Mdude_Nyagali
Member
- Dec 11, 2022
- 60
- 1,237
Taarifa za awali nilizozipata ni kwamba katibu tawala DAS wa Mbongwe ambaye jana niliweka sauti yake hapa akiiba mafuta ya serikali hawezi kuchukuliwa hatua kwa sababu yuko karibu na familia ya Kikwete.
Inadaiwa baada ya DAS huyo aitwayo Jacob Rombo alipomaliza masomo yale familia hiyo ilimuweka kwanza kwenye shirika la mke wa kikwete wakati anasubiri mkeka wa u-DAS. Bw. Jacob alikuwa akitamba Bar na kwa marafiki wake kwamba muda wowote atakuwa ni katibu tawala wilaya yoyote hapa nchini. Bw. Jacob Rombo hakufanyiwa vetting yoyote isipokuwa alichomekwa tu na familia hiyo ya JK .
Inadaiwa baada ya sauti yake akiiba mafuta ya serikali kuvuja aliwasiliana na member wa familia hiyo kumjulisha kama anaweza kunusurika kuliwa kichwa. Member wa familia hiyo alimuhakikishia kwamba asiwe na wasiwasi kwani hawezi kuadhibiwa kwa kuiba mafuta ya laki 2 kila siku wakati kuna watumishi wanaiba mabilioni.
Naendelea kufiatilia jambo hili kwa ukaribu na kila nitakachopa nita-share na nyie hapa.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kusikilikiza sauti ya DAS huyo akiiba mafuta unaweza kufuata link hii hapa chino 👇
Inadaiwa baada ya DAS huyo aitwayo Jacob Rombo alipomaliza masomo yale familia hiyo ilimuweka kwanza kwenye shirika la mke wa kikwete wakati anasubiri mkeka wa u-DAS. Bw. Jacob alikuwa akitamba Bar na kwa marafiki wake kwamba muda wowote atakuwa ni katibu tawala wilaya yoyote hapa nchini. Bw. Jacob Rombo hakufanyiwa vetting yoyote isipokuwa alichomekwa tu na familia hiyo ya JK .
Inadaiwa baada ya sauti yake akiiba mafuta ya serikali kuvuja aliwasiliana na member wa familia hiyo kumjulisha kama anaweza kunusurika kuliwa kichwa. Member wa familia hiyo alimuhakikishia kwamba asiwe na wasiwasi kwani hawezi kuadhibiwa kwa kuiba mafuta ya laki 2 kila siku wakati kuna watumishi wanaiba mabilioni.
Naendelea kufiatilia jambo hili kwa ukaribu na kila nitakachopa nita-share na nyie hapa.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kusikilikiza sauti ya DAS huyo akiiba mafuta unaweza kufuata link hii hapa chino 👇
Nimenasa sauti ya Katibu Tawala (DAS) Wilaya ya Mbogwe, Ndg. Jacob Rombo akiiba mafuta ya Serikali
Ndugu watanzania wenzangu wavuja jasho wa nchi hii, hiyo sauti mnayoisikia ni ya katibu tawala DAS wilaya ya Mbongwe mkoani Geita akiiba mafuta ya serikali kwenye moja ya vituo vya mafuta vilivyopo wilayani hapo. Tukio hili limetokea January 2024 katika kituo cha mafuta kiitwacho Minzingo...
www.jamiiforums.com