hatua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Duchu: Jina ni langu natamba nao, suala hili lipo kwenye mikono ya sheria, kazini wamechukua hatua

    "Ai see, hilo swala bwana... Kwanza ningetamani sana kukujibu lakini sasa ha- hili jambo pia lipo kwenye... kwenye mikono ya sheria kwa hiyo sasa kila... Kwa upande wa ambao wanalilalamikia jina... wanaosema wamepotezea jina nao wana... wana mashtaka yao, lakini na mimi pia nina mashtaka yangu...
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Hatua sahihi za mtiririko rahisi wa kumuaminisha mungu mtu asiyeamini.

    Kwa wanaoamini mungu huu ni muongozo wa kuwafanya wasioamini mungu(atheists) waweze kumuamini mungu 1. Thibitisha kuna supernatural (nguvu kuu iliyo zaidi ya nguvu za asili) 2. Thibitisha hiyo nguvu kuu ni mungu tena mwenye nafsi na utashi (personal god) 3. Thibitisha huyo mungu anataka...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Wadau, naomba uzoefu wenu kuhusu TRA. Nimeona niwashirikishe jambo ambalo nimekuwa nikikutana nalo katika shughuli zangu za biashara. Kuna baadhi ya watumishi wa TRA ambao, wakati wa kushughulikia masuala ya kikodi au ukaguzi, wamekuwa wakinipa hisia kwamba bila kutoa "Rushwa" au “kitu kidogo”...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Responded Kelele za Makanisa: NEMC Yatoa Onyo, Yaeleza Hatua Inazochukua

    Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limebainisha mikakati na hatua mbalimbali zinazochukuliwa katika kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa mazingira utokanayo na kelele za nyumba za ibada. Akizungumzia kero ya kelele hasa zile zinazosababishwa katika nyumba za ibada...
  5. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Liwalo na Liwe. Nadhani leo inaweza kuwa mwisho. Naona imefikia hatua ambayo nakosa uvumilivu. Naweza kumpatia mwingine

    Inawezekana hata ile asubuhi kusema gari haiwaki battery imekufa kabisa ilikuwa ni mbinu na alianza tengeneza mazingira. Huyu demu nina miezi naye miwili tu. Yaani 2 months. Mbali na sisi kutumiana. Maana tumeshanyanduana sana. Hakuna faida nyingine tumepeana zaidi ya wakati flani aliomba...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Daima Rais Dr.Samia Suluhu Hassan huchukua hatua na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

    Sidhani kama kuna ubishi kwenye jambo hili la kipekee sana kwa rais wetu. Na sote ni mashahidi kwamba, hatua za makusudi na maamuzi magumu ambayo daima Rais Dr.Samia Suluhu Hassan amekua akiyachukua ndani ya chama na katika serikali sikivu ya CCM, hulenga katika kulinda maslahi mapana ya taifa...
  7. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tunaishi kwa Matarajio Badala ya Kuchukua Hatua

    Kwa mfano utasikia watanzania siku CCM ikiondoka madarakani, ndo ufisadi utaisha. Kwanini usiishe sasa? Nikioa nitaacha kuwa na matumizi mabaya ya pesa kwa wanawake na starehe, kwanini usiache leo na tutafute mchumba mmoja? Ndugu zangu mbona tunaishi kwa matarajio? Hivi wewe pamoja na physical...
  8. AI tata

    JamiiForums Tanzania Watanganyika mnasahau sana. Miki bado nipo kwenye utabiri wa Sheikh Yahaya. Ile hatua ya baada ya Rais Mwanamke.......

    Hapa tupo shingoni, bado kichwa tu. Kama ni ng'ombe imebaki mkia tu kiwiliwili kwisha. Kwa kuwa serikali haziamini utabiri. Basi waamini hata political winds it blows. Tayari sio mpasuko tena ni pamde mbili tofauti, asilimia mia hakuna anayesapoti pande. Hata raia wamechoka. Ikifanyika...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Evaline Munisi: Ughaibuni Loan ni hatua ya kujenga imani mpya kati ya Serikali na vijana wa Kitanzania

    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Evaline Wilbard Munisi amesema uzinduzi wa Ughaibuni Loan si uzinduzi wa mkopo pekee, bali ni hatua ya kujenga imani mpya kati ya Serikali na vijana wa Kitanzania, hasa vijana wenye ujuzi wanaotamani kutumia fursa za...
  10. Huihui2

    JamiiForums Tanzania EFM Radio: Kocha anayelawiti na kulawitiwa na vijana achukuliwe hatua

    Nilileta uzi humu kuhusu malalamiko ya huyu kocha lakini MODS waliufuta kwa madai ya kuwa kijana aliymtuhumu kocha amekiri kusema uwongo. Leo EFM wamejadili suala hili, na hapa nawaletea link msome wenyewe: https://www.instagram.com/reel/DcfmfofMFS_/?igsi=NjA1c2lkYnljN3gw
  11. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ema ze boy alishangaa kuona Shehe Mwaipopo akitishia kuwaumiza watu na kikund chake alafu hachukuliwi hatua yoyote

    Elewa neno ema ze boy, King Kong III
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hongereni Wazanzibari! hatua zenu si za kubeza; mnasuka usawa ndani ya Muungano. CCM Bara hatuna wasiwasi, kiongozi yeyote anaejiuzulu nafasi itajazwa

    Tunaendelea kuuenzi Muungano wetu wa Tanzania, ambao baba yetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Muasisi. Zanzibar kama upande mmoja wa Muungano tunawapa pongezi kwa kuendelea kuunogesha Muungano kwa kuweka mifumo yenye kujali usawa zaidi. Na huo ndio Muungano tunaoupenda...
  13. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Khaaa, nmepitiwa nikalala mchana huu eti nimeota Lissu katolewa jela na kupewa umakamu wa raisi kama hatua ya 'Maridhiano'

    Ndoto zingine bwana mwishowe ujikojolee na utu uzima huu. Eti nimeota Lissu amekua makamu wa raisi. Sijui nani kanivutisha bange usingizini.
  14. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Katika hali ya kawaida kwa hatua aliyofika samia hawezi kurudi nyuma

    Tupunguze matarajio tu,
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania UNICEF Yaipongeza Tanzania Kwa Maendeleo ya Afya, Lishe na Ustawi wa Watoto

    Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua kubwa zilizopigwa katika kuboresha afya, lishe, elimu na ustawi wa watoto, na kuahidi kuendelea kushirikiana na Serikali katika utekelezaji wa malengo ya maendeleo yaliyoainishwa...
  16. papag

    JamiiForums Tanzania Tukifuata hatua hizi kila sekta itakuwa MSHINDI

    SMALL MIND CREATE A GAP–LAKINI VISION KUBWA HUUNDA MFUMO UNAOFANYA KILA UPANDE USHINDE Kama Mtanzania mwenzako, wacha nami nitie neno kwa kutumia kalamu ya wino wangu. Nimesikiliza hoja. Nimesoma maoni. Nimeangalia reaction za watu waliokubaliana na waliopinga. Na nimegundua kitu kimoja...
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Maelfu ya wananchi wafika Julius Nyerere Hydro Power Plant kushuhudia uzinduzi wa kituo hiko

    Hapa ni Julius Nyerere Hydro Power Plant, yaani Kilipo Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere MW 2,115 ambapo uzinduzi wa kituo hiki utafanywa rasmi leo Agosti 22, 2026 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Maelfu ya Wananchi wameshafika tayari kuwa...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Je, hatua hii ni sahihi kwa mawakili wa serikali kupinga mashahidi wa Lissu kufika mahakamani?

    Japo mimi sio nwanasheria, ila najiuliza kama ni sahihi kwa mawakili wa serikali kupinga mashahidi wa Lissu kufika mahakamani kutoa ushahidi kwani alishawataja katika hatua za awali na mawakili wa Serikali hawakupinga. Sasa swali: Kama hawakupinga mashahidi aliowataja Lissu katika mahakama ya...
  19. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania CORI asante kututetea! Utetezi wa kelele bila kuchukua hatua zozote, nazo ni kelele! Ama mchukue hatua, ama mnyamaze kimya msitupigie kelele!

    Wanabodi, Utangulizi, Naomba kuanza kwa kutoa utangulizi mfupi kuhusu mwandishi wa makala hii, Pascal Mayalla, ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitegemea, baada ya kukumbana madhila mbalimba mbali ya kiuandishi, nikajikita kwenye kuandika makala elimishi kuhusu katiba, sheria, haki na...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Tunalaani Kusitishwa kwa Leseni ya Gazeti La Mwanahalisi, Hatua Hiyo Isitishwe Mara Moja

    ACT Wazalendo tunalaani kwa nguvu zote uamuzi wa Serikali kusitisha kwa miezi sita leseni ya uchapishaji na usambazaji wa Gazeti la MwanaHALISI, kuanzia tarehe 19 Agosti 2026. Serikali imesema hatua hiyo imetokana na madai ya kukiuka viwango vya usahihi, mizania na uthibitishaji wa taarifa...
Back
Top Bottom