Walokole nani kawaambia mwanamke akivaa suruali anaenda motoni?

From Meru

JF-Expert Member
May 19, 2023
2,377
5,227
Kuna mambo yanastaajabisha. Siku moja nipo kwenye daladala kuna mlokole akawa kapanda akaanza kuhubiri.

Katika mahubiri yale akasema mwanamke kuvaa suruali ni dhambi. Nikajiuliza maandiko gani hayo yamesema hivyo wakati suruali zimekuja kugunduliwa majuzi tu?

Pili, nikajiuliza mbona watu wa zamani wake kwa waume walivaa mavazi ya aina moja mfanano na magauni au tuseme madera. Nadhani hoja wasivae suruali za kubana makalio.

Mambo ya kusema suruali dhambi kwa mwanamke ni upotofu. Vazi la suruali ni ubunifu tu wa mwanadamu.
 
Kuna mambo yanastaajabisha.
Siku moja nipo kwenye daladala
kuna mlokole akawa kapanda akaanza kuhubiri

Katika mahubiri yale akasema
mwanamke kuvaa suruali ni dhambi.
Nikajiuliza maandiko gani hayo yamesema hivyo wakati suruali zimekuja kugunduliwa majuzi tu?

Pili, nikajiuliza mbona watu wa zamani wake kwa waume walivaa
mavazi ya aina moja mfanano na magauni au tuseme madera.
Nadhani hoja wasivae suruali za kubana makalio. Mambo ya kusema suruali dhambi kwa mwanamke ni upotofu. Vazi la suruali ni ubunifu tu wa mwanadamu.
Kwa kawaida suruali ni vazi la jinsia gani?

"Mwanaume asivae vazi la Wanawake wala Wanawake wasivae vazi la Wanaume"
 
Suruali imekuwa invented karne ya 16. Na vitabu vitakatifu tunaamini viliandikwa kabla ya muda huo. Kwa iyo wewe kusema kwa mujibu ya bilia suruali ni vazi la kiume unakua unakosea.
Mavazi ni automatically yanajulikana kwa jamii husika .

Point kubwa katika jamii yetu suruali ni za wanaume haswa sio sheria kote ila jamii yetu kwa sababu dini imegneralize kwamba mwanamke asijifananishe na mwanaume na vice versal.

Hii ni applicable kwa jamii zote kutokana na muundo wao wa mavazi.
.Ukienda india kuna pajabi zile kwa jamii yao hata wanaume wanavaa ila Bongo ukivaa utachekwa kama mwanaume.
 
Kwa kawaida suruali ni vazi la jinsia gani?

"Mwanaume asivae vazi la Wanawake wala Wanawake wasivae vazi la Wanaume"
MKuu ukisema hivyo vp zamani yale mavazi yao waliyovaa yalikua na jinsia?
Maana wote wanaume kwa wanawake walivaa mavazi ya kuteremka kwa mfanano vp wao walikua hawakosei? Vazi la suruali limekuja hivi majuzi tu karne ya 15 au 16 kama sikosei.
 
Hatuwaonei wivu nyie kuvaa suruali..ila nyege zetu ndio tatizo hasa mnapotikisa makalio kwenye suruali zenu mmevaa zinaonyesha mpaka mikanda ya vyupi...

Suruali ya mwanaume haiyagawanyi makalio ila suruali zenu zina display mpaka wa kati baina ya vilele viwil vya milima sasa hapo ndio sisi mnatukosesha utulivu na kufanya twende motoni..
 
Kuna mambo yanastaajabisha.
Siku moja nipo kwenye daladala
kuna mlokole akawa kapanda akaanza kuhubiri

Katika mahubiri yale akasema
mwanamke kuvaa suruali ni dhambi.
Nikajiuliza maandiko gani hayo yamesema hivyo wakati suruali zimekuja kugunduliwa majuzi tu?

Pili, nikajiuliza mbona watu wa zamani wake kwa waume walivaa
mavazi ya aina moja mfanano na magauni au tuseme madera.
Nadhani hoja wasivae suruali za kubana makalio. Mambo ya kusema suruali dhambi kwa mwanamke ni upotofu. Vazi la suruali ni ubunifu tu wa mwanadamu.

Ungesema baadhi ya walokole bazaz wewe
 
Kwa nchi yetu Tanzania vazi aina ya Suruali ni vazi la jinsia ya ME.

Kwa bahati mbaya sana leo kuna kitu kinaitwa "Suaruali za kike",Sijawahi kusikia kitu kinaitwa " Sketi za Kiume".

Dunia imehalalisha vazi la ME kuvaliwa na KE kwa kigezo hicho cha "Suruali za KE".

Mwanamke kuvaa suruali kwa hapa Tanzania ni uhuni na Upungufu wa Akili,kwa bahati mbaya sana hata watu wanaojiita "WAKRISTO" wanavaa wakiunga tela mafundisho ya shetani.

Biblia iko wazi kabisa.

Kumbukumbu la Torati 22:5

"Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako."

Hivyo basi kama hapa kwetu Tanzania ikiwa suruali ni vazi linalovaliwa na wanaume haimpasi mwanamke Mkristo kulivaa kwasababu utakuwa umekinzana na neno la Mungu,kama wewe siyo mkristo vaa kwasababu huamini katika neno la Mungu.

Lakini pia kuna mataifa ambayo Sketi ni vazi la heshima la taifa hilo kwa wanaume na viongozi.Moja wapo ya Nchi ni Scotland na Bhutan,hivyo huko ukivaa vazi hilo hutaonekana kukinzana na neno la Mungu kwasababu ni kawaida.
 
Yaani mtu achomwe moto Kwa kuvaa tu suruali! Maajabu haya
Dharau za kupuuzia neno la Mungu ndizo zilifanya Sodoma ikaangamia,vivyo hivyo na wakati wa Nuhu waliangamizwa kwa maji kwasababu ya dharau.

Soma hapa upate ufahamu :

Kumbukumbu la Torati 22:5

"Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako."
 
Suruali imekuwa invented karne ya 16. Na vitabu vitakatifu tunaamini viliandikwa kabla ya muda huo. Kwa iyo wewe kusema kwa mujibu ya bilia suruali ni vazi la kiume unakua unakosea.
kasome biblia kitabu cha kumbukumbu la torati 22:5 kuhusu mavazi ya wanawake. Hivi visuruali mbano tunavyoona wanawake wanavaa ni fasheni tu ya mavazi ya kikahaba
 
Walikuwa uchi, wakavaa majani, wakavaa ngozi ila tatizo ni suruali.
Tatizo siyo suruali hilo ni Vazi limpasalo mwanaume mwanamke hapaswi kuvaa,huku kwetu Tanzania vazi limpasalo mwanaume ni suruali.

Ukitaka kujua shetani ni mtu wa ajabu,tafakari mawazo yako namna yalivyo,Mwanamke akivaa suruali kwasasa unaona kawaida ila mwanaume akivaa sketi na akitembea barabarani kwanini ashambuliwe?,Unaweza kunijibu?
 
Kuna mambo yanastaajabisha.
Siku moja nipo kwenye daladala
kuna mlokole akawa kapanda akaanza kuhubiri

Katika mahubiri yale akasema
mwanamke kuvaa suruali ni dhambi.
Nikajiuliza maandiko gani hayo yamesema hivyo wakati suruali zimekuja kugunduliwa majuzi tu?

Pili, nikajiuliza mbona watu wa zamani wake kwa waume walivaa
mavazi ya aina moja mfanano na magauni au tuseme madera.
Nadhani hoja wasivae suruali za kubana makalio. Mambo ya kusema suruali dhambi kwa mwanamke ni upotofu. Vazi la suruali ni ubunifu tu wa mwanadamu.
ni kweli,kwenye biblia kuna sehemu inasema"mwanamke akivaa mavazi ya kiume ni chukkizo,na mwaume akivaa mavazi ya kike ni chukizo vilevile"
 
Back
Top Bottom