ataka

Attack (Bulgarian: Атака, romanized: Ataka) is a nationalist political party in Bulgaria, founded in 2005 by Volen Siderov, who was at the time presenter of the homonymous TV show Attack on SKAT TV.
There are different opinions on where to place the party in the political spectrum: according to most scholars it is extreme right, according to others extreme left, or a synthesis of left- and right-wing. The leadership of the party asserts that their party is "neither left nor right, but Bulgarian". The party is considered ultranationalist and anti-Roma, as well as being anti-Muslim and anti-Turkish. The party opposes Bulgarian membership in NATO and requires revision for what it calls the 'double standards' for the membership in the European Union, while members visit international Orthodox and anti-globalization congresses and the party is closely tied with the Bulgarian Orthodox Church. It advocates the re-nationalisation of privatised companies and seeks to prioritize spending on education, healthcare and welfare.In the Bulgarian parliamentary elections of 2005, 2009, and 2013 Attack was consistently the fourth-strongest party. In the 2014 European Parliament election, the party won no seats. Attack was a member of the former Identity, Tradition, Sovereignty European parliamentary group.

View More On Wikipedia.org
  1. Stuxnet

    Kanye Ataka Mapenzi ya Utatu (Threesome) na Michelle Obama

    Rapa Kanye West amefunguka kutamani kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mke wa aliyekuwa Rais wa Marekani, Barack Obama, Michelle Obama. Kanye West has revealed his desire to have a threesome with a beloved First Lady: Michelle Obama. In an interview with Justin Laboy on The Download...
  2. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Kuchukua Hatua kwa Mameneja Wazembe TEMESA, Ataka Majina Kubainishwa

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuwasilisha majina ya Mameneja wa Kanda na Mikoa wa TEMESA ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi ili waweze kuchukuliwa hatua. Bashungwa ametoa agizo...
  3. Yoda

    Mpina ataka viongozi wa wizara, mashirika, mikoa na wilaya kupatikana kwa usahili!

    Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili. Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa...
  4. Suley2019

    Waziri Mkuu Majaliwa ataka sheria kali ziundwe kukabiliana na Unyanyasaji wa Kijinsia

    Serikali inatarajia kuweka sheria kali dhidi ya wanaofanya ukatili wa kijinsia kwenye Jamii ili kuondoa na kupungunguza wimbi la ukatili linaloendelea kwenye Jamii. Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema hayo leo April 18,2024 wakati wa majibu ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu akijibu...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge furaha matondo ataka kujua ni lini Bima ya Afya kwa wote kuanza

    Mbunge Furaha Matondo Ataka Kujua ni Lini Bima ya Afya kwa Wote Kuanza Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote itatangazwa kuanza kutumika kabla ya mwisho wa mwezi huu wa Aprili kwa tarehe itakayotajwa. Dkt. Mollel amebainisha hayo Aprili 3, 2024...
  6. Mtemi mpambalioto

    Mbunge Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    MY TAKE: huyu mbunge kwanza hana njaa! magari yake mpaka nauli Tsh 49,000 kutoka Dar kwenda dodoma yaan kila sku yeye anaingiza mamilioni ya hela Anachukulia poa kuwakamua maskini ili wasaidie maskini wenzao! yeye anapata mshahara 17Milioni kwa mwezi - Mwalimu anapata laki 3 kwa mwezi! halafu...
  7. Lady Whistledown

    Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Sh2,000 kila mwezi kwenye laini za simu huku wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi wakikatwa Sh10,000 ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato kwa Bima ya Afya kwa wote. Amesema kuna wamiliki wa laini za simu milioni 72 nchini ambao...
  8. chiembe

    Padri Silvio Mnyifuna, ataka 2025 Samia aendelee ili wahuni wasipate nafasi

    Huyu ni Padri huko jimbo Katoliki,Mafinga, Iringa....Kwa sasa nyota ya SSH haishikiki, inakimbia kwa kasi ya mwanga au sauti. Si kwa wananchi wa kawaida, walimu na kila kada, kila kona ni Samia, sasa kishindo cha Samia kimefika katika kanisa katoliki. Watumishi wa Mungu ni moja kati ya watu...
  9. DodomaTZ

    Dkt. Biteko ataja ongezeko la ajira kwa Walimu, madaraja na Bajeti ya Elimu, ataka Walimu wawe na Siku Maalum ya Motisha

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, uwekezaji wowote unaofanywa katika Sekta ya Elimu lazima umguse Mwalimu kwani ndiye injini na kiongozi wa rasilimali zote zinazowekwa kwenye mfumo wa elimu nchini. Dkt. Biteko mesema hayo tarehe 13 Machi 2024 wakati...
  10. M

    Profesa Janabi ataka watu wembamba wasinyanyapaliwe

    PROFESA Mohamed Janabi amesema mtu kuwa mwembamba haina maana kwamba ni mgonjwa, akionya unyanyapaa dhidi ya kundi hilo ambalo yeye ni sehemu yake. Mkurugenzi Mtendaji huyo wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Afua ya Mfumo Jumuishi hospitalini...
  11. M

    Heche ataka Shirika la Tanesco livunjwe

    "Tatizo la umeme la nchi hii ni kufeli kwa uongozi wa nchi, kuna mambo mengi tumewahi kushauri, TANESCO inafanya mambo makubwa matatu ,uzalishaji, usafirishaji na usambazaji huwezi kuwa na kampuni inafanya kazi zote hizo peke yake". "Asilimia karibia 40 ya umeme wetu unapotea ukiwa...
  12. Suley2019

    Dkt. Mwigulu ataka barabara za uhakika kijijini

    Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba amesema umefika wakati wa kutekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuangalia namna ya kutengeneza barabara za zitakazodumu muda mrefu maeneo ya vijijini. Mwigulu amesema hayo alipojibu hoja ya dharura ya mbunge wa Rorya, Jafar Chege aliyeomba mwongozo...
  13. dalalitz

    Sista, "Kazi ni Kazi" tu sio shida. Mama ataka Polisi waje, kisa mwanae Jobless kununua Benz lake $50,000

    Kwa wengine hii ingekuwa furaha, shangwe, nderemo na vifijo. Kwa mama huyu wa KiNaigeria yeye anaona 'mapichapicha' tu. . Huku akibubujikwa na machozi mithili ya mtu aliefikwa na msiba na akihanikiza na kushinikiza Polisi wahusike kuchunguza imekuwaje mwanae ambae ndio kwanza kamaliza masomo ya...
  14. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Norah Mzeru ataka kujua hatma ya zahanati ya kata ya Mafisa, Morogoro

    MBUNGE NORAH MZERU ATAKA KUJUA HATMA YA ZAHANATI YA KATA YA MAFISA MKOANI MOROGORO "Je, lini Serikali itamalizia ujenzi wa Zahanati ya Uwanja wa Ndege katika Kata ya Mafisa Mkoani Morogoro?" - Mhe. Norah Waziri Mzeru, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro "Katika kusogeza huduma za afya kwa...
  15. M

    Mzungu ataka uraia wa Tanzania, agoma kurudi kwao

    Hakuna binadamu anaependa Vita wala kubebeshwa silaha, huyu kijana toka Uingereza ameamua kuukana Uraia wake na kumuomba Rais Samia ampatie Uraia wa Tanzania. ANGALIA VIDEO HAPA Nini maoni yako? Written by Mjanja M1 ✍️
  16. M

    Ataka kumuua mtoto baada ya kujifungua ili kunusuru Ndoa

    Msichana mwenye umri wa miaka 19 alietambulika kwa jina la Rehema Erick Mkazi wa Mtapenda Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi ameingia matatani kwa kujaribu kumuua mtoto wake kwa kumtupa chooni baada ya kujifungua ili kulinda ndoa yake isivunjike. --- Msichana mwenye umri wa miaka 19...
  17. M

    Video: Makonda ataka mdahalo na Tundu Lissu

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano...
  18. DodomaTZ

    Dkt. Biteko ataka Umoja wa Vijana CCM kushikamana kuleta maendeleo

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, leo tarehe 8 Januari, 2024 amefungua Kongamano la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Zanzibar ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya kuelekea miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kongamano hilo ambalo limefanyika katika Wilaya ya...
  19. MSAGA SUMU

    Tetesi: Kitenge hana furaha Wasafi, ataka kutimkia EFM

    Habari za uhakika kabisa zinasema gwiji la kusoma magazeti nchini aka zee la viearphones halina furaha Wasafi redio. Kitenge yuko kwenye mazungumzo ya awali akijiandaa kuhamia EFM huku ongezeko la mshahara na idadi ya safari za nje zikitajwa kama sababu kubwa kumshawishi kukimbilia EFM.
  20. Stephano Mgendanyi

    Chatanda ataka 20% ya Wagombea nchini wawe Wanawake

    Chatanda Ataka 20% ya Wagombea Nchini Wawe Wanawake Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda, amesema kutokana na hali ilivyo wanataka asilimia 20 ya wagombea wa majimbo, udiwani na serikali za mitaa wawe wanawake hasa katika uchaguzi ujao. Chatanda amebainisha hayo wakati...
Back
Top Bottom