katoro

Katogo (also known as Katoro) is a town in the far north of Ivory Coast. It is a sub-prefecture of M'Bengué Department in Poro Region, Savanes District. Seven kilometres north of town is a border crossing with Mali.
Kotogo was a commune until March 2012, when it became one of 1126 communes nationwide that were abolished.In 2014, the population of the sub-prefecture of Katogo was 14,862.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    Nimefika Geita na wilaya zake, Sijui Kwanini Hayati Magufuli hakujenga Airport Katoro badala ya Chato

    Nimetembelea mkoa wa Geita na wilaya zake, mwezi wote huu. Katoro ni mji ambao umenishangaza sana, mji Unajengeka kisasa, Una majengo ya kifahari, centre Yao imechangamka kuna mzunguko biashara na muingiliano WA watu WA kutosha. Sikuwa na wazo na kununua kiwanja Huku Geita, imenibidi ninunue...
  2. Roving Journalist

    Rais Samia azungumza na Wananchi Kilangalala Mkoani Geita, Leo Oktoba 15, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan azungumza na wananchi Kilangalala Mkoani Geita leo tarehe 15 Oktoba, 2022 ambapo pia alitembelea mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Chato na kuzindua Kituo cha Kupoozea Umeme na Kiwanda cha Kusafisha Dhahabu mkoani humo. =====...
  3. figganigga

    Kagera: Serikali iwafunge Gavana Wanaume wa Katoro, Wanazalisha sana na kutelekeza

    Wakuu, Kuna hawa Waarabu wa Katoro, tunaomba Serikali iingilie kati. Wamezidi kuzalisha dada zetu na kuwstelekeza. Ukienda maeneo ya Kanazi, Ibwera, Izimbya, mto Ngono nk, unakutana na Machotara wa kiarabu kibao na vitoto vingi vya kipemba. Sema Katoro napo Uislam ulienea sana, hivyo wale...
  4. self made

    Kati ya Kahama na Katoro ni mji gani unafaa zaidi kwa biashara ya Juice Bar

    Wakuu, habari zenu, Samahan mimi nipo Mwanza nina juice bar naona hapa biashara kidogo imekua ngumu nawaza kuhamia mji mmoja kati ya Katoro au Kahama, Naombeni ushauri kwa wenyeji wapi panafaa zaidi kwa biashara hyo na urahisi wa kupata eneo na matunda, pia aina ya watu sehemu izo, ASANTENI
  5. LIFE PAIN GAIN

    Kwa hali ya sasa ungewekeza wapi -Dodoma, Katoro au Kahama?

    Yes wakuu, Ni mwaka mwingine huooo, its always about kupambana na maisha na kutafuta ugali pale palipo na unga mwingi. Naongelea penye kasi kubwa ya ukuaji, nguvu ya manunuzi inayoongezeka maradufu na mzunguko wa pesa unao impress. Recently hii miji imetajwa inayokuwa kwa kasi..Dom, Katoro...
  6. M

    Biashara salon ya kike kati ya Katoro au Kahama

    Naomba kuelezwa kwa mwenye uzoefu na hiyo miji miwili. Ni mji upi unafaa zaidi kwa biashara ya saloon ya kike classic flani hivi? Je, bei za fremu mjini kati ni sh ngapi? Aina za wakazi wa mji huo je? Natanguliza shukrani
  7. figganigga

    Geita: Moto wateketeza soko la Katoro

    #MOTO. Maduka na Baadhi ya vibanda vya wajasiriamali katika Soko la Katoro mji mdogo wa Katoro mkoani Geita yameteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa. Serkali ya Geita na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiendelea na uchunguzi kubaini chanzo hasa cha moto huo.
  8. The Evil Genius

    Sasa ni zamu ya masoko kuungua, Soko la Katoro laungua moto

    Sass hivi kila siku utasikia soko la eneo flani limeungua, soko la wafanyabishara wadogo eneo flani limeungua. Siku hizi haipiti siku mbili masoko ya wafanyabishara wadogo hayajaungua. Leo soko la katoro, mji mdogo mkoa wa Geita limeungua. Ajali za moto za masoko zimekua nyingi sana, shida ni...
  9. Forrest Gump

    Mnoifahamu Katoro, tafadhali nijuzeni kuhusu Ukuaji, Maendeleo na Matarajio

    Kwa miaka ya karibuni, kuna miji imeshika kasi katika ukuaji wa kiuchumi, fursa na population kupelekea hadi uhitaji mkubwa wa miundobinu. Miji kama Tnduma, Njombe, Kahama na Dodoma imeonesha viashiria vya ukuaji wa kasi. Lakini hivi karibuni kumetokea mji mwingine unaozungumuzwa sana, Katoro...
  10. G-Mdadisi

    Katoro, Geita bado haijatendewa haki

    KATORO, Geita. Kijiji pekee nchini kwasasa chenye hadhi ya kuitwa MJI lakini bado kinatambulika kama Kijiji sawa sawa na kijiji cha KASATO kule Biharamulo, ama Kiuyu Mbuyuni kule Micheweni, Pemba Zanzibar. UKipata fursa ya kufika KATORO. Hapa kuna BENKI karibu zote uzijuazo MAJI ya kutosha...
Back
Top Bottom