nguvu

  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Sera ya Kutokuwa Upande: Nguvu ya Tanzania Kimataifa

    👉 Wapo baadhi ya wanaharakati uchwara waliokuwa wakitarajia kuona Dkt. Samia Suluhu Hassan akitumia lugha kali dhidi ya Marekani katika mahojiano yake ili kuonyesha upande anaouunga mkono. 👉 Kwa mtazamo wao, walidhani njia bora ya kuimarisha uhusiano na Urusi ni kuikosoa hadharani...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Njoni kina Nchimbi na Mpina muongeze nguvu tumalizie palipobaki

    Waheshimiwa wangu tunaona mapambano yenu mkiwa huko mliko yaani CCM na ACT vyama rafiki hivi kabla ya October 29 Niwaombe jambo Moja hebu njooni unganeni na Heche Kisha tupambane Lissu atoke Wallah kazi itakuwa kwishiney kina Muliro watachoka njooni tuliokoe taifa kwenye mikono ya...
  3. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kukosa au kupungua nguvu za kiume

    Kwa bahati mbaya wanaume wengi wanakosa tiba sahihi za nguvu za kiume kwa kushindwa kutambua dawa anazopata zinatibu tatizo gani la nguvu za kiume. Zifuatazo ni aina ya matatizo ya nguvu za kiume 1. Kukosa uwezo wa kuendelea baada ya bao la kwanza 2. kokojoa kwa haraka 3. uume kulegea wakati wa...
  4. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Siri ya waliofanikiwa ni sababu ya nguvu zitokanazo na walionyuma yao

    Watu wengi wamekua wanatafuta siri ya mafanikio bila kujua mafanikio yao yapo mikononi mwa nani? -Kuna watu wanafanikiwa sababu tu wazazi wao wanafurahi kuona wakifanikiwa -Lakini kuna wengine wanafanikiwa ni kwasababu ya ibada na mungu yupo katika kila jambo lao -Pia kuna wanaofanikiwa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Barua ya Wazi: Kutoka Kwenye Udhibiti wa Kisiasa Hadi Kwenye Ulinzi wa Nguvu Kazi na Mamlaka ya Kidijitali.

    KWA: Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi Wote wa Mataifa ya Afrika. KUHUSU: Vita Mufilisi Dhidi ya Sauti za Wananchi na Kupuuza Bomu Halisi la Kiuchumi na Usalama wa Taifa. Waheshimiwa Viongozi, Nawaandikia waraka huu wa wazi kutoa tahadhari ya kimkakati kuhusu mwelekeo wa sasa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Trump ametufumbua Macho kuhusu nguvu ya Kijeshi ya Marekani

    Kwa matambo ya Trump hakuna mtu angeamini kuwa angepigana vita na Iran kwa kipindi chote hiki na kushindwa kupata ushindi. Hii imeonesha kuwa, Nguvu ya kijeshi ya Marekani sio kubwa kama wanavyo inadi ila inapropaganda nyingi sana kuliko uhalisia. Kwa sasa Trump anahaha kutembelea Ulaya na...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Polepole kuwa akijiweka madarakani kwa nguvu, atatawala kwa shida, naona sasa yanatimia

    Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, hayo ndio yalikuwa maneno ya Polepole kwa Mtawala kuwa akijiweka madarakani kwa njia zusizo za kudemokrasi, ajiandae kutawala kwa shida. Kwa saaa, ukisikiliza mikutano ya hadhara ya CHADEMA, ukisoma post na comments za watu mitandaoni kuhusu huu utawala na...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Rio asilaumiwe sana kuja Tanzania kwa mgongo wa serikali

    Ukifuatilia utagundua ni nadra au haiwezekani wadau na mastaa wa michezo hasa wa mpira wa miguu kujitenga na utawala au watawala wowote wale hata wawe madikteta katili kiasi gani. Sijajua sababu ya jambo hili ni nini ila kwa kiasi kikubwa mpira wa miguu una mafungamano makubwa sana na watawala...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Hopefully wote mko salama. Naombeni majibu tafadhali, Hivi ni kweli kwamba Ngono inapunguza nguvu za kiroho..? Suppose mtu yuko kwenye trend safi ya kiroho, anafunga, anasali, anaomba and everything spiritually anakifatisha to the point kwamba zile karama zake mbali mbali za kiroho anazipokea...
  10. Red black

    JamiiForums Tanzania Hizo Pete hazina nguvu yoyote ni myth tu

  11. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tunajivunia tulivyoumbwa mfano nguvu za mwili au vitu tulivyovikuta kama mito, milima na madini, kwanini hatujisifii vitu tulivyotengeneza ?

    Unajua, sehemu kubwa ya fahari ya jamii yoyote duniani hutokana na vitu walivyovibuni au kuviumba wao wenyewe. Waarabu walitoa mchango mkubwa kwenye mfumo wa namba, wazungu wameunda teknolojia na uvumbuzi usiohesabika, Wachina na Wahindi nao wameacha alama kubwa kupitia kazi na ubunifu wao...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ni vizuri Mama Samia anapoteza nguvu ndani ya CCM

    Pamoja na wote wanasiasa wanajaribu kufuata trend ya wananchi. Kwasasa tred ipo kwenye kudai haki, kupinga sheria mbovu, kupinga utekaji, undugu, u bara na u zanzibari, kupinga rushwa na kutaka haki kwa kila mtu bila kujali chama. Sasa kwa misingi hiyo hata ndani ya CCM kuna wengi hawapendi...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Vin Nkolomboka: Kinywaji Halisi Nguvu ya Simba

    Wazee wa ulabu, mjaribu hichi Kinywaji mtanishukuru baadae...wazee wa maji, Kinywaji kinawahusu hiki.
  14. Ritz

    JamiiForums Tanzania IRGC yaionya Marekani dhidi ya mashambulizi dhidi ya meli zake uvumilivu umefika mwisho. Italipiza kisasi kwa nguvu kubwa.

    Wanaukumbi. TEHRAN, Mei 10 (Xinhua) -- Jeshi la Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) lilionya Jumamosi kwamba "uchokozi" wowote dhidi ya meli za mafuta za Iran na meli za kibiashara utasababisha shambulio kubwa dhidi ya moja ya vituo vya kijeshi vya Marekani...
  15. Red black

    JamiiForums Tanzania Kukata mnyonyoro wa umasikini kwenye familia za kiafrica inahitajika nguvu ya Ziada

    Kukata chain ya umasikini kwenye familia za kiafrica inahitajika nguvu ya Ziada. #first born hakikisheni mnajitahidi kukata chain ya umasikini kwa namna yoyote ile.
  16. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nguvu zitokanazo na kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu(celibacy)

    Natumai mmeshinda salama salimini. Jioni hii ningependa kuwashirikisha mambo kadhaa kuhusu dhana ya celibacy Celibacy ni neno lenye maana ya kutawala tamaa za ngono kwa muda mrefu aidha kwa kufuata utamaduni fulani au utaratibu wa mtu binafsi Zifuatazo ni baadhi ya faida zitokanazo na Celibacy...
  17. Girland

    JamiiForums Tanzania Jinsi Aliko Dangote Alivyofanikiwa Kujenga Dangote Refinery na Nguvu ya Mtandao wa Mabilionea wa Nigeria

    Ujenzi wa Dangote Refinery si tu hadithi ya uwekezaji mkubwa—ni somo la kimkakati kuhusu uthubutu, mtaji, na nguvu ya mahusiano ya kifedha (financial networks). Mradi huu wenye thamani ya takriban dola bilioni 18–20 uligeuka kuwa refinery kubwa zaidi Afrika, lakini nyuma yake kuna simulizi la...
  18. Girland

    JamiiForums Tanzania SIRI-JINSI Aliko Dangote Alivyofanikiwa Kujenga Dangote Refinery na Nguvu ya Mtandao wa Mabilionea wa Nigeria

    Ujenzi wa Dangote Refinery si tu hadithi ya uwekezaji mkubwa—ni somo la kimkakati kuhusu uthubutu, mtaji, na nguvu ya mahusiano ya kifedha (financial networks). Mradi huu wenye thamani ya takriban dola bilioni 18–20 uligeuka kuwa refinery kubwa zaidi Afrika, lakini nyuma yake kuna simulizi la...
  19. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    MODE Naomba tuanzishe jukwaa la Spiritual,tumwage humu mambo ya nguvu za kiroho, spiritual powers,ili wana jf wawe na uwezo wa kutumia nguvu zao za kiroho,kunyoosha mambo yao,ikiwemo kuwa ma milionea,mabilionea na ma multi milionea na multi bilioneo kwa kutumia powers za spiritualism ambazo...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Naisubiri kwa hamu Siku CHADEMA ikiingia Madarakani then CCM wawe wanaikosoa Kwa nguvu zote nione hali itakavyokuwa

    Hamjambo wakuu! 1. Sio mbali wala Siku sip nyingi nchi hii itaongozwa na Upinzani kabla ya 2040. 2. Tuombe uzima. Hapa ninachojaribu kufanya projection hali itakavyokuwa. 3. CCM sasa imegeuka kambi rasmi ya upinzani. Hapa kuna mambo kadhaa yatatokea; a) Viti vya ubunge bungeni kutakuwa na...
Back
Top Bottom