Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema kuwa Tanzania ipo katika maandalizi makubwa na ya kipekee kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akisisitiza kuwa maandalizi hayo hayajawahi kushuhudiwa hapo awali Nchini na kuwa Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha...