1. KKKT huwambii kitu, wao wamehaidiwa kuwa Rais awamu ya 7 atakuwa mKKKT, wao hawakemei mauaji, ufisadi wala wizi wa uchaguzi
2. Kanisa langu KKKT hamjawahi kukemea mauaji ya 29 oktoba
3. Kanisa langu KKKT hamjawahi kukemea utekaji na mauaji ya Watanganyika, nyie mnaona sawa?
4. Kanisa langu...