Hapajatuna: Kiba100🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️Atatokea mdada mmoja lazima awaze mb0 ya Ronaldo lazima
Ndiyo alivyo hivi Sasa, wala siyo photoshopJamani kawaje hivyo??
Au mmephotoshop...
Kweli pombe si chai na masigara!KNdiyo alivyo hivi Sasa, wala siyo photoshop
Yeah,pombeKuhusu ngozi Rooney ni albino kama De bruyne kuhusu uchakavu wa mwili anaendekeza sana pombe
Ni malezi ya kula ovyoovyo bila kujishughulisha na kazi za mikono kama kulimalima bustani,kukwetua mazingira kwa jembe ili kuweka misuli sawa,sasa kila kitu vibarua ,wenyewe kwenye magari na stuli ndefu!Lazima haya yatokee.Hata bongo imeshaanza kuonekana kwa vijana wengi kuonekana ni wazee kumbe wana umri mdogo. Unakuta kijana ana mvi nyingi, ana kipara, ana kitambi mpaka unaogopa imekuaje anazeeka akiwa na umri mdogo? Je ni lishe? Unywaji, mitindo ya maisha? Unatembea na kijana mdogo umemzidi umri lakini yeye ndiye anayepewa heshima ya uzee we uliyemzidi umri hupewi heshima ya uzee mbele ya kijana mdogo. Wataalam wa mambo ya makuzi watuambie
Wazungu wanakula vyakula vyenye mbolea nyingiNimeshangazwa na kijana mmoja niliyemuambia akanyoe ndevu zake, alinijibu kuna sehemu anaenda kununua shamba, anataka akifika huko kwa hao wanaomuuzia shamba asionekane ni kijana bali aonekane ni mzee kwa kuachia madevu yake aheshimike. Duh! Rooney anaonekana amezeeka vibaya! Hata hivyo wachezaji wengi wa ulaya tunaambiwa ni kinda wana miaka 20, 21, ukiwatazama ni wakubwa mno, wakifikisha 30 wanastaafu soka kwa kuonekana ni wazee
Kama unamzidi miaka 10 utakuwa na mvi, Ila sema siyo nyingi kam za Rooney. Umri wa miaka 48 lazima uwe na mvi.Rooney nimempita miaka 10+ sina mvi ,sina kitambi ,sina upara,kanizidi hela tu huyu nguruwe
Ila watu wanazingatia maokoto..Duhhh!! Mbona kama kazeeka sana! Amebadilika hadi sio poa