Wewe Gombel is a female supernatural being or ghost in Javanese mythology. It is said that she kidnaps children.This myth is taught to encourage children to be cautious and to stay at home at night. Traditionally, the Wewe Gombel is represented as a woman with long, hanging breasts. Modern representations include vampire-like fangs. This is a popular spirit that also appears in comics.
Huyu ni IGP wa Kenya akitoa usia kwa askari wake. Ametulia anaongea kirafiki na kwa kujiamini bila kutaka jikomba kwa wanasiasa. Akitoa wito wa Polisi kutumia akili.
Halafu pata muda msikilize IGP wa Tanzania. Unamwona tu akili hana, elimu hana na anawaza kumwaga damu all the time.
Unakutana paap na mbunge wa ccm halafu unamnongoneza Kwa karibu ili mtu yeyote asisikie wewe ni jizi la kura atakufanya nini? Na hakuna shahidi aliyesikia maneno hayo ya kizalendo?
Ciao..!
waswahili wanakwambia maisha hayako na hayatokaa yawe fair.
kuna vitu sisi kama binadamu tunakua na matamanio navyo lakini no matter how hard you try unabakia tu kusema one day yes au unakata tamaa kabisa kwamba kitu fulani mimi hapana.
Mfano huko mashuleni tumesoma na watu wao...
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeonya watu au makundi yanayohamasisha vurugu nchini, likisisitiza kuwa halitasita kuchukua hatua stahiki za kisheria kudhibiti ghasia na uvunjifu wa amani kwa kushirikiana na mamlaka za kiraia.
Katika taarifa rasmi kwa umma iliyotolewa leo...
Tarehe 30 Juni 2026, Ikulu ya Dar es Salaam ilishuhudia hafla ya kila mwaka ya upokeaji wa gawio na michango ya taasisi za umma. Miongoni mwa waliopanda jukwaani ni Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, NIDA. Cheki kubwa ilikabidhiwa mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan. Thamani yake: zaidi ya...
Sio kwa ajili ya kila mtu.
Ni kwa wale ambao umeshajaribu kila kitu. Na bado umekwama.
Kama unahangaika kupata wateja online.
Umetengeneza video yako.
Umeandika caption.
Umeweka pesa nyingi kwenye tangazo.
Na matokeo bado ni hola.
Huu ujumbe unakuhusu.
Miezi mitatu iliyopita kuna mteja...
Mimi naringia muonekano wangu, nikifika sehemu lazima watu waanze kunitazama kwa jicho la matamanio na butwaa. basi kama ni huduma napata haraka, Nadhan hata interview walipata butwaa mambo yakawa mepesi kabisa.
sasa unakuna mtu hana chochote cha kuringia kisha anatembea akivimba, bure kabisa
Hii ni hoja yangu tu si lazima kila mtu akubaliane nayo.naamini kuna dalili ambazo zinaweza kuonyesha moyo wa mtu unavutwa zaidi kumtafuta Mungu.
Ya kwanza ni pale unapokuwa peke yako hasa usiku. Unaweza ukawa unatembea au ukaamka ghafla bila hata kukusudia ukautazama mwezi bila sababu ukaanza...
Siri ya Kuepuka Huzuni na Unyonge Kwenye Maisha:
Punguza Matarajio
Moja ya vyanzo vikubwa vya msongo wa mawazo na unyonge kwenye maisha ni tabia ya kutarajia watu wafikirie na kutenda kama unavyofikiria wewe.
Tunapoweka matarajio makubwa kwa watu, tunajisahau kuwa uhalisia wa maisha yao na...
Shida kuna machawa hapa wa CCM hata kuvuka burundi wameshindwa.
Huu ni ushaidi kuwa balozi zetu siku kikinuka pambana wewe.
Mfano tumeona africa ya kusini pale balozi zao zikifanya jitihada kuwatoa raia wao.
Ila haoa tz ndo kwanza wanatangaza Amani na kudai vikosi vya kuvunja amani vipo nyuma...
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu...
Ladies punguza kuringa kuna siku utazeeka afu wale mahandsome au wenye hela unaowapenda waliokupendea sura watakuacha watahamia kwa pisi zingine za wakati huo, sa sijui utakua mgeni wa nani on those days😳
Na changamoto ni kwamba wale wanaowapenda kwa dhati mara nyingi hawanaga pesa currently...
Sheikh Mwaipopo, Tanzania ni Kubwa kuliko CCM, kuliko Samia na Genge lake !!.
Sheikh Mwaipopo, Mungu kanipa Maono, ilikuwa usubiriwe Usimame mbele Kuta za MAHAKAMA ujibu Tuhuma za Harakari zako za Kigaidi.
Sasa Mungu amenena nami, kama alivyonena na Manabii wake juu ya Wafalame waovu, UNAFUATA...
Wanabodi
Japo uchawi upo na wachawi wapo na wanaloga!, anayeruhusu hicho kilogo kikufikie, au uchawi ukufikie, na kulogeka ni wewe mwenyewe bila kujijua, wewe unao uwezo wa kuzuia kulogeka bila kwenda kwa mganga yeyote au bila kutumia zindiko lolote bali ni kwa kujitambua tuu kwa kutumia...
Jipimie kuwazidi hawa waajiriwa wa taasisi kubwa kubwa, uweze kutengeneza angalau milioni 10 na zaidi kila mwezi, watumishi wachache sana wanavuka hapo ukiunganisha posho, mshahara na vidili. basi hio ndio iwe target yako.
Watumisi hasa wa serikali wana uhakika wa misahara, posho na vidili...
Mlinzi wa John Heche,take care,narudia yake care usidhanie unalinda jokeri
Yeye jukwaani ananyumba akiwa anaongea wewe umesimama pahala pamoja tu,
Take care kiapo chake ni either ufe au afe.
Hivi Tundu Lissu wakati wa kupigwa risasi kwa Nini hakuwa na ulinzi ilihali alikuwa mnadhim mkuu wa...
Siku chache zilizopita niliwapa stori ya rafiki yangu wa kijani ambaye amenisaidia kuona upande mwingine wa dunia ya freelancing. Wengi mliuliza:
"Huyo rafiki ni nani?"
Leo nimeamua kumleta rasmi.
Jina lake ni FIVERR.
Usichanganyikiwe na kizungu, ngoja nikuelezee kwa lugha rahisi.
Fikiria una...
Nchi inaendeshwa na bajeti ya mikopo ,tutegemee siku moja mabeberu kuja kututawala tena .
Watanzania ni lini wataambiwa takwinmu za deni na watasikia deni likishuka chini na siyo kila takwimu inapotolewa ni kuongezeka kwa namba tu hivi wewe kama kiongozi huoni AIBU.
Zaidi ya Trilion 100........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.