Mwandishi wa habari kutoka Wasafi Media, Charles William, ameeleza kuwa urasimu katika upatikanaji wa kibali na ukomo wa uhuru wa kihariri ndivyo vitu vinavyovizuia vyombo vya habari vya serikali na kurasa za taasisi zake kuripoti kwa haraka matukio makubwa nchini, yakiwemo ya utekaji na mauaji...
Mjadala kuhusu uhuru wa habari nchini Tanzania umeingia katika sura nyingine baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, kusema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyerejesha uhuru wa habari baada ya kuingia madarakani Machi 19, 2021, huku akilituhumu gazeti la...
Ripoti mpya ya Thomson Reuters Foundation imeonya kuwa Kenya inaweza kukumbwa na vizuizi vya vyombo vya habari na kukatika kwa intaneti kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027 ikiwa mwenendo wa sasa utaendelea.
Ripoti hiyo, Weaponising the Law: Threats to Media Freedom in Kenya, inaangazia vitisho vya...
Na Kijana Wa Ifoza
Katika Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini uliofanyika leo, Septemba 8, 2026, Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena, ametoa kauli inayochochea mjadala mzito kuhusu mustakabali wa tasnia ya habari nchini. Meena amedai...
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa chini, amesema Siku ya Uchaguzi oktoba 29, 2025, Serikali ilidhibiti Vyombo habari
"Ukifuatilia taarifa za habari za vyombo vya...
Sisi wakweli na wanazuoni wa iliyokweli huwa hatubabsishwi na matukio.
Inawezekana tuna tukio moja tu la huyu anayesemaekana ana msimamo na wasiojua wanaweza kusema eti ana msimamo kutokana na hilo tukio moja tu.
sisi wenye msimamo tunakuambia tukio hilo halitubabaishi wala kutuondoa kwenye...
Ningeomba MWA jf utabiri kipi kichwa cha habari kitaandikwa na VYOMBO VYA habari vya Tanzania?
Siku 365 za Samia ndani ya ikulu au
Siku 365 za mauaji makubwa ya vijana, Wamama, wababa na wazee ndani ya Tanganyika?
Wewe ungekuwa mwariri wa VYOMBO VYA habari ungeandika kipi?
Ukichagua cha...
Kuanzia Agosti 19 hadi 21, Beijing ilipokea ugeni mzito kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Ugeni huu ulikuja kuhudhuria Mkutano wa 7 wa Ushirikiano wa Vyombo vya Habari kati ya China na Afrika, ambao uliandaliwa na Idara ya Taifa ya Redio na Televisheni, Serikali ya Manispaa ya Mji wa Beijing, na...
Rejea aina ya habari kutoka kwa waandishi feki wa mitandaoni kila wanapotoa taarifa kuhusu mkoa wa Arusha huongelea mauaji tu husikii habari za matukio mazuri yanayotokea huko ambayo ni mengi kuliko haya yanayopewa kipaumbele na yenye kuumiza saikolojia ya binadamu.
Wizara ya Habari ,TCRA na...
Mtu anaitwa Vyombo vya Habari, anasema, HECHE anakula Hela za TONETONE.
unakuta Mtu huyo, anajikita ni Katibu wa BAVICHA Nanjilinji.
Yaan wewe wa Nanjilinji hukoo maporin, unaanzaje Kufungua Kinywa chako kua HECHE Anakula Pesa??.
Weka makaratasi Mezani !!!.
Tuko na Heche mpaka Siku ya...
Ndugu Wana-JamiiForums,
Hivi karibuni, mamlaka za serikali zimejitokeza kutoa tamko kali la kulalamikia mfululizo wa makala za kiuchunguzi kupitia kipindi cha BBC Africa Eye, wakidai kuwa chombo hicho kimekiuka misingi na weledi wa uandishi wa habari.
Ukiangalia kwa umakini jinsi mambo...
Ila hivi vyombo vya habari bhana kuna muda wanatumika mchana kweupe!
Yani kuisoma hii habari ilio chapishwa na AFM na C FM zote ni za Dodoma unaona ni propaganda kabisa
Kuna mtu mmoja kawapa habari hiyo waichapishe nawao kwa sababu ya njaa zao wameruka nayo. Dah safari bado ni ndefu sana...
Huku waziri aloteuliwa na Samia akifungia vyama vya Siasa, Mtoto wa Rais wa Uganda amefungia vyombo vya habari.
Kisa mtangazaji wake alihoji kutata kujua kama Janeth Mke wa Museven amekufa huko Marekani au yupo hai.
Mnamo Machi 21, 2026.
Yoweri Museveni alisema kwaamba ana hofu kubwa juu ya...
Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi John Ulanga, akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Media leo Juni 22, 2026, ameeleza kuwa ni Ziara za Rais nje ya nje ya nchi au Viongozi wengine...
Wanabodi,
Kile kilichotokea October 29 kilichangiwa na kauli mbofu mbofu za baadhi ya viongozi wa umma ziko kinyume cha maadiili ya viongozi wa umma!, Je Media tuwaripoti viongozi hao bila uoga na Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ianze utaratibu wa kuwakeme kama afanyavyo Msajili wa...
Kumekuwa na michezo mingi sana ya ubashiri kwenye vyombo vingi vya habari hasa redio na television.
Michezo hii imepewa majina mbalimbali kulingana na chombo cha habari husika, mfano:
-Pakua mkwanja
-Cheza pesa
-Mshiko faster
-Pesa mkwanja nk
Hata hivyo mtindo wa uchezaji ni mmoja (utofauti...
Ziara hii inosemwa ni ya kihistoria imekosa uhamasishaji ule unotakiwa na hii ni kutokana na vyombo vya habari vya Tanzania kuwa vimezibwa midomo na kalamu zao zimo makabatini.
Lakini vyombo vya habari vya nje vyaelezea ziara hii kwamba ni ziara ilogubikwa na ukungu wa kulegalega kwa mahusiano...
This critique originates from the deeply frustrated perspective of an ordinary citizen—a passionate observer who is tired of watching immense intellectual talent and public influence squandered on sports debates while vital national assets are bargained away in silence. Day after day, Tanzanians...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026
Mwandishi: "Unadhani ni kwa nini ukosoaji dhidi ya serikali sasa hivi umekuwa mkubwa sana?"
Msigwa: "Mimi ukiniuliza sababu ya jumla ni...
Vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki vimetakiwa kusimamia ukweli na kuepuka kujiingiza katika mtego wa kusambaza habari za uongo au zinazopotosha ukweli kwa maslahi binafsi na kutafuta umarufu wa kupata wasikilizaji na wasomaji au fedha.
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kurugenzi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.