Ndugu zangu, mimi nakabiliana na changamoto kubwa ya maisha yangu, ambayo sijawahi kuhisi kama ipo siku itanifikia. Ni kama nimechanganyikiwa, na ukweli nimechanganyikiwa. Najiona kabisa akili yangu haina uwezo wa kufikiri.
Tatizo langu la kwanza ni umaskini. Sidhani kama nishawahi kuishi...