wewe

Wewe Gombel is a female supernatural being or ghost in Javanese mythology. It is said that she kidnaps children.This myth is taught to encourage children to be cautious and to stay at home at night. Traditionally, the Wewe Gombel is represented as a woman with long, hanging breasts. Modern representations include vampire-like fangs. This is a popular spirit that also appears in comics.

View More On Wikipedia.org
  1. bullbar

    JamiiForums Tanzania Hili la DCI, CDF na IGP aibu utaona wewe..🤣🤣

    Ikumbukwe hao wote ni makada na watu wa kupokea maagizo tuu na maelekezo. Wengi wao wamepachikwa kwa utashi na shukrani kutoka namba moja pale kwenye wingi wa gogo, na watu ambao kumbukumbu zimeshaanza kuwaacha, sasa msije shangaa mtu anatoa siri za aliye mtuma. Kiuhalisia wote wanaujua uwezo...
  2. min -me

    JamiiForums Tanzania Kwamba umepiga PCB , cbg hasa kwa nyie madaktari wamifugo , kwamba mnakosa pesa ?

    Kwamba umepiga PCB , cbg hasa kwa nyie madaktari wamifugo , kwamba mnakosa pesa ? Halafu fomu six umehitimimu 2006 , ila hapa jukwaani hauna hata 2000 ya local bia🤔 Wewe ni bora ungekufa tu tupate mbolea ya kurutubisha udongo bwashee 🤔
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania Nimejifunza kitu, ukizoea kujiropokea na kutukana ovyo omba usifikishwe mahakamani. Aibu utaiona wewe.

    Hebu na wewe sikiliza mahojiano haya kisha jipime mwenyewe. https://youtu.be/ft0IaABC254?si=KGte3w-tQz32SYib
  4. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu historia itamkumbuka mshindi tu, haijalishi alifanya vigisu kiasi gani kukushinda au kukudidimiza wewe, kwa hio jitahidi usife kikondoo

    Muachie mark awe anaikumbuka. Wanyanyasaji wa ndani huwa wana invest sana nje ili ku-modify heshima yao. Ila wewe mnyanyaswaji utaonekana boya na mdhaifu.
  5. bless on

    JamiiForums Tanzania Wewe ni nani? Safari ya kujitambua

    MIMI SIO MIMI... Kuna swali ambalo mwanadamu huliepuka kwa sababu likiulizwa kwa umakini linavuruga kila kitu alichodhani anakijua kuhusu yeye mwenyewe: “Wewe ni nani?” Ukijibu, “Mimi ni mwili,” swali linarudi: mwili upi - ule wa utotoni, wa ujana au huu wa leo ambao kila siku unabadilika...
  6. Ben-adam

    JamiiForums Tanzania Vaa vizuri, jipende, pendeza. Mwonekano wako wa nje unawakilisha wewe wa ndani.

    Kuna msemo kwamba "don't judge book by its cover" Sawa na usimhukumu mtu kwa mwonekano wake; Kisaikolojia sivyo wanadamu wanacyofanya kazi. Kama mtu humjui na hujapata nafasi ya kuongea naye (hajajitambusha kwako), utamhukumu kwa namna utakavyokuwa ukimuona. Na mchakato huo hufanyika ndani...
  7. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Mtu hajakuomba ushauri, wewe unamshauri, halafu hujui namna ya kushauri, nyambafu!

    Mara ooh! Hili shati siyo zuri, nyambafu! Kama kwako siyo zuri kwangu ni zuri. Mwingine ooh! Usipige nyeto maana siyo tamu! Kama kwako siyo tamu funga bakuli! Ukumanyoko wala si dili! 😎
  8. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania HOTELI YA BILIONI 132, YAFUNGULIWA ZANZIBAR ALAFU WEWE KUWEKEZA 5M UNAJIITA MFANYABIASHARA NA UNACHOMEKEA KABISA

    Siwatishi ndugu zangu ndio hali halisi ilivyo, Leo majira ya saa tisa nimekutana na msafara wa dkt mwinyi mtoni mess sikujua anaenda wapi kumbe alikua ana pelekea pwani mchangani kufungua hiyo hotel, bilioni 132 imetupwa hapo, alafu mtu UNAJIITA una hela umewekeza 10m una hela una heleni ?
  9. min -me

    JamiiForums Tanzania Digidigi wa mapenzi.

    Kwa vijana wa kiume, acha kupenda wanawake wabovu wa sura na umbo , wao vigezo vyao ni pesa , hivyo jichimbie ,saka pesa , ukizisaka tafuta mwanamke mzuri wa sura na umbo. Kwa wanawake acha kusaka wanaume kisa tu ana pesa bila kufikiri future ya mtoto utakae zaa nae inakuaje 🤔...
  10. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Mimi nafikiri wewe mshabiki wa man utd mwenzangu tuachane na matumaini tena, ili kulinda afya yako ya akili achana na kujipa moyo tena.

    Usiishabikie man utd kwa moyo kama ule uliokuwa nao kipindi cha fergie. Its over.
  11. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Wewe ambae mkewako aliombewa akapata mimba pasipo kulala nae pegea Yeso makofe matato tafazale🤣🤣

    Wewe ambae mkewako aliombewa akapata mimba pasipo kulala nae pegea Yeso makofe matato tafazale🤣🤣
  12. funaku

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia ukijinadi wewe sio muoga uhalisia wake wewe ni muoga

    Kisaikolojia ukijinadi kuwa wewe sio hivyo ulivyo huwa tunasema una poor insight ...yaani hutaki kukubali hali halisi nafsi yako inavyokuambia. Ni somo tu kwa wanaolewa saikolojia
  13. Trainee

    JamiiForums Tanzania Hii nchi kuna mambo wewe unajua yamebaki stori lakini kumbe kuna maeneo ukienda unakuta watu wanayaishi bado!

    Mtandao na internet Kuna maeneo Bado watu wanajitega kwa ajili ya kupiga simu na kuingia internet Tigo na kujimwambafai kote Kuna maeneo Bado ni bilabila Barabara na uchukuzi Kuna maeneo Tanzania hii hii kipindi cha mvua wanakata muingiliano/mawasiliano ya kutoka na kuingia mpaka mvua...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Wewe mwanamke au binti, ukiona unatongozwa sana ujue wewe ni mrahisi na wanaume wanataarifa zako , sio kwamba ni mzuri sana

    Wadau habari zenu, Kuna baadhi ya wanawake ambao hudhani kuwa wao ni wazuri sana sababu TU wanatongozwa sana? Inawezekana:- Wewe ni mrahisi sana. yaani maharage ya Mbeya Jinsi unavyojiweka , yaani mavazi yako, vitendo vyako. Mfano umeolewa LAKINI unavaa kama changu doa/malaya Wanaume wengi...
  15. life255

    JamiiForums Tanzania ID yangu ni mpya, lakini usinichukulie kama mgeni—nimekuwa humu kabla hata ya wewe kufungua uzi wako!

    Wakuu, kuna tabia moja nimekuwa nikiiona humu ambayo inachekesha kidogo, lakini pia inanifanya nijiulize. Unafungua ID mpya, halafu ghafla watu wanakuangalia kama umetua leo kutoka sayari nyingine! 😂 Ukiandika hoja yenye kueleweka wanaanza: «“Wewe ID mpya, unajua nini kuhusu JF?”» Sasa ngoja...
  16. Koffi Annan

    JamiiForums Tanzania Mbunge Sigrada: Nature ya wasema ukweli nchi hii wanateseka, ukitaka kuteseka nchi hii wewe sema ukweli

    Huyu mama japokua yupo kwenye bunge haramu ila amemaliza kila kitu kwenye hii clip
  17. K

    JamiiForums Tanzania CCM jiulizeni Kama Makamu wa Rais wa nchi anafukuzwa kwa kuwa mkweli wewe Mzalendo bado upo CCM!

    Kama wewe kweli ni mzalendo utaendelea vipi kuwa ndani ya Chama ambacho Makamu Wa Rais wa nchi anafukuzwa kwasababu ya kusema watanzania wapiganie katiba mpya. Tujiulize kwanini hao waliobaki katiba mpya inawapeleka huko. Na hao TIS wanafanya kazi kwa niaba ya nani?
  18. A

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mhitimu wa digrii au diploma ya kodi na bado hujapata ajira wala fursa ya kupata uzoefu wa vitendo, taarifa hii ni kwa ajili yako.

    HALA TAXPRO LAUNCHPAD Programme imeandaliwa mahsusi kwa ajili yako. Ni programu ya kukuongezea ujuzi na uzoefu wa vitendo katika taaluma ya kodi, na haitakugharimu ada yoyote ya mafunzo. Awamu ya kwanza ya programu itahusisha wahitimu 15 pekee, kulingana na idadi ya vitendea kazi vilivyopo...
  19. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania vitabu adimu , Navipata wapi? Mnunulie kijana wako w chuo.

    Wakongwe wenzangu naombeni mwenye vitabu hivi soft copy anitumie dm au kama ni hard copy basi mnijuze vinapopatikana. Ukisoma hivi vitabu unapanua uelewa kama Lissu , Mshana JR, Khalifa na Jenerali Ulimwengu. Kitabu kipi bado hujasoma kati ya hivi? 1.Salamu toka kuzimu (Ben Mtobwa) 2.Tutarudi...
  20. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Mafanikio Sio Pesa, Ni Nishati Unayotoa

    Katika kitu najifunza siku za hivi karibuni ni kuwa mafanikio hayaji by chance. Kuna namna Mungu amemcraft kila kiumbe kutokana na uwezo wake, but we humans have a free will. Na huu ndo mtego, the will to think we can manipulate reality, vijana wengi wanahisi mafanikio ni kuwa na hela bank...
Back
Top Bottom