Nahodha wa klabu ya SC Villa ya Uganda, David Owori, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa majambazi karibu na nyumbani kwake.
Taarifa za kifo cha Owori, zimethibitishwa na klabu hiyo, kupitia ukurasa wake wa X, Agosti 5, 2026.
Kulingana na taarifa hizo, Owori alikuwa...