botswana

Botswana ( (listen), also UK: ), officially the Republic of Botswana (Setswana: Lefatshe la Botswana), is a landlocked country in Southern Africa. Formerly the British protectorate of Bechuanaland, Botswana adopted its name after becoming independent within the Commonwealth on 30 September 1966. Since then, it has been a representative republic, with a consistent record of uninterrupted democratic elections and the lowest perceived corruption ranking in Africa since at least 1998. It is currently Africa's oldest continuous democracy.Botswana is topographically flat, with up to 70 percent of its territory being the Kalahari Desert. It is bordered by South Africa to the south and southeast, Namibia to the west and north, and Zimbabwe to the northeast. Its border with Zambia to the north near Kazungula is poorly defined but is, at most, a few hundred metres long.A mid-sized country of just over 2.3 million people, Botswana is one of the most sparsely populated countries in the world. Around 10 percent of the population lives in the capital and largest city, Gaborone. Formerly one of the poorest countries in the world—with a GDP per capita of about US$70 per year in the late 1960s—Botswana has since transformed itself into one of the world's fastest-growing economies. The economy is dominated by mining, cattle, and tourism. Botswana boasts a GDP (purchasing power parity) per capita of about $18,825 per year as of 2015, which is one of the highest in Africa. Its high gross national income (by some estimates the fourth-largest in Africa) gives the country a relatively high standard of living and one of the highest Human Development Index of continental Sub-Saharan Africa.Botswana is a member of the African Union, the Southern African Development Community, the Commonwealth of Nations, and the United Nations. The country has been among the hardest hit by the HIV/AIDS epidemic. Despite the success in programmes to make treatments available to those infected, and to educate the populace in general about how to stop the spread of HIV/AIDS, the number of people with AIDS rose from 290,000 in 2005 to 320,000 in 2013. As of 2014, Botswana has the third-highest prevalence rate for HIV/AIDS, with roughly 20% of the population infected.

View More On Wikipedia.org
  1. Superbug

    JamiiForums Tanzania Kamsikilizeni rais wa Botwana duma Fideon Boko akiongea kwa busara na wanajeshi wa Botswana juu ya kuepuka violence dhidi ya raia wasio na silaha

    Rais Duma Boko alikua anaongea na wanajeshi wa jeshi la ulinzi la botswana (jwtz yao) jinsi ya kuepuka kuuwa raia wasio na hatia na wasio na silaha pia kuwadhuru wenza wao pindi kukitokea kutokuelewana aisee ile hotuba ni kiboko hakika wenzetu wana marais. nimewaonea wivu.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Raisi Mpya wa Botswana: Kama umeshawahi kuiba mali ya Serikali anza kukimbia sasa hivi

    Rais Duma Gideon Boko wa Botswana ametoa onyo kali kwa watu wanaotuhumiwa kufuja rasilimali za umma, akitangaza kuwa serikali yake itafuatilia urejeshaji wa fedha zilizoibiwa bila kujali ni lini wizi huo unaodaiwa ulitokea. "Ikiwa umewahi kuiba kutoka kwa serikali, anza kukimbia sasa hivi!"...
  3. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Botswana has not cut off electricity supply borders amid anti-migrant action in South Africa

    There have been widely circulated social media posts following the outbreak of violence in South Africa. One of the posts claims that the President of Botswana took drastic measures against South Africa, including cutting off electricity supplies and closing the border due to rising xenophobic...
  4. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Nchini Botswana ni rahisi zaidi kumfukuza kazi mtumishi Mzembe kuliko Tanzania, Je Sheria yetu ya Utumishi ni Mzigo kwa Walipa kodi?

    === Akiongea katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana Kafulila aliwapongeza wafanyakazi kwa mafanikio makubwa ya kuifanya ajenda ya PPP kueleweka kwa kasi kwa umma na mfumo mzima wa Serikali. Akaendelea kusema, Mafanikio hayo yamepelekea...
  5. Yesha

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe and Botswana Agree to Ease Border Crossings Using National IDs

    Zimbabwe and Botswana have agreed in principle to allow their citizens to cross between the two countries using national identity cards instead of passports, in a move aimed at easing movement of people and strengthening bilateral cooperation. The agreement was discussed during the 66th...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Botswana jijini London

    PROF. KABUDI AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BOTSWANA JIJINI LONDON Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba J. Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Botswana, Mhe. Dkt.Phenyo Butale, jijini London, Uingereza, ambapo viongozi hao...
  7. Yesha

    JamiiForums Tanzania Botswana Moves to Expand Mining Exploration to Reduce Reliance on Diamonds

    Botswana is planning to increase mining exploration as the country seeks to diversify its economy beyond diamonds. Diamonds currently account for about 80% of Botswana’s foreign exchange earnings and nearly one third of government revenue. However, revenues have been declining amid weakening...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa Botswana anawaheshimu wananchi waliomchagua awatumikie

    Kauli ya ilituendelee tunahitaji vitu.... Je tumefeli wapi?
  9. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania (Kumbukizi): Mwaka 1975, Tanzania, Zambia na Botswana zilisusia Mkutano wa 12 wa Umoja wa Nchi za Afrika (OAU), kupinga uongozi wa Rais Idi Amin

    Mwaka 1975, Tanzania, Zambia na Botswana zilisusia Mkutano wa 12 wa Umoja wa Nchi za Afrika (OAU) uliofanyika Kampala, Uganda, kupinga uongozi wa Rais Idi Amin. Mkutano huo ulimfanya Amin kuwa mwenyekiti wa OAU kwa mwaka mmoja, nafasi ambayo kwa desturi hutolewa kwa kiongozi wa nchi mwenyeji...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais wa zamani Botswana: Samia sio Rais wa Wananchi, Awataka SADC kutomtambua Samia Kama Rais

    Dunia imepona Kila kitu ============ "Kama SADC itashindwa kulaani uchaguzi bandia wa Tanzania na ukatili mkubwa uliofanyika, basi wanahusika na ni lawama yao pia,” anasema Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama. “SAMIA SULUHU si rais wa Tanzania. Hana uhalali wowote.”
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ian Khama: Simtambui Samia kama Rais wa Tanzania sababu uongozi kaupata kwa mauaji na ukandamizaji wa wananchi

    Katika kongamano la African Renaissance lililofanyika Lukenya University nchini Kenya, Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama, alitoa kauli yenye mguso akisema “hamtambui Rais Samia Suluhu Hassan kama kiongozi halali wa Tanzania.” Alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka 2025 ulitawaliwa na vitisho, vifo...
  12. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Botswana Nchi ya WATU 2M inalialia - zenye WATU 60M zifike wapi?

    Aliongeza kuwa Wizara ya Fedha imeidhinisha bajeti ya dharura ya dola milioni 18.7 ili kuushughulikia mzozo huo. Rais Duma Boko alisema jeshi litasimamia usambazaji wa dawa za dharura, huku shehena za kwanza zikiondoka mara moja katika mji mkuu wa Gaborone na kuyapa kipaumbele maeneo ya vijijini...
  13. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Botswana Yatangaza Hali ya Hatari Baada ya Sekta ya Afya Kuporomoka ambapo Hospitali za Nchi Kukosa dawa.Hii ndio Nchi tunaambiwaga imeendelea

    My Take Hii Ndio Nchi Huwa tunaambiwa na Wapinzani kwamba imeendelea sana ,Ina Demokrasia na sijui Haina rushwa na blaa blaa zingine za kipumbavu za kusema wanatumia Rasilimali vizuri. Mpaka hapo kila mtu anaona Sasa kwamba Demokrasia imeshindwa kwa mara nyingine kuwapa watu dawa ,ugali na...
  14. Magufuli 05

    JamiiForums Tanzania Video: Sikiliza dira ya Rais wa Botswana halafu linganisha na kwetu. Utagundua sisi tupotupo tu

    Rais wa Botswana Duma Boko anaeleza kuwa kuna changamoto kubwa sana katika mchakato wa tenda za miradi na hivyo atahakikisha wananchi wote wanashirikishwa kwa ukubwa katika mchakato huo.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Namibia na Botswana kujenga kiwanda cha pamoja cha kusafisha mafuta

    Nchi za Namibia na Botswana zinatarajiwa kuwa na kiwanda cha pamoja cha kusafisha mafuta( Oil Refinery) ili kupunguza kiwango cha mafuta wanachoagiza kutoka nje. Hatua hiyo imetajwa ikiwa ni baada ya ziara ya Rais wa Namibia nchini Botswana. Pamoja na kupunguza uagizaji wa bidhaa za mafuta...
  16. DeMostAdmired

    JamiiForums Tanzania Niache kazi Serikalini niende Botswana? Naomba ushauri

    Wakuu habari za siku mingi. Mercy yupo mzima, yupo dar kwasasa na kila siku ananisumbua niende dar au aje nilipo tuonane. Merry yupo tunasonga na maisha. Nimekuja leo naombani ushauri. Nilipata job govenment lakini at a time napambana na job ya govenment nilikuwa nishaanza kufatilia na...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Baba wa Taifa(founding father) bora kuliko wote Africa

  18. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Marais A/Kusini, Namibia, Zambia Botswana hawakuhudhuria mazishi ya Papa Vatican. Tuna la kujifunza?

    1. Marais kadhaa wa wanachama wa SADC (Botswana, Zambia, Namibia , Afrika Kusini) wapo bize nchini mwao wakipambania wananchi wao wawe na maisha Bora. 2. Badala ya kwenda kuteketeza mamilioni kwa safari ambazo hata Balozi zao waliopo Rome wangeweza kuwakilisha.
  19. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Nikigraduate tu, siwezi kutafuta maisha Tanzania, naanza na Botswana

    Ajira ni ngumu, lakini duniani huko ajira ni nyingi sana, Bora nikawe mlinzi Dubai kuliko kuwa mlinzi wa Suma jkt hapo dsm.. Nikiwa nje nitafanya KAZI yoyote mpaka nitoboe kama itapendeza ntaoa jimama la kizungu linipe uraia. Bongo Sina future napo.
  20. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wa Vijana Botswana (Pichani)

    Wafahamu mawaziri Vijana nchini Botswana. Bado tunatafuta mchawi?
Back
Top Bottom