Katogo (also known as Katoro) is a town in the far north of Ivory Coast. It is a sub-prefecture of M'Bengué Department in Poro Region, Savanes District. Seven kilometres north of town is a border crossing with Mali.
Kotogo was a commune until March 2012, when it became one of 1126 communes nationwide that were abolished.In 2014, the population of the sub-prefecture of Katogo was 14,862.
Inasemekana Majambazi yakiwa na bunduki yamevamia maduka ya fedha maarufu kama M pesa na kupora mamilioni ya fedha.
Tukio hili limetokea Katoro hapo jana siku ya tar 10 majira ya saa mbili usiku.
My take; Majambazi yanapalia timing Katoro sababu ya watu wa katoro kujionyesha kuwa wana hela na...
For four years, Stanley ran his motorcycle spare parts business in Katoro the way most people do cash in hand, no official name just a stall and a reputation built one customer at a time.
Business was good. But every time suppliers asked for his company registration documents, Stanley went...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika CHADEMA Imechokwa na watanzania,Imekatalika kwa watu,Imepuuzwa na wananchi ,Imesuswa na wote wenye akili Timamu na wenye kujitambua . CHADEMA Imepoteza Ushawishi kwa Makundi yote .
Hakuna kundi wala rika wala Eneo utasema ndiko CHADEMA inakubalika ama ngome...
Huhitaji tena:
(i). Kupoteza siku nzima foleni
(ii). Kutumia gharama za usafiri kwenda Dar es Salaam au Mwanza
(iii). Kuchanganyikiwa na taratibu ngumu za makaratasi
Sisi tunakusaidia hatua zote, kuanzia jina la kampuni, hati za usajili, TIN, hadi cheti chako rasmi cha BRELA vyote vikifanyika...
Naona kelele zimekuwa nyingi sana kuhusu hicho Kijiji Cha manamba wa migodini ambapo wanadieiki kusema ni Mji umeipiku Hadi Geita.
Hata kama mnasifia acheni mzaha na kuweni na Heshima.
Tajiri wa Katoro sio mtu wa kupenda unyonge! Hapana kabisa! hana dogo, anapenda kujulikana kwamba ana mkwanja mrefu kama mguu wa twiga! Na usidhani ni maneno tu, tuliona video wiki iliyopita zilizotuteka headlines mitandaoni.
Kwenye sendoff ya mtoto wake alianza kwa kum book Ali Kiba na wala...
asiende
bila
birthday
diamond
harusi
jeuri
jeuri ya pesa
katoro
kiingilio
kufanya
kwao
matajiri
mtoto
mtoto wa
mwanza
nyuma
pesa
shoo
show
siku
tajiri
tarime
vita
wakati
Baada ya bilionea mstaarabu wa Katoro Kahama Sylvester Buyamba na wenzake kuvunja Internet kwenye send off ya kufukuru na kutetemesha mitandao ya kijamii Africa mashariki, kati, kusini hadi magharibi huko, nakuwashikisha adabu mabilionea uchwara wa Dar nao eti wamewajibu kwa style ya ajabu na...
Wote tunajua ile sio hali ya kawaida kwa watu wengi wa hali ya kati na chini hapa Tanzania. Ni watu wa hache sana wenye uwezo ule wa kuchezea pesa.
Actually, maisha yako tight sana huku kitaa. Watu wanahangaika sana, wangakula vumbi usiku na mchana mithili ya nyoka hawajui kesho itakuwaje.
Ila...
Kampuni ya ndege ya Tanzania Atcl imeanza tena ruti ya ndege Dar-Chato-Mwanza baada ya kusitishwa kwa muda mrefu baada ya kifo cha Rais Magufuli na ikasemekana kuwa uwanja huo utatumika kwa ajili ya kuanika dagaa na mpunga!.
Kufungwa kwa uwanja huo ilikuwa ni moja ya project za kuangusha na...
PICHA linaanza Kijiji cha katoro, geita. Ni sherehe ya send off tu si harusi, bibi harusi kapewa bilioni Moja na milioni mia nne kama zawadi ya wana kamati, kabebwa kwenye helicopter, gari zilizopo kwenye msafara tu balaa Mzee, Dola zimetunzwa Kwa msanii alikiba, sio poa watu wana hela.
Kuna...
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali ya mabasi mawili kugongana katika kata ya Nyamigota, mamlaka ya mji mdogo Katoro mkoani Geita.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kenneth Mwakasitu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo mnamo June 19, 2026 akisema ajali...
Naendesha mkweche wangu wa bei rahisi na huwa hauli mafuta maana ni Suzuki Jimmy ya kizamani. Natoka Katoro naenda zangu Igunga.
Leo zilikuwa zinashushwa nondo za uhakika za kudai maslahi ya umma na wala sio kuendekeza njaa.
Hoja kubwq ni kupata katiba mpya ambayo itatetea maslahi ya umma ...
ATTENTION: Kuna mpango wa CHADEMA kupitia Makamu Mwenyekiti wake John Heche kuhusu kuwatumia vijana Redbrigade kutoka Musoma, Tabora na Kigoma kufanya vurugu eneo la Katoro ili kuwatisha wafanyabiashara wa Katoro wafunge maduka yao ili waende wakahudhurie mkutano wao.
Inaelezwa kuwa asubuhi ya...
Habari,
Ninaishi na VVU na ninatumia ARV tangu 8 February 2015 katika Kituo cha Afya Katoro Bukoba vijijini. Kwa taaluma ni Mwalimu wa shule ya Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Vijijini.
Kuanzia mwezi wa pili mwaka 2026, sisi WAVIU tumeanza kupata shida ya kuzorota kwa huduma. Kwa mfano...
Anonymous (c723)
Thread
afya
arv
bukoba
bukoba vijijini
huduma
kagera
katoro
kituo cha afya
matunzo
mkoa wa kagera
tiba
vijijini
vvu
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM Kata ya Nyachiluluma wilayani Geita Mkoani Geita Bi. Ester James amejitosa katika kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge katika Jimbo la Katoro.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.