Meli ya mizigo ikiwa na shehena ya container imekamatawa nakuchukuliwa na Iran kama ile Tank ya US yenye mafuta wizi toka Mashariki ya kati
Tehran, Iran – Iranian armed forces have seized a container ship near the Strait of Hormuz amid rising tensions across the region after a deadly Israeli...
Iran imetafutwa siku nyingi na raundi hii naona inaingia yenyewe kichwa kichwa kwenye ndoano.....
The U.S. rushed warships into position to protect Israel and American forces in the region, hoping to head off a direct attack from Iran on Israel that could come as soon as this weekend.
The...
Kiongozi wa Wachagga wa Old Moshi. Alinyongwa na Wajerumani kwa kukataa ukoloni, Wajerumani wakaondoka na fuvu lake, hadi leo hawajalirudisha.
Mangi Meli Kiusa, Alipambana na Wajerumani kwa kuwashinikiza waondoke katika himaya yake, jambo ambalo Wajerumani walilipinga kwa kudai kuwa baba yake...
Habari zilizotufikia hivi punde meli ya Kijeshi ya Marekani ya USS Libert imepigwa na makombora ya Iran nakulipuliwa huko Ghuba ya uajemeni na wanajeshi 30 wanahofiwa kufa
BREAKING: It's reported that American Navy intelligence vessel 'USS Liberty' has just been hit with a barrage of Iranian...
Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo...
Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level.
Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko.
Endeleeni na vilaza...
Uwezo wa kukabilianana majanga kwa wakati si jambo rahisi kwa taifa na jamii yoyote haijarishi uwezo wala maendeleo.
The cargo ship – about the length of three football fields – has as many as 4,000 tons of steel frame hanging on its bow since the ship plowed into the Key Bridge – sending a...
Inawezekana mimi sio engeneer au mtaalamu wa Meli, ila juzijuzi nimebahatika kuiona Meli yetu mpya ziwa victoria ikifanyiwa marekebisho ya mwisho kutembea ziwani.
Kwa muonekano wake tu wa nje, inawezekana ndani ikawa ni kali balaa (excuse of doubt).Bila kumung'unya maneno muonekano wake wa nje...
Daraja hilo laanguka baada ya kugongwa na meli, na inadaiwa gari kadhaa zilizokuwepo kwenye daraja hilo zimeanguka na daraja hilo hapo Nchini Marekani.
Daraja la Baltimore ni moja ya miundo maarufu ya kivuko katika jiji la Baltimore, katika jimbo la Maryland, Marekani. Lilijengwa mwaka 1957 na...
Aise Urusi wana shida, huku wanapigwa na magaidi wa Kiislamu, kule wanapigwa na Ukraine.....
Kunao mnasema hao magaidi walitumwa na Ukraine, haya sasa Ukraine watakua waneongeza pigo lingine, Urusi ashikwe hadi wapi ndio afanye kweli, huyu ndiye supapawa mlitegemea awaokoe kutoka kwa Marekani...
Hivi karibuni Tanzania ilizindua njia mpya ya meli ya moja kwa moja kati ya China na Bandari ya Dar es Salaam. Huduma hii mpya ambayo inatarajiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa muda wa mizigo kusafiri kutoka China na kuwasili Tanzania, kutoka wiki sita (siku 42) hadi wiki tatu (siku 21), inaonekana...
Meli yenye misaada kwa ajili ya watu wa Gaza waliozuiliwa chakula na Mayahudi imetia nanga na kuanza kuteremsha chakula angalau kidogo.
Meli hiyo ilianza safari takriban siku 4 zilizopita kutoka nchini Spain na kwa muda mfupi kufika eneo hilo bila usumbufu.
Katika hali hiyo ile nia ya Marekani...
Abdel-Malik al-Houthi ambaye ni kiongozi wa juu wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mpaka sasa wamefanikiwa kuzishambulia meli zenye mafungamano na Israel zipatazo 73 tanguj waanze operesheni yao ya kuwatetea watu wa Palestina.
Kupitia televisheni inayomilikwa na wanamgambo hao Abdel Malik...
Meli kubwa sana ya mizigo iliyosajiliwa Liberia na kupeperusha bendera ya Barbados imepigwa na kombora la Houth na kusababisha mripuko mkubwa pamoja na vifo vya mabaharia wawili.
Mabaharia wengine 6 waka hali mbaya huku meli za kivita za washirika wakiizunguka meli hiyo kuangalia namna ya...
Mv Rubymar iliyopigwa na Houth mnamo Februari 18 mwaka huu tayari imezama kabisa
DUBAI, United Arab Emirates — A ship attacked by Yemen’s Houthi rebels has sunk in the Red Sea after days of taking on water, officials said Saturday, the first vessel to be fully destroyed as part of their...
Njia mashuhuri ya meli za kibiashara ya Suez Canal kutokea red sea ni kama kwamba imefungwa kutokana na mashambulio ya Houth.
Meli peke zinazopita bila wasi wasi ni zile zinazotoka ama kuelekea Iran.Nyengine ni zile zinazotoka ama kwenda bahari nyeusi ambako ndiko ziliko bandari kubwa za...
Private Maritime Security Companies (PMSC) haya ni makampuni binafsi ya ulinzi ambayo hukodiwa na mashirika ya meli, ambapo huweka walinzi (Security guards) wenye mafunzo maalumu kwenye meli na husafiri na meli kwa ajili ya ulinzi wa sehemu hatarishi na kuzuia wazamiaji, maharamia.
Makampuni...
Katika muendelezo wa serikali ya Houthi ya Yemeni kuiunga mkono Palestine na kujibu mashambulizi ya USA na Uingereza,Leo usiku imeendeleza mashambulizi yake dhidi ya meli ya Uingereza kw akuipiga makombora na kutungua ndege vita ya USA aina ya MQ9. The average unit cost of an MQ-9 is estimated...
Us forces seized advanced conventional weapons and other lethal aid from Iran that were bound for Houthi-held areas of Yemen on a vessel in the Arabian Sea on Jan. 28, the US Central Command said in a statement on Thursday.
Over 200 packages containing medium-range ballistic missile components...
Hili suala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.
Tanzania jamani sijui ni nani katuloga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.