Kömbe is a kind of börek from [[Sivas, Malatya Province Turkey. It exists in both the cuisine of Turkey and that of Azerbaijan and is popular among both Turkish and Azerbaijani people.
Ukiangalia ligi ya Tanzania kuna vituko sana na moja ya kituko ni mtu anakuambia simba ni timu bora na imeonewa na marefa ndo sababu ya kutokuchukua kombe ebu tuangalie takwimu zifuatazo
Timu iliyotoa mfungaji bora sio simba
Timu iliyotoa top assist sio simba
Timu iliyofunga magoli mengi sio...
Ngoja apumue Pumue Kidogo Twende sehem yaitwa the Penny Black mtaa wa Robertson Quay baada ya mechi sasa twaenda Rooftop ipo Marina Bay Financial Centre ,
Maana masaa kadhaa yalopita shughuli ilikuwa moto
Uzuri huyu aliielewa mwenyewe show show na anajiletaga
Juzi nilimtembelea kwake leo...
Wana timu nzuri mno, haizungumzwi wala kufuatiliwa sana, lakini ina uwezo na uwezekano mkubwa sana wa kutwaa kombe hilo la dunia katika mpira wa miguu duniani.
Ni wazi Rais Donald J. Trump atapendelea zaidi kukabidhi kombe hilo la dunia kwa timu ya mpira wa miguu ya taifa lake na si vinginevyo...
Uchawi na uganga unaaminiwa sana Africa ila ajabu pale uchawi unapohitajika zaidi kufanikisha mambo kama kwenye hili kombe la dunia hauonekani kabisa kuleta matokeo,
Hii inathibitisha uchawi ni porojo tu, ni kama Nyuki wa mashineni.
Kati ya Timu nne zitakazoiwakilisha Tanzania kwenye mechi za CAF ni Azamu tu ndiyo hadi sasa hivi haina tuzo yoyote. Angalia
(1) YANGA: Community Shield, Mapinduzi, na NBC Premier
(2) SIMBA: Muungano
(3) AZAM: .................
(4) SINGIDA BS: CECAFA
Itapendeza sana iwapo Azam nayo angalau...
Timu za Afrika kwenye Kombe la dunia zimeonesha tabia zetu halisi kwenye mashindano ya Kombe la dunia.
1. Wachoyo wa kupasiana (ubinafsi)
2. Wazito wa kufanya maamuzi Kwa wakati.
3. Kila anayepata mpira anatamani yeye pekee ndiyo afunge.
4. Uvivu kwenye kukaba adui.
5. Kutokufuatilia...
Mashabiki wageni kutoka mataifa mbalimbali walioenda kuangalia weldi cup wamekumbana na usumbufu na sintofahamu nchini Marekani katika huduma za migahawa na bar kutokana na utamaduni wa Marekani wa mteja kulazimika kulipa 20% ya ziada juu ya gharama halisi kama tip/ ahsante/ bakshish kwa...
Kama unajisumbukia kuwasikiliza CCM utapata shida sana.
Hapa na zungumzia dunia ambayo ina watu nyuma ya dunia wanaweza kukupa signal,habari ambazo kwa mwenye akili ndogo unaweza kusema yule kichaa.
Afrika inarudishwa kwa wazungu tena.
Na kombe la dunia finali kutakuwa Portuguese vs...
Aiseeee .... Kunatisha watu wamejaa sana viwanjani. Kombe limevutia sana. Tulisema halitakuwa na watu lakini tumeona hali ilivyo huko USA, Canada na Mexico.
Hongera zao kwa kweli.
Kachezeni mnapochezaga!
Sitaki salamu zenu za kichawi msije nipotezea ndege wangu.
Mlifikiri nimekwama na maisha yangu yataishia hapahapa ndani. Hahaha! Hamtaweza na mmeshindwa kwa jina lile la maajabu.
Oooh! Mtibeli usitoe siri zako kuna watu watakuloga safari utajifia. Thubutu! Kusema nasema...
Kitimoto kimeuzwa na kimelika kiwanjani World Cup Mexico kwenye game ya Tunisia na Sweden!
Hakika mpira ndilo jambo la kuwaunganisha binadamu wote duniani, tuheshimu sana nguvu ya football. Huenda ndio maana hata wapinzani wameshindwa kuondoa akili za raia katika Simba na Yanga.
Wakati mashindano ya Kombe la Dunia yanaendelea na mamilioni ya watu wakifuatilia kwa hamu kuona nani atainua kombe, nakukumbusha kwamba mashindano makali zaidi duniani hayafanyiki katika viwanja vya michezo bali ndani ya moyo wa mwanadamu.
Ni mashindano kati ya mwili na roho.
Mwili unatamani...
Hamna siku inayo pita bila kufuatilia chombo cha habari pamoja na social network ila nipo mbali sana na habari za mpira.
Mchana niliona instagram shamra sahara za fifa lakini akili yangu najua bado mwezi mmoja nikawa dili na bajeti!
Kumbe ni leo bwana! Japo siupendi mpira ila nitafuatilia ...
Hamjambo
Naomba wasiwe wanachagua mechi waonyeshe mechi zote
Na waache tabia ya kukata mechi kipindi inaendelea
Nafikiria kidogo kuunganisha mawazo yangu Azam Tv na TBC kuhusu kuonyesha hizi mechi lakini binafs hainihusu
Sina pesa ya kulipia king’amuzi kwa miez hii miwili mitatu na stress...
World Cup 2026 prize money – how much do teams earn for taking part and winning?
THE 2026 FIFA World Cup will reportedly have a record prize pool, a stark increase from the £380million ($440m) up for grabs in 2022.
This prize money is set to be split between the 48 competing teams. Here we...
Bingwa atakuwa Croatia.
Mimi sio mchawi.
Sio mtabiri.
Sio Ostaz.
Sio Mtume na Nabii.
Ni Mwanahisabati/ Mwanasayansi ( my mindset is scientific and mathematically oriented)/ Mwanamichezo.
Nimefanya uchambuzi wa kisayansi, nimepiga hesabu zangu zote na nimejiridhisha pasi na Shaka yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.