mvua

  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuna sheria inayosimamia matumizi ya maji ya mvua?

    Wakati ubinafsishaji umepamba moto Bolivia walibinafsisha DAWASCO yao kwa kampuni ya France. Kampuni ikapiga marufuku wananchi wa mji kukinga maji ya mvua. Ilisema hayo ndiyo yanaingia ardhini na kwenye vijito ambako wao hukinga. Wananchi waliandama na kampuni ikafurushwa. Juzi kati kuna jiji...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Goba Center ikinyesha mvua Mtaa unageuka kuwa Mto

    Msimu huu wa mvua sisi wakazi wa Goba tulikutana na changamoto kubwa ya ubovu wa miundombinu. Mtaa wa bonde kati ya shule ya Living Minds/kanisa la RGC na Matosa umeharibika kabisa. Magari ya shule asubuhi yanapata changamoto kupita, watembea miguu wanazama matopeni na bajaji hazipiti kabisa...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Mvua, Greed ama Negligence?” a 8-Storey Building Collapses in Oloolua, Workers Feared Trapped Under Rubble

    Residents wa Oloolua, Kajiado North walikesha kwa hofu na majonzi baada ya jengo la ghorofa nane lilokuwa linaendelea kujengwa kuporomoka usiku wa May 8, 2026. Mashuhuda wanasema waliisikia sauti kubwa kama mlipuko around 11PM before sehemu kubwa ya building kuanguka ghafla, burying workers...
  4. X

    JamiiForums Tanzania Wakati Tanzania tukisubiri Mvua, China wao wanajenga mito mikubwa kubadilisha Uchumi

    Dunia yabaki midomo wazi! Hii si mito ni mfereji ya China! Maajabu yanayowashangaza wahandisi wengi Duniani. Mifereji yao ni mikubwa kuliko mito mingi ya asili Afrika. Ukiona utadhani ni bahari zinazopita katikati ya nchi. China mpaka sasa imetumia zaidi ya dola bilioni 10 kujenga mfereji...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Kisemvule (Kitunda) ni mbovu kupita kiasi

    Kuna hii barabara ya kutoka Kisemvule stendi kuja Mpera mashariki ni mbovu mpaka inapelekea nauli kuongezeka. Pindi mvua zikinyesha barabara inapitika kwa tabu.
  6. B

    JamiiForums Tanzania KWELI Je, maji ya mvua huwa yanaweza kuharibika muda mfupi baada ya kukingwa kutokana na bakteria

    Wakuu Nimekuwa nikikutana na madai kwamba maji ya mvua huwa yanaharibika baada ya kuchotwa. Naomba kufahamu ni kwa nini maji ya mvua huwa yanaharibika baada ya siku kadhaa baada ya kukingwa,na pia huku mitaani kwetu tunayawekea chumvi kidogo kwa iman kuwa hayata haribika,je ni kweli chumvi...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kiluvya Makurunge: Barabara zinachongwa bila kujazwa kifusi wala kujenga mitaro. Wakati wa mvua ni changamoto kubwa kwa wakazi

    Kero ya bara bara Kiluvya Madukani kwenda Kiluvya Makurunge ni kubwa sana kwa wakazi na wawekezaji. Eneo hili ni asili ya udongo mfinyanzi, wakati wa mvua ni changamoto kubwa kwa wakazi licha ya ahadi ya viongozi kwa muda mrefu kuwa wataweka lami ila wakati tunasabiri ahadi hiyo kwa muda sasa...
  8. tpaul

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha mvua za radi Dar es Salaam na Pwani

    Wahenga mtakubaliana na mimi 100% kwamba miaka ya nyuma mvua zilizokuwa zikinyesha Dar es salaam hazikuambatana na radi hata kidogo. Tulizoea kusikia matukio ya radi hasa huko Kigoma, Shinyanga, Tabora na mikoa mingine ambako matukio ya watu kuuliwa na radi yalikuwa yakiripotiwa mara kwa mara...
  9. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania KERO Buti ni kama tiketi ya kuingia Soko la Mabibo kipindi cha Mvua, ahadi ya ukarabati wa Manispaa ya Ubungo umeota mbawa?

    Soko la Mahakama ya Ndizi lililopo Mabibo ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo limeendelea kuwa katika hali mbaya licha ya kuahidiwa kufanyiwa maboresho makubwa ambayo yangeweza kutatua kero zilizokuwa zikilalamikiwa kwa muda mrefu. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ilitoa taarifa ya...
  10. Nyendo

    JamiiForums Tanzania KERO Hali ya Barabara Ipole – Tabora ni mbaya hasa mvua ikinyesha

    Hiki ni kipande cha Barabara inayotoka Ipole – Tabora kuelekea Mbeya, hali ni mbaya sana, wananchi tunateseka kwa kushindwa kupita kwa utulivu. Kuna muda abiria tunalazimika kushuka ili gari liweze kupita na kuvuka mashimo yaliyopo hapo hasa nyakati za mvua. Serikali ifanye kitu kuhusu...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mvua ukanda wote wa Pwani isipokuwa Tanga

    Kuna laana kubwa Tanga. Nchi nzima inanyesha mvua isipokuwa Tanga, hasa mjini na viunga vyake ....all surrounding villages within Tanga City planned areas! Tangu last year June untill now! Soma pia TMA toeni sababu kwanini mvua Tanga hakuna tangu mwezi wa 7, 2025
  12. Mtemi mpambalioto

    JamiiForums Tanzania MVUA KUBWA DAR: Tujuzane hali ilivyo maeneo yetu ili tuwe na taarifa za TAHADHARI

    Mvua kubwa Dar imeanza kunyesha usiku mkubwa kwenye saa 7 hivi Tujuzane maeneo ambayo yameathirika na mvua hii ili mamlaka zijue pa kwenda kutoa msaada wa haraka ikiwa utahitajika
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mvua Zaharibu Mabomba: Estates 15 Nairobi Wakosa Maji Baada ya Mafuriko

    Mvua kubwa iliyonyesha Nairobi usiku wa Ijumaa imeleta madhara makubwa baada ya mafuriko kuharibu major water pipelines, na kusababisha water shortage kwa estates zaidi ya 15. Kulingana na Nairobi City Water, maeneo yaliyoathirika ni pamoja na Buruburu, Kariobangi, Dandora, Mathare, Eastleigh...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nairobi Flood Tragedy: Mvua Kubwa Yaua 23, Mali na Magari Yasombwa na Maji

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Nairobi imeleta maafa makubwa baada ya watu 23 kuthibitishwa kufariki kufuatia mafuriko yaliyosomba baadhi ya maeneo ya jiji. According to emergency reports, zaidi ya magari 70 yamesombwa na maji huku nyumba na biashara nyingi zikiharibiwa na mafuriko. Rescue...
  15. Nyendo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nairobi ikiwa imefunikwa na maji baada ya mvua

    Eti baada ya Wakenya kusema Nairobi ni jiji kubwa kuliko Dar ila imekosa bahari tu, Bahari imeamua kwenda kupiga kambi mjini kwao.
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Soko la Mawenzi mjini Mororgoro ni chafu na ni hatari kwa afya ya binadamu hasa nyakati za mvua kutokana na uchafu unaotupwa holela

    Soko la Mawenzi ndiyo kiunganishi Cha wakazi wa Morogoro. Tunaomba mamlaka husika zitusaidie kwa hili kuepuka magonjwa ya mlipuko hasa kipindupindu. Licha ya viongozi kuchukua hela za ushuru kila mwezi lakini hawaangalii afya za watumiaji wa soko Hilo. Ni kero kwa sisi wateja hata watumiaji...
  17. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mbunge Agnesta Kaiza: Jimboni kwangu Segerea, mvua zikinyesha barabara nyingi hazipitiki

    https://www.youtube.com/watch?v=4q282jxs_3E Mbunge wa Jimbo la Segerea, Agnesta Lambert Kaiza, kupitia tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), amesema kuwa katika jimbo lake bado kuna kero kubwa ya barabara, hususan za ndani. Ameeleza kuwa mvua zinaponyesha, njia nyingi hazipitiki...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Mvua huko vipi?

    Msimu ndio huu! Kuna matumaini ganinya mbua, hasa ukanda wa Pwani maana ndiko kuna shida kubwa ya mvua.
  19. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Sasa rasmi Mvua za Masika imeanza kunyesha huko Tehran Iran

    Baada ya ya Mvua za rasharasha kunyesha huko Iran sasa hivi rasmi kabisa Mvua za Masika zimeanza kumnyeshea Ayatollah huko Tehran Iran. Kufikia asubuhi hii ameangamizwa Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri za Kiislamu, aliyekuwa anatishia kuangamiza Tel Aviv na Haifa. Na yeye Kaangamizwa...
  20. Prince Luanda

    JamiiForums Tanzania Mvua kubwa sana inanyesha Dar sasa hivi

    Nipo mbezi Louis aisee hii mvua inayonyesha ni balaa
Back
Top Bottom