walokole

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Kanisa la Kilokole la Pentekost la Christ Embassy, chini ya uongozi wa Pastor Chris Oyakhilome, limezindua rasmi safu ya magari yanayotumia nishati ya umeme, ikiwa ni sehemu ya miradi yake ya kiteknolojia na viwanda. Magari hayo yamewasilishwa kupitia njia rasmi za huduma hiyo, huku baadhi ya...
  2. min -me

    JamiiForums Tanzania Walokole ni kundi maalum

    Hii jamii ni ya kutenga kabisa na wakristo, inachafua ukristo na kuonekane kama hamnazo
  3. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Mipango ya siri ya Walokole na WAKRISTO kumuua Civilian-Coin kisa hamwamini Yesu Kama Mungu wao imevuja.

    Taarifa ambazo zimetufikia mchana huu ni kuwa makundi makundi ya Walokole yamesukwa kufanya mauaji kwa Siri au hadharani ya kumuua Bw. Civilian-Coin Nalimi Kisandu almaarufu CIVILIAN-COIN taarifa nyeti tumezipata. Aidha wamejipanga kuua au kumbambika kesi yoyote ile Bw. Civilian-Coin. Hata...
  4. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kero: Makanisa ya walokole katikati ya makazi ya watu

    Kuna mtaa nipo hapa nimekuja kumtembelea ndugu yangu ni mgonjwa, sasa bana jirani hapa Kuna kanisa la WALOKOLE, mda mwingi wanapiga maombi ninaweza kusema ni ya kelele sana, zimekua kero kwa wagonjwa na wazee wanaohitaji utulivu. Inakuaje mtu mnaweka maspika makubwa mnaelekezea kwenye madirisha...
  5. Msanii

    JamiiForums Tanzania Njooni Tusemezane sasa, Neno au jina la Walokole limetokea wapi, na linamaanisha nini kwenye imani?

    Neno la Bwana katika Injili iliyoandikwa katika Mathayo 28: 19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; Je neno au jina la Walokole limetokea wapi? Je kuwa Mkristo ni hatua ya awali kisha ulokole ni daraja la juu? Je ni...
  6. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Walokole ndo chanzo cha migogoro Ofisi za Umma na binafsi

    Hawa watu ndo chanzo cha migogoro yote katika kila ofisi Hawa watu anaweza kua anakuchekea lakn anakufanyia majungu hata shetani mwenye anatamani ajifunze somo kwao Hawa watu wapo kama miungu watu hawakosea na sisi wengine ni subhuman Hawa watu kusengenya ndo kipaji chao kikuuu ondoka...
  7. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Wanajukwaa sina mengi ya kueleza, lakini itoshe kusema hawa watu wanaosali makanisa ya kilokole kwa asilimia kubwa wanamatatizo makubwa ya afya ya akili! Mama yangu ni mlokole, Imagine back then 1998 aliachana na baba sababu baba kakataa kuokoka, baba kafanyiwa matukio mpaka akakimbia familia...
  8. V

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa makanisa ya TAG, FPCT, EAGT NK waambua ni kwanini fungu la kumi limekuwa kikwazo kwa sisi walokole wa Leo

    BWANA YESU ASIFIWE...Haleluya... Shalom.., Naomba kwanza nitambulike kuwa sipingi fungu la KUMI ila naweka wazi kitu MHIMU Ili tusiebdelee jinsi ilivyo kwa wengi wetu. Fungu la kumi limeonekana KIKWAZO KWA WALOKOLE WA LEO kwa sababu; 1.Limefanywa kuwa njia ya kujipatia utajiri kwa viongozi wetu...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ngoma zimeanza usiku huu katika kanisa la walokole

    Ngoma zimeanza usiku huu katika kanisa la walokole. Sijui kama tutapata usingizi. Ibada yenyewe ni kesho lkn mziki ushaanza usiku huu tena mkubwa
  10. masai dada

    JamiiForums Tanzania Walokole kweli hii mistari huwa mnaisoma....au kudonoa donoa bibilia

    ikiwa ni jumapili tulivu kama calender ya KKKT inavyoelekeza hili neno la leo linanifikirisha sana na nimelijua zamani sana sema sasa labda uwenda tafsiri yangu ni tofauti lakini hamna kitu sikipendi kama kuomba kwa makelele napenda utaratibu na ukimya kwani najua Mungu atanisikia tu Mathayo...
  11. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Walokole wanao omba na kusali kila wakati hata kati kati ya usiku wa manane maombi yao yana nguvu kubwa hatari sio wa kuwachezea hata kidogo

    Tuendelee kuomba wapendwa kuna namna watu wanakuwa salama kwenye maeneo yetu kwa sababu ya kuomba kwetu. sikiliza ushuhuda huu hapa!! Glory to God. https://www.instagram.com/reel/DXrtusIDdtJ/?igsh=MXV2a3UxanQzeWg5dg== https://youtu.be/NHV7D4-Zi8I?si=Kc-5iOapj5nGHecK
  12. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Jameni walokole, hivi haya maneno mnayatumia vile yanavyopaswa ama mnatulisha matangopori?

    Namnukuu mchungaji aliyekuwa akihubiri kanisani leo mchana, "Tuko mbele 'zako' baba wa mbinguni". Hivi mungu ana mbele ngapi? ni 'mbele zako' au 'mbele yako'. Hebu tuwekane sawa maana mungu anaweza akawa na mbele zaidi ya Moja kwa sababu mara zote walokole wamekuwa wakisema "mbele za mungu"...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Roman Catholic inajitahidi kwenye nidhamu ya fedha na usimamizi wa miradi. Kwingine kuanzia BAKWATA, Wasabato, KKKT, walokole, n.k. kunanuka ufisadi

    Imekuwa kawaida sana kusikia migogoro, ubadhilifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya taasisi za kidini. Lakini ukweli ambao wengi wanaogopa kuusema hadharani ni kwamba baadhi ya taasisi hizi zimegeuka kuwa vijiwe vya kunufaisha wachache chini ya mwavuli wa imani. Kwa upande wa...
  14. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Walokole, tangu muanze kumkanyaga Shetani kwa jina la Yesu mmefikia wapi?

    Awali ya yote Lissu sio Muhaini. Ibada za walokole zimejaa utapeli wa kila aina. Utasikia wanasema shetani ushindwe na ulegee. Mara waseme fire fireeee,kumkanyaga sio kumkanyaga. Waliwahi kufuga mlimani kwa siku tatu usiku kucha tunasikia tunamkanyaga shetani wengine wanamteketeza shetani...
  15. Girland

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wokovu, je waweza kuokoka na ukawa mkatoliki? au Mlutheri, au wokovu ni kwa "walokole" pekee?

    UKISEMA wewe ni mkristo utaulizwa ,dhehebu gani?Hapa Kuna Wakatoliki (mama wa dini zote),Kuna waprotestanti (Lutheran, Anglican, n.k.) ,Kuna Wasabato , Jehovah witness, latter day saints,Kuna madhehebu mengine chungu nzima.Kuna wapentecoste hawa ndiyo wanajulikana hapa Tanzania kama (WALOKOLE)...
  16. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini walokole huwa wakali unapokuwa against na nchi ya Israel?

    Tatizo ni nini wakuu? Je ni kwba ulokole ulianzia kule au waIsrael wote ni walokole?
  17. President of China

    JamiiForums Tanzania Maandamano yasiyo na ajenda ni Wizi na Uhaini. TEC, CCT BAKWATA, WALOKOLE na WASABATO wakemee

    Nimekaa na kutafakari kwa kina. Kumeibuka makundi ya vibaka na majambazi kutoka kona zote za Tanzania kutumia mwanya wa maandamano kuharibu na kufanya ujambazi. Maandamano yasiyo na ajenda, yasiyo na kiongozi ni kujaribu kutaka kuleta uasi bila sababu. Maandamano lazima yawe na ajenda na...
  18. shibela

    JamiiForums Tanzania Answar sunna pokeeni maua yenu

    Habari za asubuhi Hawa waislam wa Ansal sunn sijui ndo inaandikwa hivyo wale wanaovaaga don't touch my shoes aisee wengi wao ni waaminifu ukifanya nao biashara! Nimeshafanya biashara na wa hivyo zaidi ya watatu nabaki na hela Yao au wao wanabaki na ya kwangu na hatujawahi kuzinguana...
  19. Setfree

    JamiiForums Tanzania Zijue nchi saba zenye Walokole wengi

    Walokole hapa namaanisha watu wenye sifa zifuatazo: waliotubu dhambi zao na kumpokea Yesu awe Bwana na Mwokozi wao, waliobatizwa ubatizo wa maji mengi na kujazwa Roho Mtakatifu. Ibada zao zina shangwe ya kiroho, kunena kwa lugha, shuhuda za miujiza na uponyaji, na mahubiri/mafundisho...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Walokole sasa wamegawana vituo vya daladala na spika na kufanya mahubiri

    Sasa hivi Walokole wameamua kugawana hadi vituo vya daladala, Wakiwa na spika zinazounguruma, ni mwendo wa mahubiri tu mwanzo mwisho. Mimi ninachojua kuna taratibu za kuendesha haya mambo ya mahubiri. Kuna ishu ya kelele, pia ambayo ni lazima idhibitiwe kwa mujibu wa sheria ya mazingira...
Back
Top Bottom