NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
NB: mods nawaomben msihamishe huu uzi jukwaa,kuuedit,au kutoa kipande chochote kile, kwa niloandika, Kuna funzo kubwa sana hapa kuzuia kasi ya mmomoo wa maadili (Moral Decay) ambao unazidi kumea.
Ni jukumu letu kama wakristo kujaribu kukumbusha waumini juu ya wajibu wao kuvaa mavazi yanayositiri, hili likipuuzwa litafanya makanisa yawe sehemu ya kuongeza ufuska, hapo zamani sheria kama mwanamke asivae nguo za wanaume hususani suruali zilizingatiwa na yeyote aliekiuka aligeuzwa mlangoni, lakini sasa hali imebadilika.
Mfano mimi kwa jumapili iliyopita ya ppasak niliweka mkasa nilipoenda kumpa kampani na kusikiliza neno kanisa flani ambalo lina waumini wengi hata duniani lakini nilichokutana ni mabinti kuvalia suruali, nilishangazwa kuambiwa kinachoangaliwa ni roho, moja wao nilimpiga picha hii hapa.
Hawa wenzetu wachache wa jumamosi naona kwao suala la mavazi hawataki masikhara na kwa hili wamefanikiwa kwa kuendelea kukazia maandiko, hata iwe suruali pana utapigwa stop mlangoni! ishu iliyopo ni makanisa mengine hasa kkkt, katoliki na kwa walokole, hali ni mbaya kiasi kwamba unaona kama vile nayo makanisa yanaenda na mabadiliko ya utandawazi hata kwa mavazi (hapo zamani ukivaa ovyo unafukuzwa)
Huku mitaani tunaweza kuvumiliana lakini yatupasa tujue nyumba yoyote takatifu inabidi mtu asiende kwa namna yoyote ambayo inakera wengine ama kuwatia wengine majaribuni hasa katika mavazi
JE, KAMA MUNGU HAANGALII MAVAZI ANAANGALIA ROHO, HAYA MAVAZI NI SAWA?
PAMOJA TUUNGANE KUZUIA MMONYOKO WA MAADILI
Ni jukumu letu kama wakristo kujaribu kukumbusha waumini juu ya wajibu wao kuvaa mavazi yanayositiri, hili likipuuzwa litafanya makanisa yawe sehemu ya kuongeza ufuska, hapo zamani sheria kama mwanamke asivae nguo za wanaume hususani suruali zilizingatiwa na yeyote aliekiuka aligeuzwa mlangoni, lakini sasa hali imebadilika.
Mfano mimi kwa jumapili iliyopita ya ppasak niliweka mkasa nilipoenda kumpa kampani na kusikiliza neno kanisa flani ambalo lina waumini wengi hata duniani lakini nilichokutana ni mabinti kuvalia suruali, nilishangazwa kuambiwa kinachoangaliwa ni roho, moja wao nilimpiga picha hii hapa.
Hawa wenzetu wachache wa jumamosi naona kwao suala la mavazi hawataki masikhara na kwa hili wamefanikiwa kwa kuendelea kukazia maandiko, hata iwe suruali pana utapigwa stop mlangoni! ishu iliyopo ni makanisa mengine hasa kkkt, katoliki na kwa walokole, hali ni mbaya kiasi kwamba unaona kama vile nayo makanisa yanaenda na mabadiliko ya utandawazi hata kwa mavazi (hapo zamani ukivaa ovyo unafukuzwa)
Huku mitaani tunaweza kuvumiliana lakini yatupasa tujue nyumba yoyote takatifu inabidi mtu asiende kwa namna yoyote ambayo inakera wengine ama kuwatia wengine majaribuni hasa katika mavazi
JE, KAMA MUNGU HAANGALII MAVAZI ANAANGALIA ROHO, HAYA MAVAZI NI SAWA?
PAMOJA TUUNGANE KUZUIA MMONYOKO WA MAADILI