afcon 2027

The 2025 Africa Cup of Nations, known in short as the 2025 AFCON or CAN 2025, is scheduled to be the 35th edition of the biennial African association football tournament organized by the Confederation of African Football. The tournament was supposed to be hosted in June-July 2025, however due to the formation of the expanded FIFA Club World Cup scheduled to be held in June-July 2025, the 2025 AFCON might be hosted in January-February 2026.
This edition of the tournament was supposed to be the 2nd to take place in the northern hemisphere summer since the 2019 edition to reduce scheduling conflicts with European club teams and competitions after the previous edition in 2023 was moved to January and February 2024 owing to the adverse summer weather conditions in Ivory Coast.Guinea was the set to be the original host of this edition of the tournament but CAF stripped it of hosting rights after affirming its inadequacy of hosting preparations. After a second bidding process, Morocco was given the hosting rights

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tanzania yapangwa Kundi L na Nigeria, AFCON 2027

    Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limefanya droo rasmi ya upangaji wa makundi ya Kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ambapo Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imepangwa katika Kundi L pamoja na timu za taifa za Nigeria, Madagascar na Guinea-Bissau. Katika droo...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Government prioritizes AFCON 2027 and Miss World 2027 in new TZS 525 Billion Budget Plan

    The Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Paul Makonda, has requested TZS 525.32 billion as the ministry’s budget for the 2026/27 financial year to implement nine key priorities. Among these priorities are completing the rehabilitation, upgrading and construction of...
  3. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: AFCON 2027 huenda ikapelekwa South Africa

    Tukiwa tunapambana na Ripoti ya Jaji Chande. Huenda AFCON 2027 ikapelekwa Bondeni kutokana na na maandalizi duni. Viwanja bado, hoteli duni, barabara hoi. **Tujiandae kwenda bondeni.
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Nyoka aliyekuwa anafugwa auawa baada ya kuleta taharuki Mavimba

    wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana na wananchi wa kata hiyo, wamefanikiwa kumuua nyoka aliyekuwa akifugwa ambaye alisababisha taharuki kwa wakazi wa eneo la Mavimba, njia panda ya mnadani na wananchi wengine...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Kuelekea AFCON 2027, Ulega asema Serikali imejipanga kuhakikisha inakamilika kwa wakati

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameweka bayana dhamira ya Serikali ya kuhakikisha miradi ya barabara inayohudumia Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 inakamilika kwa wakati, akisisitiza kuwa maandalizi ya miundombinu ni kipaumbele cha juu katika kuhakikisha Tanzania inakuwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: AFCON 2027 tutawasuprise

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema kuwa Tanzania ipo katika maandalizi makubwa na ya kipekee kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akisisitiza kuwa maandalizi hayo hayajawahi kushuhudiwa hapo awali Nchini na kuwa Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge Bonnah Kamoli: Kuelekea AFCON 2027 Dar miundombinu ni mibovu sana, barabara zimeanza kujengwa 2019 hazijamalizika

    Akichangia hotuba ya Waziri Mkuu leo Aprili 13, 2026, Mbunge wa Jimbo la Segerea Bonnah Ladislaus Kamoli amesema kuelekea AFCON 2027 Tanzania inatarajia kupokea wageni lakini miundpmbinu ya Mkoa wa Dar es Salaam bado ni mibovu na hali ni mbaya sana Ameongeza kuwa kuna baadhi ya barabara imeanza...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AFCON 2027 Dates Zimetoka! East Africa Bado Nyuma Kwa Maandalizi?

    Wadau, sasa ni official! Africa Cup of Nations 2027 itachezwa June 19 hadi July 18, 2027. Hii ni big win kwa Kenya, Uganda na Tanzania kushirikiana ku-host! Lakini swali kubwa ni: tuko ready kweli? Reports zinaonyesha stadiums kama Kasarani na Talanta bado hazijakamilika, na hata training...
  9. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Government approves additional shs. 905billion for preparations ahead of AFCON 2027

    The Supplementary allocation was announced today April 7, 2026 by local organising committe(LOC) at Uganda Media Center and is aimed to close the preparation gaps ahead of AFCON PAMOJA, 2027. Dr Denis K. Mugimba, Chairperson LOC described the funds as part of a whole of government approach to...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu, Mwigulu: Wizara zinazohusika zinaandaa mikakati wafanyabiashara kunufaika na AFCON 2027

    Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba ameeleza namna Serikali kupitia wizara zake kuandaa mikakati itakayowezesha wajasiriamali kunufaika na Mashindano ya AFCON 2027 ambapo Tanzania atakua mwenyeji wa michuano hiyo. Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Amani Abdul...
  11. Inside10

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: AFCON 2027 itumike kudai HAKI Tanzania, kwa kufanya maandamano ya Kihistoria

    Kaandika huko mtandao wa X.. AFCON 2027 Itumike kudai haki Tanzania kwa kufanya maandamano ya kihistoria. Siku ya ufunguzi wa Afcon Tanzania iwe ni siku ya maandamano makubwa zaidi ya yale ya Oktoba 28. Hawatoweza kujaza wanajeshi na Askari barabarani au kupiga wananchi risasi huku attention...
  12. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda CAF: Uganda Not Yet Ready for AFCON 2027

    Kampala, March 2026 – The Confederation of African Football (CAF) has flagged significant gaps in Uganda’s preparations to host the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), according to its official assessment as of February 2026. The report highlights challenges across stadiums, training...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe: Mkandarasi anayejenga barabara kuelekea Uwanja wa AFCON 2027 Arusha hataongezewa muda

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya M/s China Railway Construction Engineering Group kuhakikisha ifikapo Mei 2027 iwe imekamilisha ujenzi wa miundombinu ya bababara za kuelekea na kuzunguka uwanja mpya utakaotumika katika Mashindano ya...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CLOCK TICKING: Kenya Given 10-Day Ultimatum to Save AFCON 2027 Dream Amid $30M Financial Crisis

    March 20, 2026 NAIROBI — With only ten days remaining, Kenya is on the brink of a major sporting disaster. The country faces a strict March 30 deadline to submit around Ksh 3.9 billion ($30 million) in hosting fees to the Confederation of African Football (CAF), or risk losing its right to host...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kenya hatarini kupoteza Haki ya kuandaa AFCON 2027 kwa kushinwa kulipa ada ya uandaaji

    Kenya ipo katika hatari kubwa ya kupoteza haki yake ya kuwa mwenyeji wa pamoja wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Hali hii inatokana na ucheleweshaji wa malipo ya lazima ya ada ya uandaaji (hosting fee) kiasi cha Ksh3.9 bilioni ($30 milioni) kwa Shirikisho la Mpira...
  16. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Kinondoni wamewataka watendaji wa Kata na Mitaa Kuhamasisha wananchi Kupendezesha maeneo kwaajili ya maandalizi ya AFCON 2027

    Kupitia kikao cha CMT ya Mapato cha Tarehe 19/01/2026 iliazimiwa kuwa Watendaji Wote wa Kata na Mitaa wahamasishe Wananchi walio katika Maeneo yao ambao wanamiliki Majengo ya Ghorofa kuyapaka rangi, kuweka pavement pamoja na kuweka taa katika Majengo yao ili kufanya Halmashauri yetu ya Kinondoni...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuilipa CAF kuwa mwenyeji wa AFCON 2027, ni utaratibu wa kawaida kikanuni, Kenya na Uganda nao wamefanya hivyo

    Kwa mujibu wa kanuni na mikataba ya uenyeji ya CAF, nchi inayopata nafasi ya kuandaa AFCON hulazimika kusaini makubaliano ya uenyeji yanayojumuisha majukumu mbalimbali ya kifedha. Miongoni mwa masharti hayo ni kulipa kile kinachoitwa “hosting” au “commitment fee”, ambacho ni ada ya makubaliano...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imelipa CAF Tsh. Bilioni 82, Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda (Mb) amesema Serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu tayari imelipa takribani Dola za Marekani Milioni 32 kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kama sehemu ya gharama za maandalizi ya kuwa mwenyeji...
  19. Eronda

    JamiiForums Tanzania Road to AFCON 2027

    Hoima Stadium Stadium ready to host AFCON Pamoja 2027, how is the status in your country Kenya and Tanzania
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Serikali kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kupisha ukarabati kuelekea AFCON 2027

    Kwani ukarabati wa Lupaso utaisha lini? Tangu mwaka 2023 Serikali iliposaini mkataba wa Bilioni 30 mpaka leo bado mambo hayaeleweki. Serikali imetangaza kuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa utafungwa kwa ajili ya ukarabati wa mwisho kuanzia mwezi huu (Machi, 2026) ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya...
Back
Top Bottom