taharuki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Siasa za Taharuki: Tuchague Amani au Migogoro?

    Ndugu zangu Watanzania Wazalendo kuna wakati tunapaswa kusema ukweli kuhusu mwenendo wa baadhi ya siasa zinazofanywa na Ufipa kwa sababu Taifa letu lina thamani kubwa kuliko maslahi ya kisiasa ya watu wachache. Tanzania imejengwa katika msingi wa amani mshikamano utu na kuheshimiana HII NI...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kuna taharuki inatengenezwa Dar? Kuna magari ya Polisi yanazunguka mitaani

    Mitaa ya DSM na viunga vyake leo tangu asubuhi imekuwa tofauti na siku zote Kuna magari mengi ya police yanayozunguka mitaani yakiwa yamesheheni maaskari wenye silaha na vitendea kazi vingine. Mikao na mienendo yao ni kama wamejiandaa kwa lolote like nimepita Kawe, mwenge kinondoni Ilala na...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Nyoka aliyekuwa anafugwa auawa baada ya kuleta taharuki Mavimba

    wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana na wananchi wa kata hiyo, wamefanikiwa kumuua nyoka aliyekuwa akifugwa ambaye alisababisha taharuki kwa wakazi wa eneo la Mavimba, njia panda ya mnadani na wananchi wengine...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Trafficking Allegations Zawaka Moto! Wakenya 9 Washikiliwa Tanzania Bila Charges “Sea Mfalme” Yazua Taharuki

    Wadau, kuna hii story imeanza kuwasha moto Wakenya tisa ambao ni seafarers wamekwama kule Kilwa, Tanzania tangu March 30, 2026 baada ya meli yao FV Sea Mfalme kushikiliwa kwa allegations za human trafficking. According to reports, hii vessel ilitoka Mombasa March 14 ikiwa na watu 61 onboard...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Tanga: Watu watano mbaroni kwa kuzua taharuki kuibiwa Nyeti

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kumshambulia na kumjeruhi mtu pamoja na kuzua taharuki katika jamii kufuatia matukio mawili tofauti yaliyotokea katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Akizungumzia matukio hayo, Jeshi la Polisi lilieleza kuwa tukio la kwanza...
  6. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Mtu anayedaiwa akigusa nyeti zako zinapotea azua taharuki Tunduma

    Kutokea Tunduma, hofu imetawala miongoni mwa Wananchi kufuatia taarifa za mtu anayedaiwa kuwa akimgusa mtu, husababisha kupotea kwa sehemu za siri. Mganga mfawidhi wa Kituo cha Afya Tunduma amethibitisha kupokea watu wawili waliokwenda hospitali wakidai kupoteza sehemu zao za siri.
  7. zachariano alexido

    JamiiForums Tanzania Leo ijumaa SAA SITA mchana mitaa ya AMANI KILIMAHEWA BONDENI chini ya msikiti, vibaka wamemtolea mtu VISU nakuchukua hela na kuondoka

    Kwa macho yangu Leo ijumaa SAA SITA mchana mitaa ya AMANI KILIMAHEWA BONDENI chini ya msikiti, vibaka wamemtolea mtu VISU nakuchukua hela na kuondoka. Nina muomba kiongozi mwenye dhamana ya USALAMA ZANZIBAR awajibike ziende fenda za polisi kukamata wale vijana WOTE wenye tattoo na wanao vuta...
  8. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli juu ya hili au anataka kuzua taharuki

  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Askofu Mwamakula: Kuna Miili iliyoharibika zaidi ya 20, ilifukiwa eneo la MSAE, KIBAHA. Miili ilikuwa kwenye Viroba

    Hii Miili kwa Mujibu wa Mtoa taarifa, ilikua inatoa harufu Kali sanaaaa , maana yake Kama imefukiwa na Serikali, ni kwamba sehemu ilipokua miili hiii, Serikali haikua na uwezo wa kuihifadhi , Je Serikali inakoswa uwezo wa kuhifadhi miili ??? TAHARUKI YAZUKA BAADA YA MIILI MINGI ILIYOHARIBIKA...
  10. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli wowote hapa au anataka kuzua taharuki

  11. M

    JamiiForums Tanzania Taharuki yaibuka Bunda mkoani Mara, wananchi waambiwa wapishe upanuzi wa eneo la hifadhi, uvuvi wasitishwa, risasi zafyatuliwa

  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Taharuki yaibuka tena Nyatwali-Bunda baada ya uvuvi kusitishwa, risasi zapigwa

    Taharuki yaibuka tena Nyatwali-Bunda baada ya uvuvi kusitishwa, risasi zapigwa, wananchi waeleza kilichotokea.
  13. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Kwanini mpaka sasa Msigwa na TCRA hawajadhibiti habari za Wakatoliki feki kwa kigezo cha 'kubalance' na 'Kuzua Taharuki' Wala Polisi kuzuia maandamano

    Kuna wakati Gerson Msigwa alikuwa mstari wa mbele kuwasema waandishi wa habari kujikita katika kuleta habari zenye uhakika na zenye kuzingatia balance na uhakiki, na zisizo zua taharuki kwa jamii, Watanzania wazalendo tunashangaa si tu kwa press hizi za Wanaojiita wakatoliki ambao si tu kwamba...
  14. M

    JamiiForums Tanzania TAHARUKI!! Vijana washusha bendera ya CCM na kupandisha bendera ya Tanganyika

    Kuna picha zinasambaa huko social media zikionyesha vijana wakiwa wamepandisha bendera ya Tanganyika. Nafanyia utafiti kuhusu uhakika wa picha hii. Kama tumeanza kufikia hapa, hii itakuwa ni matokeo ya kuua upinzani sasa CCM itakutana na "Resistance" upinzani ambao haijawahi ona. Kitendo hiki...
  15. Msanii

    JamiiForums Tanzania Taharuki: Mtanzania diaspora atekwa nyara Kilimanjaro

    Anaandika Liberatus Mwang'ombe Mpaka uzi huu unapanda hewani, jeshi la utekaji la polisi hawajatoa kauli yeyote UPDATE Mdogo wake Thadei Kweka aitwaye JB Kweka, kupitia Club House amethibitisha kutekwa kwake. Ameeleza zaidi kuwa polisi wamekiri kumkamata. Tukio la kukamatwa kwake limejiri...
  16. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Jichimbie huko dongobeshi hutuba zako zaleta taharuki. Bila kauli yako nchi yaongozwa heheee

    Mwaona! Nchi yaenda kama dege lisilo na rubani. Heheheee! Kama mazuri na bado sijacheka. Hutuba zako hakuna wakusikiliza na walahi Kila ukijitokeza utazua taharuki. Mayii! Watu hawakupendi na wajua hilo. Siku hizi wewe ndio wataka picha na wasaidizi wako ili upate trending hehehe na zote zabuma...
  17. bahati93

    JamiiForums Tanzania Taharuki dira yageuka dera

    Ndani ya jahazi la kusadikika, Lenye uelekeo usiojulikana Wadada kwa wakaka, wamebaki na bumbuwazi. Nahodha wa chombo hayupo wazi Ile dira iliyokuwa mezani Imeponyoka katoa matanga Kashona dera Abiria kwa mabaharia, Wamebaki wanalia Hichi ndicho kisa cha dira kugeuka dera, kama hujaelewa...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Mnaolalamika mwezi mzima maji hayatoki msizue taharuki mitandaoni, tuendelee kulinda amani, amani ni bora kuliko maji

    Hivi ndivyo wapumbavu na watu wachache wapumbavu wanataka watu waishi, hakuna uwajibikaji Utawasikia wapumbavu "Halafu kulalamika lalamika maji ni kampeni za kuichonganisha serikali "sikivu" na wananchi wake. Tuwakatae hawa wachonganishi hatutaki uvunjifu wa amani sisi hatujazoea" Sasa...
  19. and 998 others

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 D9 imeleta taharuki ya Mafuta, usafiri, vyakula & Condoms

    Watu wameingia kwenye taharuki kufuatia kinachoitwa D9 ambacho ni maandamano yaliyopangwa kufanyika usafiri wa umma, vituo vya mafuta, upatikanaji wa Kondomu na vyakula vikavu. CHADEMA ndio wanapaswa kulaumiwa!
  20. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Dharau za viongozi wa CCM zimelifikisha taifa pabaya. Leo hii watu wanaishi kwa taharuki

    Nimeshangaa sana. Nimekutana na dada mmoja akaniambia kuwa ana ndugu zake wapo Dar wamefunga biashara sababu ya hofu ya D9. Oktoba 29 viongozi wote wa CCM kuanzia ngazi ya taifa mpaka mabalozi wa nyumba kumi hawakutarajia kilichotokea. Hii yote ni sababu ya dharau na mazoe kuwa watanzania...
Back
Top Bottom