tamaa

Tammas is the first album by Samir Joubran duo with his brother Wissam Joubran, released in 2003 labelled "daquí", by Harmonia Mundi.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    CHADEMA TUNAPIGANIA MARIDHIANO YA DOLA NA Watanzania. Tusikate tamaa. Ndoto ya haki karibu itatimia

    Tunaamini katika ndoto ya kweli. Ndoto ya haki, ukweli na usawa. Sasa Chadema tutaifanya ndoto ya watanzania iwe ya kweli. Chadema hatupo kutaka kugawana madaraka na CCM ndio tuite maridhiano. Tunaamini katika maridhiano ya kweli. Walioamini kwenye maridhiano ya kugawana ela, vyeo na...
  2. Waufukweni

    Askofu Bagonza: Viongozi wengi wa vijana wamejaa uoga, wanaongoza kundi la vijana waoga wenzao waliokata tamaa

    Askofu Dkt. Bagonza amesema viongozi wengi wa vijana wamejaa uoga unaoitwa utii, hali inayowafanya washindwe kusimamia maslahi ya wenzao. Amesema viongozi hao wanaongoza vijana wengi waliokata tamaa na wanaokimbilia majibu mepesi, ikiwemo kutegemea miujiza, njia rahisi za kupata utajiri na...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Wamekata tamaa au wanahofu?

    Hamjambo wote! Bado natazama mambo kama yalivyo. Je wanaharakati wamekataa tamaa? Je watu wamekataa tamaa ya mapambano? Au wameogopa, wanahofu kutokana na vitisho vya vyombo vya Dola. Mitaani watu hawazungumzii haya maandamano. Lakini wanajua kuna jambo kama hilo. Juzi nilikuwa sehemu fulani...
  4. S

    Kuoa sio kazi shida mahari. Mnazo tupimia vijana nyie wazazi muwage. Mnafikiria

    Wazee, ipo hivi; kuna vijana tunahitaji sana, tena sana, kupata familia au kuanzisha familia na wenza wetu tunaowapenda. Shida inaanzia pale mzazi, yaani mkwe, unaponipimia mahari kama vile unanikomoa. Yaani sijui huwa mnafikiria kiukweli au huwa mnaamua tu kuropoka. Mnatufanya tuendelee kuwa...
  5. J

    Tujiepushe na tamaa ya mali au kupenda fedha

    Tujiepushe na tamaa ya mali au kupenda fedha Kwa namna ya kawaida fedha haina ubaya wowote, ni nyezo ambayo Mungu aliiruhusu iwepo na itumiwe ili kuendesha kushughuli zote za kijamii: Mhubiri 19:19 “…Na fedha huleta jawabu la mambo yote”. Lakini kitendo cha kupenda fedha, hicho ndicho Mungu...
  6. britanicca

    Hili suala la wanawake kusaka hela ya mchezo ya kuchangishana ni Tatizo sana! Umalaya! Tamaa! Presha kwa wapenzi

    Hiii sijui Kila siku laki ya mchezo inachangia Umalaya kwa wanawake Udanganyifu kwa wenza wao kutokana na Pesa wanazopewa Presha kwao na kwa wapenzi wao Ni Bomu kubwa sana tupo na mtaona kwenye jamii Britanicca
  7. K

    Tamaa binafsi za Mama ndiyo zinatuletea kukosa misaada ya Watanzania!

    Mama yeye ajali anakula pesa za kodi na madili kama hana akili vile. Lakini taifa tunapigwa kila kona. Sababu kubwa ni tamaa zake binafsi ili aonekane kashinda kwa 97% kura fake. Hadi waangalizi wa kutoka Africa wamesema uchaguzi ni fake Misaada ya EU na US imekatwa. Visa za US za aina karibu...
  8. Zack Abdul

    Ujumbe kwa Waziri Mkuu: Usikate Tamaa

    Mheshimiwa Waziri Mkuu, Katika uongozi kuna siku za pongezi na kuna siku za lawama. Kuna siku watu watakushangilia na kuna siku watu watakosoa kila hatua unayopiga. Hayo yote ni sehemu ya safari ya uongozi. Lakini usikate tamaa kwa sababu ya kelele za wachache wanaodharau kazi unayoifanya...
  9. Expensive life

    Umepitia changamoto week moja tu kwenye biashara yako toka uianzishe umeshakata tamaa

    Ndugu zangu, biashara ni mchakato mrefu sana, nina shuhuda za baadhi ya ndugu jamaa na marafiki kuanza biashara kwa pupa kisha kuangukia pua. Mtu ana m10 yote anaitia kwenye biashara, matarajio yanakuwa makubwa sana kwa kipindi kifupi, kwenye hiyo biashara ambayo bado ni changa sana, ndio...
  10. bless on

    Usikate Tamaa: Jifunze Kutoka kwa Wema Sepetu

    Yapo Mengi sana ,Nimejifunza kwa Muda mfupi sana , Wakati nikiendelea kuona majibizano ya wafuasi wa wema sepetu na Anti -wema sepetu, So sitaki kujiingiza huko katika Majibizano hayo , Ila Mimi natoa funzo muhimu sana katika Jamii , Mara Nyingi Watu wengi huacha ndoto zao kwa sababu ya...
  11. L

    PICHA: Hii Inaonesha Lissu Kajikatia Tamaa Kabisa na Kuvurugwa akili. Jela ni Mwalimu Hodari asiyefelisha Masomo Yake

    Ndugu zangu Watanzania, Usicheze na magereza hata siku moja . Kule siyo kwa mchezo mchezo,kule hata uwe Nunda kiasi gani utajikuta umebadilika kitabia na kuwa mtu mwema tu utake usitake upende usipende. Hakuna ujeuri kule wala ubraza men ama ujuaji. Ona sasa lissu amekaa mwaka mmoja tu lakini...
  12. P

    Kilichotokea kwa Faye na Sonko ni tafsiri halisi ya “tamaa ya madaraka”

    Tumeshuhudia wanavyonyukana kugombea nani awe na mamlaka ya mali ya umma Hili ni janga la Afrika ndio maana hadi leo hakuna muungano unaoeleweka Yale yale ya ukawa na siasa za Tanzania Bora kubaki na CCM kuna aina fulani ya utu na uungwana kuliko kilichotokea Chadema Lossu, Heche na...
  13. ShesRise_1

    Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Kuna wanaume Mungu kawajalia familia nzuri sana mke mwema, anayejitunza, anayeheshimu ndoa yake, anayekutii na kusimama kwenye nafasi yake kama mke. Pengine amekuzalia watoto na amekuwa nawe kipindi kigumu na chepesi. Lakini kutokana na tamaa, unaanza kuchezea amani ya familia yako mwenyewe...
  14. S

    CCM wamekataa tamaa ya kushindana katika majukwa ya kisiasa na CHADEMA. Wanaona hawana tena cha kupoteza hivyo liwalo na liwe

    Yote mnayoyaona na kuyasikia, msingi wake mkuu ni kama nilivyoeleza katika kichwa cha habari cha uzi huu. Wamechafuka na kukataliwa ndani na nje ya nchi na kwa akili zao, CHADEMA ndio wamewaponza, wanasahau ni ulevi wa madaraka na kupuuza madai ya msingi ya wananchi ndio umewafikisha hapo...
  15. K

    Tanzania tumekosa mabilioni kwasababu ya tamaa na ubinafsi wa Mama Samia

    Wizi wa kijinga wa kura umeharibu mahusiano ya watanzania wenyewe kwa wenyewe , majirani zetu kama Kenya, nchi za south Africa. Lakini imeharibu mahusiano na wadau wanao tusaidia kwenye afya, barabara, na uwekezaji. Kwasasa mfano hakuna visa tena zinatoka kwa wafanyabiashara wetu kwenda Marekani...
  16. Mshana Jr

    Usimkatie tamaa mtu..! Zikiisha akili humrudi.. Hiari yashinda utumwa!

    Ameandika Mch. Peter Msigwa Historia inaonyesha: Mataifa mengi duniani hayakuanguka kwanza kwa sababu ya vita au mapinduzi bali , Yalianza kudhoofika taratibu pale ambapo mamlaka isiyo rasmi inaanza kuogopwa kuliko taasisi rasmi. (Illusion power) Historia ina mifano mingi sana ya mataifa...
  17. N

    Kwenye maisha usikate tamaa

    Miaka 6 iliyopita nilikuja DSM kutafuta maisha kutoka mkoa fulani nikiwa na elimu ya form 4 tu, basi nikawa napiga mishemishe huku najisomesha nakaa kwa washikaji tu. Hatimae naliaga jiji la Dsm nikiwa mtumishi wa government. Usijikatie tamaa Mungu yupo
  18. L

    Wanaharakati wote waliokuwa wanataka kuvuruga Amani ya Taifa letu wamepoteza muelekeo na kusambaratika

    Ndugu zangu Watanzania, Wale wanaharakati uchwara waliokuwa wanafanya uchochezi, kuchochea machafuko ,kutoa kauli za kupandikiza chuki , uchonganishi na uzushi wa kila aina ili kuwahamasisha wananchi kuchoma Taifa letu. Kwa sasa wamepoteza muelekeo,kusambaratika na kupoteza muelekeo kabisa...
  19. ngara23

    Inakatisha tamaa kulipa kodi katika nchi yetu, mafisadi hawana cha kuogopa

    Deni la Taifa ni Trillion 110 Taasisi nyingi wametumbua pesa bila aibu 1. ATCL wamekula pesa, hasara zaidi ya billion 90 ATCL hii haiendeshwi kiuweledi Kutwa kusafirisha machawa na kubeba bure Yanga na Simba kwanini isipate hasara 2. TRC wamekula mabilion ya fedha Hii reli inapataje hasara...
  20. Zee la madawa

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Siku baada ya siku sioni dalili ya kutoboa kupitia haya maisha ya kuajiriwa mambo yanazidi kuwa tough familia inaanza kukua kwa mshahara huu wa single digit sina hakika kama kuna kutoboa bila kuchukua action sasa Kinachouma zaidi kuna watu huo mshahara wako ni per diem ya siku mbili tu aisee...
Back
Top Bottom