swali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    JamiiForums Tanzania Swali kwa IGP, nani aliyeruhusu askari polisi kuingia mitaani na silaha za kivita

    Swali la pili. Nani alikupa ruhusa ya kutangaza hali ya hatari. Nchini Tanzania, mtu mwenye mamlaka ya kutangaza hali ya hatari ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mamlaka haya yamefafanuliwa kisheria chini ya Ibara ya 32 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977...
  2. min -me

    JamiiForums Tanzania Hili lilikuwa kama swali kuhusu pisi tano nilizofanikiwa kuona hata picha tu

    Bila unafki na kunyooka kama rula Namba moja nampa Depal Angel Nylon binti kiziwi Mzigua90 Seran
  3. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema muombe radhi Paul Makonda

    Unakumbuka ulikataa kumsalimia Makonda tena msibani? Hukujua kuwa demokrasia ya haki Haina upande? Kama uko sahihi, basi muombe radhi Paul Makonda, mana demokrasia Haina upande?
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwezi Mmoja Bila Kugundulika: Kifo cha Mercy Lavington Chaibua Swali

    Mwili wa Mercy Maina Wachinga, 32, ulipatikana katika nyumba yake eneo la Lavington, Nairobi, ukiwa umeharibika baada ya kukaa ndani kwa takribani mwezi mmoja bila kugundulika. Kwa mujibu wa taarifa za awali, Mercy anadaiwa kujitoa uhai, huku polisi wakipata ujumbe ulioandikwa kwa mkono ambao...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Mahojiano na Tujuze Online TV: Swali Kuhusu BAKWATA

    https://youtu.be/aiKGF_wPISk?si=5kk8dH-yAG6vnAEB Je, ni akina nani waliokuwa nyuma ya harakati za kudai uhuru wa Tanganyika kabla na wakati wa kuanzishwa kwa TANU? 🇹🇿 Kwa nini baadhi ya majina ya viongozi na wanaharakati waliokuwa sehemu muhimu ya harakati hizo hayatajwi kwa uzito unaostahili...
  6. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Hapo VIP! Hili swali huwa sipendi ambao Wachaga wengi wanapenda kuiliza. Eti Wewe ni kabila gani? Hawa jamaa wanamambo ya Kipuuzi sana..nadhani kwasababu wanaukabila sana ndio maana wanapenda sana hili swali.
  7. britanicca

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Swala alionekana anakimbia kama kichaa, tembo akamuuliza "vipi ndugu yangu mbona unakimbia kama una kichaa?" swala akajibu kwamba "mbuzi wote waliopo porini wanakamatwa", Tembo akashangaa na kuuliza lakini wewe sio mbuzi ni swala.? Swala akamwambia kwa mfumo wetu itanichukua miaka 10...
  8. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali imeweka mikakati gani kuwasaidia Watanzania wanaorudi kutoka Afrika Kusini?

    Je, Watanzania wote waliorejea nchini kutoka Afrika Kusini kwa msaada wa Serikali wana makazi ya kudumu? Ikiwa si wote wana makazi ya kudumu, Serikali imeweka mikakati gani ya kuwasaidia kupata makazi pamoja na mahitaji muhimu ya maisha, ili waweze kuanza upya na kujitegemea?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Swali gani la darasani ukiulizwa hata ukiwa umeamka usingizini huwezi kukosa?

    Swali gani la darasani ukilizwa hata ukiwa usingizini huwezi kukosa hata ukiwa mzee?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Swali langu kwenu wazushi, kama kweli yanayozushwa kuwa Tanganyika inageuzwa koloni. kwanini wabara walioko huko kwenye hizo taasisi nzito wametulia ?

    Nimekutana na hizi stories zisizo na facts kwamba nchi itatekwa kiutawala na Zanzibar Yani Tanganyika yenye watu wengi mara 35 ya Zanzibar na ukubwa zaidi ya mara 300 ya Zanzibar itawaliwe na Zanzibar ? mnaota ndoto gani hizo ? Kuna kelele kwamba Wazanzibari wanajazwa JWTZ. Kwa ajili ya...
  11. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Swali lisilotakiwa kuulizwa: Nani alikuwa nyuma ya Emmanuel Nchimbi?

    Na. M. M. Mwanakijiji Ni kweli Emanuel Nchimbi amekuwa kwenye CCM kwa muda mrefu sana. Wengi tunamjua toka akiwa Umoja wa Vijana wa CCM na kwa kweli hakuwa mtu ambaye tulimfikiria hata kwa mbali kuwa anaweza kuwa Makamu wa Rais. Ameweza kupitia sehemu mbalimbali lakini naweza kusema kuwa...
  12. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kuna swali moja matata sana litaulizwa kwa mkuu IGP na CDF ikiwa wataamua kwenda mahakamani. Nani aliamuru vijana wapigwe risasi 0ctober 29?.

    Oya siyo poa tusifike huko.
  13. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Saizi ametoka kuniuliza swali kwamba.....

    Kama akipata bwana mpya na huyo mwanaume akaamua kunipa 500,000 ili nimuache.... je nitakubali?? Nilicho kifanya, nimempa my account number niwekewe hiyo pesa chap....🤗 Au nimekosea wakuu...😎
  14. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Wadada, swali la milioni moja hili hapa!😄

    Kwanini baadhi yenu mkisikia “baby baba akikwambia nitumie Control Number ya ada nimlipie mtoto” mnabadilika ghafla kuwa mbogo? 😂😂 Mtu anakuomba tu Control Number ili alipe ada ya mwanae, lakini majibu yanakuwa: «“Kwa nini unataka Control Number?” na matusi mazito juu! “Hiyo hela nitapanga...
  15. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Ccm washawahi jiuliza swali hili?

    Hawa wana ccm washawahi kufikiria kwamba wizi wa kura na kuchezea uchaguzi kunaweza kuhatarisha usalama wa nchi? Nini kinachowapa ccm kujiamini? Je ni back up ya mchina au ya mnani vile? Anyway .. serikali huanguka kwa uzembe wa watu wachache sana wabinafsi.
  16. bhachu

    JamiiForums Tanzania Swali la msingi: Sheria ni Moja kwa wote?

    Kuna jambo linahitaji mjadala wa wazi, bila ushabiki wa kisiasa wala kumhukumu mtu kabla ya mchakato wa kisheria kukamilika. Wakili Peter Madeleka amekumbana na hatua za polisi katika mazingira yanayohusishwa na masuala yake ya kisheria. Wakati huo huo, mwaka 2023 mfanyabiashara Rostam Aziz...
  17. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Swali kwa mods; nyuzi ni nyingi na comments zinaongezeka, Je siku JF servers zikijaa itakuaje? Ni mwisho wa JamiiForums?

    kwa hii hali ya sasa nyuzi zinavyoanzishwa kwa fujo halafu bila mpangilio na maana yoyote halafu nyuzi zenyewe za hovyo nyingi zikiwa ni za wanafunzi walioko likizo na vijana wanaokaa kwa dada zao hali inayopelekea comments kuwa nyingi pia. hii hali si itapelekea siku moja servers za JF zijae...
  18. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Why me now?... ni swali ambalo anajiuliza Vozinha

    Unamkumbuka Vozinha? Yule golikipa wa timu ya taifa ya Cape Verde aliejizolea umaarufu kwa uwezo wake wa kuokoa hatari langoni katika michuano ya world cup ilyoisha hivi karibuni Baada ya world cup alipata dili la kwenda kucheza timu kubwa ya Colocolo nchini Chile. Hatimaye kipaji chake...
  19. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Juzi nimekaa na rafiki yangu fulani, tunaongea tu mambo ya maisha. Katika maongezi shwaa tukamuongelea mkewe. Nikaona nipitishe swali "kwani mkeo unampendea nini?" Akajibu in like 3 seconds, kwa kusema two very beautiful things anapenda kwa mkewe tena ni vitu kuhusu mkewe as a person, sio kama...
  20. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Kwa kipato cha million 1 Kwa mwezi sina akiba bank Wala kipato cha ziada nawezaje kujenga nyumba ya ndoto yangu ya vyumba 3 yenye kila kitu muhimu....

    🏠 UNA MILIONI 1 KWA MWEZI? UNAWEZA KUJENGA NYUMBA YA NDOTO YAKO NDANI YA MIAKA 2! Mtu mwenye kipato cha TSh 1,000,000 kwa mwezi, hana akiba benki wala kipato cha ziada — anawezaje kujenga nyumba ya vyumba 3 yenye kila kitu ndani ya miaka 2 bila kichwa kutuma? 😂 Jibu ni moja: NIDHAMU + MPANGO +...
Back
Top Bottom