swali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KENZY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina swali kwa wadada, watoto msifungue uzi tafadhari

    Ati ni kweli doggy style huwa inawaumiza..? Shida ni nini haswa kama huwa mnaumia..? Je, tufanye nini kwa usahihi zaidi ili muepuke maumivu kwa wanaoumia..? Itakuwa vyema sana kama kwenye mjadala huu wakitokea madaktari wakatoa muongozo, karibuni waungwana.
  2. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupita sehemu nikaona ngoja nisogeze hili swali

    1:Akili ni nini? 2:Akili inapatikana wapi,ikiwa maana kwamba mtu anazaliwa nayo au anaipata shuleni? 3:Ikiwa anazaliwa nayo,kwanini shuleni akifeli anaambiwa hana akili? Ikiwa anaipata shuleni,kwann mtu humwambia mwanae hana akili angali mwanaebbqdo hajaenda Shuler? 4:Tofauti ya akili na...
  3. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali: Kwanini Wanawake wa Kipare wanajiona wao ndio wana Soko kubwa sana kwenye Mahusiano tofauti na Wanawake wa Kichagga?

    Hilo ni swali mezani wakuu. Nawauliza kutokana na kile ninachokiona kwa macho yangu mawili, why mabinti wa kipare wanajiona kwamba wao ndio wana soko kubwa sana linapokuja suala zima la mahusiano ni kama kwamba wao ndio namba #1 kisha wengine wanafuata, nini sababu? Hii nazungumzia kwa...
  4. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lile swali la "una mpenzi?" limesha pitwa na wakati sasa hivi, sasa hivi unatongozwa ukiiingiamo basi umeingiamo mengine yatafata

    Pesa, tamaa ya ngono Ndio vimekuwa hamasa kuu ya mahusiano kwa sasa. Wake za watu waajiuza. Wamme za watu wamegeuka baba wa watot0 wa watu mtaani ili tu atafune jagina kirahisi😆
  5. M

    JamiiForums Tanzania Lamar Fishcrab auliza swali moja tu Kuhoji ubora wa S2Kizzy Kamtoa msanii gani undergeround?

    Je, producer mkali hapimwi kwa kutengeneza hits za wasanii wakubwa pekee wenye mashabiki na nguvu ya kusambaza kazi zao, bali pia unapimwa kwa uwezo wa kumtoa msanii underground mpaka kuwa star. https://www.youtube.com/watch?v=BQqztrwJQP8
  6. U

    JamiiForums Tanzania Tume ya Jaji Chande imejibu kila swali la Watanzania na kuacha maoni nini chakufanya kwa weledi kabisa

    CCM OYEEE ,Kazi na Utu tunasonga mbele. Watanzania tume ya uchunguzi ya matukio ya octoba 29/2025 ya jaji chande ilishamaliza kazi yake na Ripoti ilishawasilishwa kwa mheshimiwa Rais . Hii tume ni ya watanzania ,na Mambo na uchunguzi umefanywa na wanasheria wetu nguli wakiongozwa na jaji jaji...
  7. R_Breazy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jaribu kuuliza hili swali kwa mchumba/ mke wako

    Habari za majukumu wakuu Leo baada ya kuchoka kutafakari namna gani napata wapi michongo, notification iliingia watsapp kucheki vizuri nikaona picha kadhaa zimetumwa na mtu wangu kafanya hivyo ili nipate picha ya kumpost birthday yake umekaribia(si mnajua watoto wakike wanavyozingatia hata...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Vita nchini Iran vyaibua swali kuhusu usalama wa nishati duniani, na vinu vya upepo mjini Pingtan vimetoa jibu la China

    Kwenye mapumziko ya siku ya Mei Mosi, kwenye fukwe za Pingtan, mji uliopo kusini mashariki mwa China kulijaa watalii wengi. Vinu vikubwa vya upepo vyeupe vimesambaa kando ya ukanda wa pwani wa kilomita 5, mapangaboi yake makubwa yanazunguka polepole katika upepo. Hata hivyo, wakati watalii hao...
  9. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania SWALI TATA: Maiti za mauaji ya 29/10/2025 ambazo Chande na tume yake walizichunguza Muhimbili zilitoka wapi? Walikwenda kuzifukua walikozizika au?

    Moja ya hoja iliyoibuliwa na CHADEMA wakichambua ripoti ya Tume haramu ya Othman Chande na wazee wenzake walioamua kuuza utu wao kwa kuamua kuwa "wazee wa kutunga uongo" ni suala la wao kujigeuza kuwa madaktari wa kuchunguza Maiti Ili kujua chanzo chake CHADEMA wanasema ktk ripoti ya uchambuzi...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna swali tena nani ni kiongozi wa EA

    https://www.youtube.com/live/IDLFO9CCsg0?si=vpjpr7OrL7AdKs52
  11. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande, sawa maandamano yalikiuka sheria. Sasa, jibu swali hili

    You might be sahihi as per my heading, kwa hiyo serikali ilikuwa na uhalali wa kuwaua waandamanaji wasio na silaha? na kuwazika in mass graves?
  12. P

    JamiiForums Tanzania Swali

    Jaman mm n kijana miaka 23 nipo dar nahitimu chuo soon,, ila kama mnavojua ajira zetu sisi son of peasants ni uwinga..naombeni mwongozo ndugu zangu nahitaj niwe winga kariakoo niwe nakaa na mtu dukani yaan nipate riziki vilevile nijifunze biashara kwa vitendo,,, ile ya kwenda dukani na kuomba...
  13. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Majibu ya Sayansi kwa swali maarufu la Atheists. Kwanini hakuna uwezekano kwamba ulimwengu ulikwepogi tu milele. Vita kali dhidi ya Atheists Ep4

    ‎Atheists wengi wanaposikia hoja ya Mungu kama Muumba wa ulimwengu wanajibu haraka kwamba "Ulimwengu ulikuwepo milele hauhitaji muumba." ‎ ‎Jibu hilo linaonekana rahisi. Linaonekana la akili. Linaonekana kama njia nzuri ya kukimbia swali zito. ‎Lakini ni sayansi sio mimi P h a r a o h sayansi...
  14. R

    JamiiForums Tanzania NIULIZE SWALI: Hii vita ya USA, Israel vs Iran, nani mshindi?

    Mbabe ni nani? Naona kama vile Iran anawapelekesha puta hawa magwiji wa kila kitu duniani! WHO IS THE WINNER Echolima1
  15. M

    JamiiForums Tanzania Swali kwa wanaharakati. Masharti anayopewa Iran kama Tanzanian watayakubali?

    Asiwe na silaha Asiwe na nyuklia Asiwe na rafiki Huku wao vyote wakiwa navyo na wanataka waviongeze zaidi.
  16. C

    JamiiForums Tanzania Chatgpt openai wameni-ban kwa kuwauliza swali la kawaida

    nikiukiza ChatGpt: nielekeze namna sahihi ya kufoka na kugomba, nieleze kwakutumia maandishi pia unipe picha inayoonyesha namna sahihi ya kugomba na kufoka, pia unioe picha inayoonyesha namna isiyo sahihi ya kugomba na kufoka image ilikuja ndani ya sekunde chache kisha Chatgpt ikawa inaonyesha...
  17. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania JF wanaanga, Nina swali kidogo

    I'm not much of technologist lakini I'm confused. I can’t claim that the Apollo 17 mission in 1972 was fake, since I have no proof and that would just be an emotional argument. However, I’m curious: if humans were able to land on the Moon with the technology available in the 1970s, why is...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Swali kwa ndugu zenu Waislamu Sawa Yesu hakufa msalabani , Je yule aliyekuwa msalaba badala yake hatima ya mwili wake ilikuwaje? Aliz Alifufuka?

    Wenye elimu kubwa na Wanazuoni naomba majibu
  19. P

    JamiiForums Tanzania Nikisoma kozi fupi ya OSHA itanisaidia kupata kibarua?

    Habarini ndugu zangu mm ni kijana wa miaka 23 nimemaliza chuo hv karibuni ila sina mchongo wowote mtaani sasa nina idea za kusoma short course za OSHA, huenda nikapata hata kijikazi cha kujishikiza hapa mjini. Sasa nauliza, jaman kwa wenye uzoefu hv hizi kozi za OSHA ni kwa walio makazini tu...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Kozi gani fupi inaweza kunifanya ni jiajiri haraka?

    Jaman nauliza kwamba ukiachana na driving hivi ni short course gani inaweza kunilipa na kunifanya niweze kuishi jijini Dar es Salaam vizuri na pia nikaweza hata kuweka akiba ya 300k ndani ya mwezi? NB. Driving sasa hivi ishakuwa miyeyusho vigezo buku kama unaomba tenda ya billions of dollars...
Back
Top Bottom