Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu
Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?
Maana me nimetongozwaga zamani,
Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea
Na dating NI mchana sehemu ya public
Hamna Ku kiss wala ku du
Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje
Naombeni kujua jamaa
Naomba mje mnisaidie hii kitu
Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?
Maana me nimetongozwaga zamani,
Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea
Na dating NI mchana sehemu ya public
Hamna Ku kiss wala ku du
Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje
Naombeni kujua jamaa