Sina haja ya kuiuliza AI nakuuliza wewe na wewe usiiulize AI. Nipe jibu lako wewe km wewe.
Swali langu ni hili hapa,
Kwanini kuna watu wanawahi kuzeeka na kwanini kuna watu wanachelewa kuzeeka?
Usiniambie suala la chakula, vinywaji na mazoezi, tafadhari sana hayo yote nayajua.
Nipe sababu...
Mtangazaji anaulizwa kuhusu kifungu cha sheria kinachompa mamlaka: "Tunataka watupe tu kifungu kimoja tu ambacho kimekupa mamlaka ya kutoa tamko ulolitoa ukiwa bungeni, kifungu tu yaani ambacho...".
Katambi anajibu kwa kusema kuwa suala hilo litashughulikiwa mahakamani: "Sasa hilo ndio kazi...
Wataalamu watusaidie kuitambua hii Sheria kama ndivyo ilivyo ??
SHERIA YA VYAMA VYA SIASA
(SURA YA 258)
-------------
KANUNI
(Zimetungwa chini ya fungu la 22(b))
KANUNI ZA MAADILI YA VYAMA VYA SIASA ZA
MWAKA 2007
SEHEMU YA KWANZA
UTANGULIZI
1. Kanuni hizi zinaitwa kanuni za Maadili ya Vyama...
Niaje waungwana
Ikitokea mtu ana Mil 5 keshi, lakini anahitaji bajaji mpya. Akienda katika dula linalouza, au kukopesha bajaji Dar na mdhamini wake. Kisha awambie kuwa ana Mil 5, anaomba bajaji ya mkopo akaanzie kazi, halaf zitazobaki watalipana kwa mkataba wa malipo ya kila siku, hata ikibidi...
Nimefanya kazi ila sio jambo la kuweka wazi.
Maana kuna mambo yanaweza na yaliweza kufanyika mpaka ugaidi wa kulipua ubalozi wa USA ni wazi TISS ilishakifuga pale.
Kenya walijiongeza na wakajisahau ila tokea lile tukio la mwisho wakajua hii idara sio siasa.
Mpenda nchi anaweza kusema ukweli...
Kama Mungu anajua kila kitu tangu mwanzo mpaka mwisho (anajua nani ataenda mbinguni/peponi na nani ataenda motoni kabla hata hawajazaliwa), je, kweli binadamu ana uhuru kamili wa kuchagua? Kama Mungu alishajua nitatenda dhambi fulani kesho na siwezi kubadilisha kile Mungu anachokijua tayari...
Nimekaa hapa nikiwaza baada ya siku kwenda ndivyo sivyo!
Soon naelekea kwenye utu uzima mkamilifu, nika waza siku mtoto wangu akiwa mtu mzima wa kujitegemea akisha kuwa na maisha na familia yake , hivi kwenye contact nita m save kwa jina gani .
Jina lake la kuzaliwa , ama title yake kwangu...
MwanaJF maarufu ambaye pia ni mwanahabari na mwanasheria nguli, ndugu Pascal Mayalla ameonekana akilalamika hadharani kwamba kuna siku alimuuliza marehemu Magufuli swali gumu, akaishia kufungiwa leseni yake ya uanahabari pamoja kufurushwa kwenye ofisi aliyokuwa alifanyia kazi.
Mwanahabari huyo...
Nimeota namuuliza swali Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwamba Kama misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?
Nyerere akashindwa kujibu, akalia sana akaanza kusema yeye kama mjenga misingi alifanya makosa makubwa sana kuiacha CCM kwenye genge la wahuni, na kuwanyima wananchi katiba inayohost...
Anadai sababu kubwa ya yeye kurudi CHADEMA ni kwa sababu mauaji yalifanyika tar 29 mwezi wa kumi mwaka 2025.
Je, kama CCM ingempitisha kuwa mgombea wao wa ubunge na kisha akawa mbunge angejiuzulu au angekataa kuapishwa kuwa Mbunge?
Wajinga ndio...
You were one of my favorite politician by whatever yard stick measure.
Je ungelikuwa umepewa nafasi za ULAJI CCM, je ungelitoka CCM kwa sababu ya kukelwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu za CCM?
NAOMBA jibu
Mchungaji Peter Msigwa
Soma pia
Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29...
Ati ni kweli doggy style huwa inawaumiza..?
Shida ni nini haswa kama huwa mnaumia..?
Je, tufanye nini kwa usahihi zaidi ili muepuke maumivu kwa wanaoumia..?
Itakuwa vyema sana kama kwenye mjadala huu wakitokea madaktari wakatoa muongozo, karibuni waungwana.
1:Akili ni nini?
2:Akili inapatikana wapi,ikiwa maana kwamba mtu anazaliwa nayo au anaipata shuleni?
3:Ikiwa anazaliwa nayo,kwanini shuleni akifeli anaambiwa hana akili?
Ikiwa anaipata shuleni,kwann mtu humwambia mwanae hana akili angali mwanaebbqdo hajaenda Shuler?
4:Tofauti ya akili na...
Hilo ni swali mezani wakuu.
Nawauliza kutokana na kile ninachokiona kwa macho yangu mawili, why mabinti wa kipare wanajiona kwamba wao ndio wana soko kubwa sana linapokuja suala zima la mahusiano ni kama kwamba wao ndio namba #1 kisha wengine wanafuata, nini sababu?
Hii nazungumzia kwa...
Pesa, tamaa ya ngono
Ndio vimekuwa hamasa kuu ya mahusiano kwa sasa.
Wake za watu waajiuza.
Wamme za watu wamegeuka baba wa watot0 wa watu mtaani ili tu atafune jagina kirahisi😆
Je, producer mkali hapimwi kwa kutengeneza hits za wasanii wakubwa pekee wenye mashabiki na nguvu ya kusambaza kazi zao, bali pia unapimwa kwa uwezo wa kumtoa msanii underground mpaka kuwa star.
https://www.youtube.com/watch?v=BQqztrwJQP8
CCM OYEEE ,Kazi na Utu tunasonga mbele.
Watanzania tume ya uchunguzi ya matukio ya octoba 29/2025 ya jaji chande ilishamaliza kazi yake na Ripoti ilishawasilishwa kwa mheshimiwa Rais .
Hii tume ni ya watanzania ,na Mambo na uchunguzi umefanywa na wanasheria wetu nguli wakiongozwa na jaji jaji...
Habari za majukumu wakuu
Leo baada ya kuchoka kutafakari namna gani napata wapi michongo, notification iliingia watsapp kucheki vizuri nikaona picha kadhaa zimetumwa na mtu wangu kafanya hivyo ili nipate picha ya kumpost birthday yake umekaribia(si mnajua watoto wakike wanavyozingatia hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.