kati

Kati is an urban commune and the largest town in Mali's Koulikoro Region. The town is situated 15 km northwest of Bamako, Mali's capital, on the Dakar-Niger Railway. In the 2009 census, the commune had a population of 114,983.

View More On Wikipedia.org
  1. Kachina95

    JamiiForums Tanzania NAOMBA TOFAUTI KATI YA UTAWALA WA CCM NA UTAWALA WA MKOLONI MWEUPE

    Wana jamvi, naomba mnisaidie tofauti ya CCM na makaburu walau kwa mambo yafuatayo; 1. Ni jambo gani baya sana mkoloni mweupe alitufanyia watanganyika ambalo CCM hajatufanyia? 2. Ni mambo gani mazuri CCM inafanya ambayo mkoloni alishindwa kutufanyia mpaka ikatubidi kumfukuza? Binafsi maswali haya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya samaki wa maji chumvi/bahari na maji baridi unapenda yupi?

    Kila mtu na anavyoonja ladha kinywani mwake, kuna sisi wengine samaki ni samaki tu bora atengenezwe vizuri hatuchagui maji bahari wala chumvi. Ila kuna watu wanasema mara samaki wa maji chumvi sio mtamu kama wa maji bahari na wengine wanasema samaki wa maji baridi ni matamu kuliko wa maji...
  3. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Mfalme wa mechi Kati ya PSG vs Arsenal

    Mfalme wa safu ya kiungo ya PSG. Ndiye pekee kati ya viungo watatu wa kwanza wa PSG aliyedumu dakika zote 120. Na katika muda wa nyongeza, alikuwa tishio kubwa zaidi la PSG katika mashambulizi. Ana ustadi mkubwa wa kugusa na kumiliki mpira, nguvu katika mapambano ya ana kwa ana, uwezo wa...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Wapangaji Nyamanoro waomba serikali iingilie kati baada ya kufukuzwa katika nyumba walizopanga

    Wapangaji waliokuwa wakiishi katika nyumba namba 59, kwenye viwanja namba 169, 171 na 173, Kitalu “F”, mtaa wa Mnyampala, Kata ya Nyamanoro, Wilaya ya Ilemela, wameiomba serikali iingilie kati na kuwasaidia kupata haki zao baada ya kufukuzwa na kutolewa nje ya nyumba walizokuwa wakiishi...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wachokonozi wa mambo yasiyo wahusu Eti kati ya faly Ipupa na Simba wa tandale (Diamond platinum Madako masebu) Nani ana mkwanja mrefu?

    Nawauliza ninyi mnaojua mambo mengi ...Ni nani kati ya Faly Ipupa na Diamond platinum Madako masebu ana pesa mingi kuzidi mwenzie?
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Bangladesh yaingilia kati uchinjaji wa ng'ombe 'anayefanana na Trump'

    Kuchinjwa kwa fahali aliyekuwa akisemekana kufanana na kupewa jina la utani “Donald Trump” kutokana na nywele zake kusimama. Fahali huyo, ambaye alikuwa anatarajiwa kuchinjwa wakati wa Eid, amechukuliwa na serikali ya Bangladesh ambayo imesema imechukua jukumu la kumtunza. Siku moja kabla ya Eid...
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wakimbizi wa Ulaya kutoka Mashariki ya kati na nchi za kiislamu wana matatizo!!

    Angalia video hapo chini ndipo utajua Wafuga Midevu na Majini wana matatizo sana vichwani mwao!!
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mswada WA Sharia ya Uhusiano Kati ya US na Tanzania

    United States Senate Committee on Foreign Relations (.gov) https://www.foreign.senate.gov PDF A BILL
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna maafisa NACTVET wanacheza michezo kuvifelisha Vyuo vya Kati kwa maslahi yao binafsi

    Baadhi ya Maafisa wa NACTVET wanafelisha vyuo vya kati, kuchelewesha kua-prove maombi yao ili wasipate AVN Number kwa wakati washindwe kwenda vyuo vikuu, lakini wanafanya hivyo ili kupewa rushwa ndiyo waweze ku-approve maombi yao, funaomba mtusaidie. Kiulizeni Chuo cha St Joseph College, tawi...
  10. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Takukuru iingilie kati kufanya uchunguzi juu ya matumizi ya fedha yanayofanywa na Makonda na wizara ya maliasili na utalii kuleta wanamichezo nchini.

    Hizi ni pesa za walipa kodi na ni pesa ambazo zilipaswa kutumika kwa maendeleo ya Watanzania. Sasa wanaletwa akina Rio Ferdinand, wacheza mieleka wapiga masumbwi na wakata viuno kwa kigezo cha kukuza utalii. Huu ni upigaji na wizi wa pesa za umma ambao hayati Magufuli kama angekuwepo...
  11. McLaren

    JamiiForums Tanzania A to Z majibizano kati ya Hilda Newton na Buyobe: Ni kweli Buyobe ni mtu wa mfumo?

    Alichoandika Hilda Newton: Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea. Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha Mafwele, walimvotesa n.k pia alishukuru kwa jinsi tulivompazia sauti. Katika maongezi hayo...
  12. BWANA WANGU

    JamiiForums Tanzania Hipi ni laptop bora Kati ya hizi

    Mambo vp wadau, Nilikuwa natafuta laptop kwa ajili ya kazi ngumu. Kati ya hizi laptop mbili hipi ni bora zaidi. (a) Lenovo think pad X1 Carbon, yenye 32 GB, generation ya 11. (b) Hp z book, yenye 32 GB, generation ya 11. Regardless all the conditions are the same, like pricing etc Thanks...
  13. X

    JamiiForums Tanzania Je, ulijua kati ya Benki 5 kubwa duniani 4 ni za China? Benki za Marekani zikifuata nyuma ya China

    The top 5 largest banks world largest banks by assets: 1. Industrial and Commercial Bank of China (ICBC) | China Assets: $7.30 trillion 2. Agricultural Bank of China | China Assets: $6.80 trillion 3. China Construction Bank | China Assets: $6.20trillion 4. Bank of China | China...
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof Issa Shivji: Watanzania sio wajinga. Kiungo kati ya AMANI na HAKI ni UWAJIBIKAJI. Hatuwezi kupiga hatua bila viongozi wakosaji kujiwabika!

    https://youtu.be/0niFxKMdOSI?si=AQnb1lDVaELvbk05 ANASEMA: Nchi hii si mara ya kwanza kushuhudia ukatili na mauaji ya watu (raia) wasio na hatia uliofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama chini ya usimamizi wa viongozi wa kiraia ma RCs, DCs au Mawaziri Tofauti na wakati ule, katika matukio ya...
  15. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Mechi kali ligi kuu India kati ya wahindu na waislamu siyo ya kukosa

    Mechi kati ya timu za mpira kwenye ligi kuu India Mohammedan SC vs Mumbai city FC. Ni mechi kali kwenye ligi kuu India inayowakutanisha Kobaz (Mohammedan SC) na wahindu (Mumbai City) Unaambiwa kobaz wa mohammedan SC wabishi wanacheza rafu za hatarii nakupiga ngwara balaa. Waamuzi watakuwa na...
  16. U

    JamiiForums Tanzania IPI NI BLENDER BORA KATI YA KENWOOD AU PMC

    Habari zenu wadau wa jf, naomba kujua kwa mwenye uzoefu wa matumizi ya blender ni ipi nzuri kati ya kenwood na pmc
  17. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Mafuta na gesi yakiisha Mashariki ya Kati tutaishije ?

    Mzuka wana jamvi ? Nimewaza tu kwani sasa Dunia nzima inasikitika kisa kaeneo kidogo masgariki ya kati kutokea mgogoro na flow ya energy kuwa disturbed . Sasa imagine mafuta yaishe kabisa huko au Waarabu wagome kuyaauza si tutarudi stone age ? Ina Waarabu na makobaz ndio wanaamua dunia tulie...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DED Mbeya DC: Namshukuru Rais Samia kutoa fursa ya ajira 259 kati ya Januari - Mei 2026

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Bi. Erica E. Yegella amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fursa ya ajira mpya takribani 259 katika kipindi cha mwezi Januari na Mei 2026. Katika kipindi cha mwezi Januari, Halmashauri ya Wilaya ya...
  19. USSR

    JamiiForums Tanzania BARUA: Rais Samia tunaomba iingilie kati dhulma hii kubwa kwa wachimbaji wadogo mkoani Geita

    Sisi ni wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wenye leseni za NICO RAYMOND NYEMELE (PML 1794/1795 GTA) na MHELLA NATHANIEL (PML 1797 GTA) zilizopo katika Mkoa wa Geita, Wilaya ya Geita, Tarafa ya Busanda, Kata ya Nyaruyeye na Kijiji cha Nyaruyeye. Mheshimiwa Rais, sisi wachimbaji...
  20. H

    JamiiForums Tanzania WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika na Ufaransa (Africa Forward Summit: Africa-France Perternship for Innovation and Growth) unaofanyika jijini Nairobi Kenya, leo Mei 12...
Back
Top Bottom