tbc

To be announced (TBA), to be confirmed or continued (TBC), to be determined or decided or declared (TBD), and other variations, are placeholder terms used very broadly in event planning to indicate that although something is scheduled or expected to happen, a particular aspect of that remains to be arranged or confirmed.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kwa Wazalendo Wanao Angalia TBC, Usikose Kuangalia Mambo Mazuri ya UDSM, UDOM, IGOABROAD na Mbolea ya FEMI Leo Saa 4:00 usiku na kesho saa 3:00 Asbh

    Wanabodi, Niko hapa jijini Dodoma kwenye maonesho ya 88 kitaifa, uwanja wa Dr. J.S. Malecela, Nzunguni Dodoma, ambapo kuna mambo mazuri sana. Asubuhi niliwaletea https://www.jamiiforums.com/threads/live-from-uwanja-wa-dr-j-s-malecela-nzuguni-dodoma-kilele-cha-nane-nane-dodoma-kuchele.2460870/...
  2. F

    JamiiForums Tanzania TBC isijidanganye kwa jina la serikali

    Siku moja tulikuwa katika kikao chenye wajumbe kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya shughuli iliyokuwa irushwe na vyombo vya habari. Mapendekezo yakaanza kutolewa kuhusu vyombo vya habari vitakavyoalikwa. Kila chombo kilitajwa kimoja baada ya kingine. Ilipofika zamu ya TBC, mjadala ukaibua swali...
  3. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Wimbo maalum kwa Taifa la Tanzania. Nakala TBC, Uhuru fm, Azam TV na ITV na Channel ten

    https://youtu.be/oE6XHuIYiDw?si=z9HOvhkevw48eGvq
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Dk. Ayub Rioba: Chombo cha habari kama TBC kinatakiwa kisimamie maslahi ya nchi

    Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba amesema mwaka 2010, wakati wa uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika viwanja vya Jangwani, matangazo ya moja kwa moja ya tukio hilo yalikatwa wakati aliyekuwa mgombea urais wa chama...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Ayub Rioba: Anayesema TBC tunaripoti zaidi serikali kuliko umma atuletee utafiti

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Dkt. Ayub Rioba, ametetea utendaji wa chombo hicho cha habari cha umma dhidi ya ukosoaji kuwa kinairipoti zaidi serikali kuliko wananchi, akieleza kuwa serikali iliyowekwa madarakani na umma inao wajibu wa kuzungumza na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Martin Masese: Gerson Msigwa atueleze kwanini anatumia chaneli za mabebru kutazama kombe la dunia na kutuachia TBC1 yenye ubora duni

    GIRISHONI kanichapa BLOCK usiku wa manane, baada ya kumtaka atupe ufafanuzi wa kwanini anatumia chaneli za MABEBERU kuangalia WEDIKAPU wakati TBC UKWEL na UHAKIKA ipo lele-lele. Anamuachia nani ‘kwaliti’ mbovu ya TBC. Uzalendo nje, ndani kwake aaah!🤣
  7. R

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuwa unaangalia Azam, TBC, Star Tv and the like ukawa CLASS CONSCIOUS

    Ndilo tatizo la watanzania and in particular Watanganyika. Ni mazwazwa kwa sababu hakuna anayeangalia Tv stations za nje kama Al Jazeera, CNN, BBC, Kenyan TVs. Ukishaangalia Azam, TBC, basi umekwiaha. And watawala are taking advantage of this. Ukishashindwa kuwa class conscious, basi unaingia...
  8. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nimefarijika sana TBC kuonesha kombe la dunia

    Hamjambo Naomba wasiwe wanachagua mechi waonyeshe mechi zote Na waache tabia ya kukata mechi kipindi inaendelea Nafikiria kidogo kuunganisha mawazo yangu Azam Tv na TBC kuhusu kuonyesha hizi mechi lakini binafs hainihusu Sina pesa ya kulipia king’amuzi kwa miez hii miwili mitatu na stress...
  9. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba wa TBC Baada ya Kuchukua Mamilioni ya Kustaafu Sasa Arudi Na Ziara ya URUSI!

    ANAANDIKA AYOU RIOBA , MSTAAFU TBC ANAYEKULA MAFAO KWA MRIJA:- Ziara ya Rais SSH Urusi ni muhimu sana, hasa tukizingatia historia ya mataifa yetu! Ninafahamu fika kwamba ndugu zetu mabeberu watachukia. Tanzania na Urusi zina historia kubwa kimahusiano. Tuna Watanzania wengi waliosomeshwa Urusi...
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania TBC Watembelea Maktaba Kutafuta Historia ya Mwami Theresa Ntare

    https://youtu.be/-rxfkdYqDjM?si=xaqGeZoMg-LGLW6U
  11. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Resty Bura kumrithi Dr Ryoba Ukurugenzi Mkuu TBC

    Mfanyabiashara maarufu duniani Resty Bura anatajwa kurithi nafasi iliyoachwa wazi na Dr Ayoub Ryoba pale TBC. Ikiwa ni kweli tunamtakia mema kuendeleza TBC.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Umeondoka TBC na mabilioni, vipande 40 vya fedha ukawasaliti Watanzania, lakini hukumu ya HAKI ya Mungu inakusubiri

    Ulitumia TBC kukandamiza upinzani hasa Chadema, ambao walikuwa wanatekeleza haki ya kikatiba ya kitoa na kupata habari kupitià TBC. Ukawanyima fursa hiyo na kuwa CHAWA No. 1 wa CCM. Leo umeondoka na Mungu anakusubiri akupe hukumu stahiki! All in all kwa vile ulifanya ikamndamizaji wa...
  13. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Dk Ayub Rioba amestaafu baada ya muda wake kwisha. Ameandika katika ukurasa wake wa Facebook: Tarehe 19 Machi Rais Dkt. JPM aliniteua kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC. Alivyofariki JPM, nilipitia vita ngumu sana ya wale walioamini...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) hatujalipwa hela ya kujikimu

    Ajira Mpya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) hatujalipwa hela ya kujikimu, tukiuliza wanatuamia watatulipa, lakini kwa experience iliyopo posho ya kujikimu Watu hawalipwi hadi Mwaka unapita. Pia, posho za watumishi hazilipwi kwa wakati mabosi wakiulizwa wanasema posho ni hisani. Wakati watu...
  15. K

    JamiiForums Tanzania TBC imekuwa television ya Waislam na siyo taifa tena

    Muda huu tumewekewa Mubashara katika hii Television ya TAIFA mashindano ya kusoma Quaran yanafanyika Kondoa Dodoma, wakati Kuna tukio kubwa la KITAIFA NA KIKANDA kinaendelea pale AICC - ARUSHA hatupati kujua kinachoendelea tena EAC SUMMIT. HUU NI UJINGA SANA, MAMBO YA IMANI WAACHIE TV ZA DINI...
  16. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Anaesema TBC wanarusha matangazo yao HD huyo hana tofauti na taahira

    Embu kwanza nicheke Yani ni kituko kama unaangalia sinema za Dj mack Uzi tayari
  17. Superbug

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nguvu inayotumiwa na TBC kubembeleza amani ingetumika wakati kina mdude wanatekwa tusingefika hapa tulipofika

    Viongozi wetu walijisahau sana watu walikuwa wanatekwa Kila baada ya muda mfupi Yani utadhani mfuga kuku anachagua kuku wa kuchinja bandani kwake. Na viongozi hawakuonyesha kushtushwa hata kidogo. Waliona sawa. Sasa Leo wametindinganya mambo TBC inakuja na vipindi vya kujikomba Kwa vijana...
  18. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Niko tayari kuomba silaha kulinda Taifa langu dhidi ya tishio lolote la usalama na amani ya Tanzania

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook amesema yupo tayari kuomba silaha kwaajili ya kuilinda Tanzania dhidi ya tishio lolote la usalama na amani kwani aliwahi kufanya hivyo mwaka 1990. "Mwaka 1990 nikiwa...
  19. Keynez

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Mkurugenzi wa TBC mpaka sasa yupo kazini?

    Jana Waziri Mkuu Feki anatoka anatoa takwimu za uharibifu wa mali uliofanyika kipindi cha uchaguzi. Ametaja magari ya serikali, magari binafsi, vituo vya polisi, nk. Tuache kwanza hoja ya usahihi wa hizo takwimu ambazo zinatia shaka. Cha kushangaza wakati yote hayo yanatokea, kituo cha taifa...
  20. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Mwenyezi Mungu ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania. Ameniambia atamalizana na wanaopanga kuliangamiza Taifa

    Mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kupitia ukurasa wake wa Facebook ameweka wazi maono ambayo amedai kuoneshwa na Mwenyezi Mungu. "Mwenyezi Mungu amenifunulia kwamba njama zote za kuivuruga Tanzania hazitafanikiwa! Amenionesha kuwa ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania na...
Back
Top Bottom