Tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu lingefanywa na mtu wa kawaida angekuwa kashakamatwa

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,595
8,729
Polisi ni rahisi kujua wahusika kwa haraka na wale wakongwe wa kazi za kuvunja sheria.

Tuulizane sisi wana JF tukifanya matukio ambayo kama kumtoa mtu uhai siku mbili si nyingi kukamatwa ila lilofanyika pale tena sehemu za serikali mpaka leo hakuna lolote.

Nafahamu maganda ya risasi yana namba kuonesha utambulisho wa silahaa.

Nayo ilishindikana
 
20230325_144204.jpg
 
Back
Top Bottom