vyombo vya habari

  1. funaku

    JamiiForums Tanzania Je kuna waandishi au vyombo vya habari vimelipwa kuichafua ARUSHA kabla ya AFCON??

    Rejea aina ya habari kutoka kwa waandishi feki wa mitandaoni kila wanapotoa taarifa kuhusu mkoa wa Arusha huongelea mauaji tu husikii habari za matukio mazuri yanayotokea huko ambayo ni mengi kuliko haya yanayopewa kipaumbele na yenye kuumiza saikolojia ya binadamu. Wizara ya Habari ,TCRA na...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Yoyote anayemtuhumu HECHE , mwenye Ushahidi, auweke wazi mbele ya Vyombo vya Habari !! Kwann mnamtuhum Kwa maneno maneno?.

    Mtu anaitwa Vyombo vya Habari, anasema, HECHE anakula Hela za TONETONE. unakuta Mtu huyo, anajikita ni Katibu wa BAVICHA Nanjilinji. Yaan wewe wa Nanjilinji hukoo maporin, unaanzaje Kufungua Kinywa chako kua HECHE Anakula Pesa??. Weka makaratasi Mezani !!!. Tuko na Heche mpaka Siku ya...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Sakata la Serikali ya Tanzania na BBC: Je, kufungia Vyombo Vya Habari ndiyo suluhu ya tuhuma za Utekaji?

    Ndugu Wana-JamiiForums, Hivi karibuni, mamlaka za serikali zimejitokeza kutoa tamko kali la kulalamikia mfululizo wa makala za kiuchunguzi kupitia kipindi cha BBC Africa Eye, wakidai kuwa chombo hicho kimekiuka misingi na weledi wa uandishi wa habari. Ukiangalia kwa umakini jinsi mambo...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania A FM na C FM waripoti, Mamilioni ya fedha za michango yazua mzozo CHADEMA. Wameamua kutumika kwenye siasa chafu?

    Ila hivi vyombo vya habari bhana kuna muda wanatumika mchana kweupe! Yani kuisoma hii habari ilio chapishwa na AFM na C FM zote ni za Dodoma unaona ni propaganda kabisa Kuna mtu mmoja kawapa habari hiyo waichapishe nawao kwa sababu ya njaa zao wameruka nayo. Dah safari bado ni ndefu sana...
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Afrika Mashariki: Katambi na Vyama vya Siasa Kainerugaba na Vyombo vya habari. Tunaelekea wapi?

    Huku waziri aloteuliwa na Samia akifungia vyama vya Siasa, Mtoto wa Rais wa Uganda amefungia vyombo vya habari. Kisa mtangazaji wake alihoji kutata kujua kama Janeth Mke wa Museven amekufa huko Marekani au yupo hai. Mnamo Machi 21, 2026. Yoweri Museveni alisema kwaamba ana hofu kubwa juu ya...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Balozi Ulanga: Rais wetu anapokwenda kwenye nchi nyingine ni Branding, inaleta manufaa kwenye uwekezaji na utalii

    Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi John Ulanga, akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Media leo Juni 22, 2026, ameeleza kuwa ni Ziara za Rais nje ya nje ya nchi au Viongozi wengine...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania October 29 Ilichangiwa na Kauli Mbofu Mbofu za Viongozi Kinyume cha Maadiili!, Je Media Tuwaripoti Bila Uoga ili Secretarieti ya Maadili Iwakemee au?

    Wanabodi, Kile kilichotokea October 29 kilichangiwa na kauli mbofu mbofu za baadhi ya viongozi wa umma ziko kinyume cha maadiili ya viongozi wa umma!, Je Media tuwaripoti viongozi hao bila uoga na Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ianze utaratibu wa kuwakeme kama afanyavyo Msajili wa...
  8. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Utitiri wa michezo ya ubashiri kwenye vyombo vya habari

    Kumekuwa na michezo mingi sana ya ubashiri kwenye vyombo vingi vya habari hasa redio na television. Michezo hii imepewa majina mbalimbali kulingana na chombo cha habari husika, mfano: -Pakua mkwanja -Cheza pesa -Mshiko faster -Pesa mkwanja nk Hata hivyo mtindo wa uchezaji ni mmoja (utofauti...
  9. Richard

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Samia Moscow yatangazwa zaidi na vyombo vya habari vya nje kuliko vya Tanzania

    Ziara hii inosemwa ni ya kihistoria imekosa uhamasishaji ule unotakiwa na hii ni kutokana na vyombo vya habari vya Tanzania kuwa vimezibwa midomo na kalamu zao zimo makabatini. Lakini vyombo vya habari vya nje vyaelezea ziara hii kwamba ni ziara ilogubikwa na ukungu wa kulegalega kwa mahusiano...
  10. K

    JamiiForums Tanzania From the Pitch to the Pillars of Power: Evaluating the Mismatch of Media Scrutiny in Tanzania

    This critique originates from the deeply frustrated perspective of an ordinary citizen—a passionate observer who is tired of watching immense intellectual talent and public influence squandered on sports debates while vital national assets are bargained away in silence. Day after day, Tanzanians...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Nchi yetu imetoa uhuru wa kutosha wa kujieleza na kutoa maoni, Vyombo vya habari vipo huru kuandika chochote ambacho ni sahihi

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026 Mwandishi: "Unadhani ni kwa nini ukosoaji dhidi ya serikali sasa hivi umekuwa mkubwa sana?" Msigwa: "Mimi ukiniuliza sababu ya jumla ni...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Askofu Nzigila: Vyombo vya habari vya kanisa tangazeni ukweli, Ukweli utabaki kuwa kweli hata watu wakiukataa

    Vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki vimetakiwa kusimamia ukweli na kuepuka kujiingiza katika mtego wa kusambaza habari za uongo au zinazopotosha ukweli kwa maslahi binafsi na kutafuta umarufu wa kupata wasikilizaji na wasomaji au fedha. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kurugenzi ya...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uhuru wa Vyombo vya Habari hatarini: Waandishi wa Standard Media wazuiwa kwenye tukio la Rais Ruto

    Waandishi wa habari kutoka Standard Media Group wamezuiwa kuingia katika event ya Rais William Ruto huko Naivasha wakati wa Second National Education Conference. Kisa hiki kimeibua mjadala mkubwa kuhusu freedom of speech na haki ya wanahabari kufanya kazi yao bila vitisho au ubaguzi. Inadaiwa...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast

    07 May 2026 Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast https://m.youtube.com/watch?v=uyaX4VGvwDM
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Kama tungekuwa na media makini, waandishi wangechunguza nani alitoa amri ya kupiga watu risasi za moto Oktoba 29

    Akitoa maoni yake na uchambuzi wa baadhi ya mambo yaliopo kwenye Vyombo vya Habari nchi na uhuru wake Pascal Mayalla amesema Waandishi wa Habari na Vyombo vya Habari hawatimizi wajibu wao kikamilifu kwa uogo tu na sio kwa vikwazo vya kisheria. “Sheria yetu ya habari bado ni nzuri, japokuwa ina...
  16. Desierto

    JamiiForums Tanzania Je, kuna vyombo vya habari vinapoteza kabisa ushawishi Kwa watu kuwafuatilia?

    Chombo kikubwa kama hiki kinaweka chapisho lakini hakuna comment yoyote hii inamaanisha Nini?
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Balile: Hatukubaliani na ufungaji wa vyombo vya habari wala vitisho wanavyopata waandishi wa habari

    Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deogratius Balile amesema katika maadhimio yao wameweka wazi kuwa awakubaliani na ufungiaji wa Vyombo vya Habari, kama JamiiForums, Jambo Tv au vitisho au manyanyaso wanayopata Waandishi wa Habari . Soma Pia: Maxence Melo: Hali ya Vyombo vya...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Hali ya Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari ni mbaya

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica Maxence Melo akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown Fm amesema hali iliyopo sasa ya Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari ni mbaya sana "Waandishi wetu wamefika wakati ambapo uchawa umepitiliza yani kuna Mwandishi mkongwe unatarajia awe wa mfano kwa...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali inao wajibu wa kuwapatia taarifa vyombo vya habari, endapo wakikosa taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi serikali haipaswi kuwalaumu

    Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Paul Makonda wakati akizungumza leo Aprili 30, 2026 katika maadhimisho ya Siku ya uhuru wa Vyombo vya Habari duniani amesema Serikali inawajibu wa kufungua milango kwa vyombo vya habari kupata taarifa sahihi kutoka kwenye vyanzo sahihi na serikali...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) walaani baadhi ya Viongozi, Taasisi za Umma.. kudhoofisha uhuru wa Wanahabari na Vyombo vya Habari

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mwenendo wa Uhuru wa Vyombo vya Habari Tanzania unatisha Umoja wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) unalaani mwenendo unaoendelea wa baadhi ya viongozi wa serikali, taasisi za umma na vyombo vya usalama kudhoofisha uhuru wa wanahabari na vyombo vya habari nchini...
Back
Top Bottom