Mmemsikia akipayuka maneno ambapo hata akiulizwa ameongea nini, hajui.
Anasema wanaharakati ni sawa na magaidi. Kwa hiyo Nyerere na wenzake waliopigania uhuru wetu walikuwa ni magaidi?
Tangu kabla, wakati na baada ya mauaji ya kimbari 29 Oktoba 2025, bado utekaji, utesaji, upotezaji, ufiraji...