taarifa kamili atujuze maan kuna ndugu yetu tumepewa taarifa kafariki alikuwa humo, Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun ===== Watu 14 wamefariki dunia na wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali iyohusisha basi la Kampuni ya Baraka Classic, yenye namba za usajili T 336 DPW, inayofanya...
  3. Venus Star

    Je wajua? 60% ya High-Speed train duniani zipo China

    BWANA WETU YESU KRISTO ASIFIWE. Ninaendelea kutoa taarifa za kiuchunguzi za kina kuhusu dunia yetu hii. Kwa muda wa wiki mbili nilikuwa katika utafiti kuhusu High-Speed Train. High-Speed Train ni nini? Hii ni train inayokimbia kwa mwendo wa kuanzia 200 km/h (124 mph). Train ikiwa na mwendo huu...
  4. Mganguzi

    Hayati Magufuli angekuwepo SGR Dar-Moro na Bwawa la Mwl. Nyerere vingekuwa vinafanya kazi

    Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo; 1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha. 2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo. 3. Kalemani angekuwa Waziri wa...
  5. N

    SoC03 Treni ya mizimu

    Moja kati ya visa ambavyo bado vinaumiza vichwa vya watu mpaka leo hii ni kisa cha Treni Moja ya Kampuni ya Zannetti. Treni ambayo inadaiwa kupotea miaka ya 1800’s na imekuwa ikionekana kwa baadhi ya vipindi vya miaka, huku mara ya kwanza Ikionekana miaka takriban 60 baada ya...
  6. Chizi Maarifa

    Daladala lenye safari ya kwenda Kigamboni limegonga Train hapa Kariakoo

    Daladala lenye safari ya kwenda Kigamboni limegonga Train hapa Kariakoo. Hali bado si nzuri. Uchunguzi wa Majeruhi au Vifo unaendelea. Ila wengi wapo katika hali ambazo si salama.
  7. Upekuzi101

    Huduma ya Train Dar - Arusha ni fedhea

    Habari wana Jf Kuna changamoto kadhaa kwenye tren zetu za Dar to Arusha/ Arusha to Dar la kuhusu huduma kwa ujumla hususani kwa watalii ambao wanatumia huu usafiri ni la kulifanyia kazi haswa ukizingatia Kwa sasa wazungu /watalii wengi wanapanda hizi tren kama sehemu ya utalii au budget...
  8. M

    How to train your mind to think like a Millionaire

    Has it occurred to you that, in order to become wealthy, you need to develop a specific mindset towards wealth? Being rich and being wealthy are two different things. Becoming wealthy requires hard work and special skills. If you want to achieve financial security and build a healthy financial...
  9. Tareq20

    Tumuelewe nani sasa Kati ya hawa wawili kuhusu mabehewa ya treni

    Hanganya anasema ni used huyu anasema ni mapya
  10. ROOM 47

    Kero: TRC kitengo chenu cha IT kinasumbua wasafiri wa train ya deluxe

    Kumekuwa na hali ya kushangaza sana kwa wasafiri wa train ya Deluxe kutoka Dsm to Kgm hasa kwa abiria ambao wanakata ticket kupitia website zao hii imejirudia zaid ya mara nne katika kupata ticket online yaani wanawafungia wateja wasipate ticket kwenye website zao mpaka uende kwa mawakala wao...
  11. MK254

    Netflix helps produce three Kenyan movies, offers Sh33m to train local actors

    Netflix is helping produce three Kenyan movies and will spend Sh33 million to train actors, as part of its investment in local content. The three are in different stages of production while their licensed local titles are being reviewed by Netflix. The US streaming service said the Kenyan...
  12. The Spirit of Tanzania

    Huduma mbovu Train ya Deluxe

    Wakuu heshima kwenu; Katika mashirika ya Serikali ambayo yanapaswa kuwa na huduma za kueleweka ni hili la huduma za usafiri,hasa nikimaanisha train maana ndio kuna mkono wa serikali ukitoa lile shirika lenye zile mashine zirukazo angani. Lakini katika hali ya kushangaza train ya deluxe kutoka...
  13. jollyman91

    Three dead, several injured in Amtrak train derailment in Montana

    News / Society / News Bulletin Three dead, several injured in Amtrak train derailment in Montana Sunday, 26 September 2021 8:32 AM [ Last Update: Sunday, 26 September 2021 8:49 AM ] Play Video At least three people died on Saturday and some passengers were injured after an Amtrak...
  14. M

    Take a look at Dubai's under Water train and other wonderful innovations.

    There is no doubt that Dubai possesses a substantial amount of financial resources. And, despite the fact that many countries may boast about their prosperity, none of them exudes the same sense of forward-thinking as Dubia does. The country is home to some of the most magnificent facilities...
  15. mwanamwana

    President Museveni: I wanted to be a train driver

    President Yoweri Museveni has made a revelation that earlier in his school days, he wanted to be a locomotive driver. Museveni was speaking to a group of graduands at the 17th graduation ceremony for Kyambogo University on Tuesday afternoon. Speaking virtually from State House Entebbe, in...
  16. Sky Eclat

    Malkia Elizabeth II wa Uingereza ana train yake.

    Malkia ana train yake, inakuwa na mabehewa mpaka tisa kutokana na umuhimu wa safari yake na idadi ya wasafiri. Train hii humuwezeshs yeye pamoja na familia yake hata wageni wake kusafiri kwa amani bila usumbufu. Hili ni behewa la chakula, wanawekewa chakula wakiwa safarini yeye na wageni wake.
  17. S

    2 men were killed by a train while mourning their brother who was killed in the same spot the week before

    Two men were mourning the loss of their brother who had died in a train collision the week earlier. They were struck by a train in the same spot their brother was killed, the City of Charlotte said. Both men were pronounced dead at the scene. Visit Insider's homepage for more stories. Two men...
  18. MK254

    Hii kali bandugu - Kenya Institute of Curriculum Development, TSC, Microsoft and Safaricom to train teachers on digital skills

    What you need to know: The partnership also includes Safaricom that has offered education bundles to teachers and learners. Last week, KICD council appointed a new director, Prof Charles Ong’ondo, an academic from Moi University. The national curriculum regulator is rolling out a digital...
Back
Top Bottom