elon musk

Elon Reeve Musk ( EE-lon; born June 28, 1971) is a business magnate, industrial designer, and engineer. He is the founder, CEO, CTO, and chief designer of SpaceX; early stage investor, CEO, and product architect of Tesla, Inc.; founder of The Boring Company; and co-founder of Neuralink and OpenAI. A centibillionaire, Musk is one of the richest people in the world.
Musk was born to a Canadian mother and South African father and raised in Pretoria, South Africa. He briefly attended the University of Pretoria before moving to Canada aged 17 to attend Queen's University. He transferred to the University of Pennsylvania two years later, where he received bachelor's degrees in economics and physics. He moved to California in 1995 to attend Stanford University but decided instead to pursue a business career, co-founding the web software company Zip2 with his brother Kimbal. The startup was acquired by Compaq for $307 million in 1999. Musk co-founded online bank X.com that same year, which merged with Confinity in 2000 to form the company PayPal and was bought by eBay in 2002 for $1.5 billion.
In 2002, Musk founded SpaceX, an aerospace manufacturer and space transport services company, of which he is CEO, CTO, and lead designer. In 2004, he joined electric vehicle manufacturer Tesla Motors, Inc. (now Tesla, Inc.) as chairman and product architect, becoming its CEO in 2008. In 2006, he helped create SolarCity, a solar energy services company that was later acquired by Tesla and became Tesla Energy. In 2015, he co-founded OpenAI, a nonprofit research company that promotes friendly artificial intelligence. In 2016, he co-founded Neuralink, a neurotechnology company focused on developing brain–computer interfaces, and founded The Boring Company, a tunnel construction company. Musk has proposed the Hyperloop, a high-speed vactrain transportation system.
Musk has been the subject of criticism due to unorthodox or unscientific stances and highly publicized controversies. In 2018, he was sued for defamation by a diver who advised in the Tham Luang cave rescue; a California jury ruled in favor of Musk. In the same year, he was sued by the US Securities and Exchange Commission (SEC) for falsely tweeting that he had secured funding for a private takeover of Tesla. He settled with the SEC, temporarily stepping down from his chairmanship and accepting limitations on his Twitter usage. Musk has spread misinformation about the COVID-19 pandemic and has received criticism from experts for his other views on such matters as artificial intelligence and public transport.

View More On Wikipedia.org
  1. bless on

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: Vituo vya Data Angani na Mwezini

    Elon Musk anasema SpaceX inaweza siku moja kujenga vituo vya data angani, na hata kwenye Mwezi. Wazo hili linasikika kama hadithi za kisayansi (science fiction), lakini mantiki yake ni rahisi. Vituo vya data duniani vinahitaji kiasi kikubwa cha umeme, mfumo wa kupoza (cooling), ardhi, na...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ziara ya rais Trump pamoja kundi lake na hapo hapo Elon musk na mtoto wake.

    Ukifika malekani ukisikia neno mfia nchi au mzalendo basi ni jambo rahisi kuona kila nyumba ikiwa na bendera ya marekani. Nchi zenye kupenda watu wake zinaangalia utaifa na watu wake.Sio huku tanzania Amani labda za wanyama ambao hawa wezi kuuliza. Kuna mda unaweza kusema sisi ambao raia...
  3. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Nimefarijika Kumbe Elon Musk hana utajiri wa kutisha kama tunavyodhani

    Nilikuwa(ga) naumia, kumchukia na kumuonea wivu bure Elon Musk eti tajiri namba moja duniani. Kumbe hela ambayo anayo mkononi cash ni ya kawaida tu hata haipiti billion 2 USD. Kumbe utajiri wake unathaminishwa na stocks. The vast majority of his fortune is illiquid, tied up in stock and...
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ilikuaje Trump na Elon Musk matapeli wakubwa zaidi kuwahi kutokea katika siasa za Marekani kuaminiwa na raia wengi?!

    Hawa watu wawili sijui waliwezaje kuwadanganya na kuwalagahi mamilioni ya Wamarekani kuweza kuwaamini! Ahadi zote kubwa kubwa Trump alizowaahidi Wamarekani hadi wakamchagua kwa kishindo hajatekeleza hata moja na zaidi sana ameenda kinyume chake na hakuna maelezo yoyote anayowapa Wamarekani...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Elon Musk ametangaza kua Tesla watasitisha uzalishaji wa Model S na Model X kuanzia Q2 ya 2026!

    Tajiri Elon Musk ametangaza kua kampuni ya Tesla itasitisha uzalishaji wa magari yake Model X na Model S. Tajiri kasema factory zilizokua zinazalisha ayo magari zitafocus kwenye marobot yake ya Optimus.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Malaysia na Indonesia zazuia Grok ya Elon Musk kwa sababu ya kuhariri picha za watu kutumika katika maudhui ya kingono

    Malaysia na Indonesia zimezuia matumizi ya Grok, roboti ya akili bandia (AI) inayomilikiwa na Elon Musk kupitia mtandao wa X, baada ya kubainika kuwa inatumiwa kutengeneza deepfake za kingono. Grok huruhusu watumiaji kuunda na kuhariri picha, lakini kwa hivi karibuni imekuwa ikitumika...
  7. Pakome

    JamiiForums Tanzania Kwenu TRA, StarLink ina kodi tamu, wahini mshiko haraka, Elon Musk analipa kodi nzuri tena kwa wakati na analipa in USD

    TRA msipitwe na gari la mshahara TRA kataeni siasa chukueni Pesa TRA mleteni mjomba StarLink msipoteze muda kwenye pesa Nchi zilizochelewa kuipokea zimegundua kuwa zilijikosesha mamilioni ya USD kwasababu Elon Musk analipa kodi kwa wakati na jambo kubwa zaidi hana longo longo kipengele mje...
  8. Pakome

    JamiiForums Tanzania Inaonekana kama Elon Musk anapenda Nudity, Twitter akaita X, Wikipedia akapendekeza Dickpedia, Grok kupata kashfa ya kuvua Wanawake nguo

    Binafsi sijajua ni kipi kilichopo kwenye akili ya Elon Musk, pengine ana uraibu wa ngono kwasababu matukio yake ya kashfa za ngono yanafuatana Baada ya kununua Twitter akabadilisha jina na kuitwa X lakini pia akaruhusu maudhui ya ngono hata za ulawiti X ni alama ya utambulisho wa ponografia kwa...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: Hongera Rais Trump. Huu ni ujumbe kwa madikteta wote duniani

    Congratulations, President Trump! This is a win for the world and a clear message to evil dictators everywhere.
  10. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Elon Musk aelezea kwa nini nchi za Dunia ya 3 zinazaliana kwa wingi

    Udini mwingi + Elimu Duni + Umaskini (Kipato kidogo )= Uzaliana kwa wingi Udini kidogo + Elimu Nzuri + Utajiri (Kipato kikubwa)= Uzaliana kwa uchache https://www.instagram.com/reel/DRLsnfKAk0Z/?igsh=MTR1MXlqaGMyaWFnag==
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Musk amtolea povu waziri wa uchukuzi US kufuatia mpango wa serikali ya Trump kui-DOGE na kuindoa NASA kuwa shirika huru

    Elon Musk amewatolea povu waziri wa uchukuzi wa Marekani Sean Duffy na serikali ya Trump kufuatia mpango kutaka kuiweka NASA chini ya waziri wa uchukuzi au kama mojawapo ya wizara tofauti na ilivyo sasa kama shirika huru linalojitegemea. Waziri huyo wa uchukuzi amesema pia SpaceX inafanya kazi...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Elon Musk awa mtu wa kwanza duniani kufikisha utajiri wa dola bilioni 500, yuko nusu ya kuwa Trilionea wa kwanza

    Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla, Elon Musk, ameweka rekodi ya kihistoria Oktoba 1, 2025 baada ya kufikia utajiri wa karibu $500 bilioni, sawa na takribani Shilingi za Kitanzania Kadrilioni 1.2 (zaidi ya Trilioni 1000), na hivyo kuwa mtu wa kwanza duniani kufanikisha hatua hiyo Kwa mujibu wa...
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Argentina, Taifa pendwa la Elon Musk na Trump America Kusini lazidi kuzama kwenye mdororo wa uchumi, Trump apanga kulipa billion 20$

    Uchumi wa Argentina umezidi kufanya vibaya chini ya utawala wa Rais Javier na kuwa katika hatihati ya kuanguka kutokana na utawala mbovu wa Rais huyo hali inayopelekea Marekani kuandaa kitita cha dola billion 20 kuukomboa. Javier ni swahiba mkubwa wa Trump na mtindo wao wa uongozi na siasa...
  14. X

    JamiiForums Tanzania Larry Ellison mwanzilishi wa Oracle kwa sasa ndiye mtu tajiri zaidi duniani akifuatiwa na Elon Musk

    Larry Ellison mwanzilishi wa kampuni ya Oracle amempita Elon Musk na kuwa mtu tajiri zaidi duniani. Leo amevuna kibunda chenye thamani ya $107 bilioni, baada ya hisa za Oracle kuongezeka kwa 43% na kupelekea kuwa na utajiri wa $393 bilioni na nyuma yake ni Musk mwenye $385 bilioni. Oracle ni...
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Elon Musk na matarajio ya kusaidia vipofu kuona kuanzia mwaka 2026

    Hii ni kupitia teknolojia yake ya NEURALINK.
  16. Yoda

    JamiiForums Tanzania Elon Musk awa kinara wa kura za maoni za mtu aneyechukiwa zaidi Marekani

    According to Gallup's latest poll, several current and former Trump administration officials have also seen plunging favorability ratings, including secretary of state Marco Rubio, and president Trump himself, setting the stage for a whirlwind midterm election next year. Trump has since tried...
  17. nodetz

    JamiiForums Tanzania Je, Elon Musk ananufaika na nini anapo simamia mipango ya kumhamisha binadamu kwenda kuishi sayari nyingine

    Nimekua nikisikia mipango ya NASA na mtu kama bilionea Elon Musk kuwa na mpango wa kuwapereka binadamu katika sayari ya mars. Sina shaka na hili maana binadamu ameweza kufanya mambo makubwa mno kwa kutumia teknolojia. Lakini swali linalokuja kichwani mwangu nikua je? Jambo hilo ni muhimu kiasi...
  18. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Elon Musk Aishabikia urusi katika ugomvi na Marekani.

    Bilonea namba moja duniani na raia wa marekani mzaliwa wa afrika elon musk ameonekana katika kuishabikia russia katika majibizano yanayoendelea huko mtandaoni kwake wa x zaman ukijulikana kama twitter.
  19. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Trump: Elon Musk ametoka nje ya reli Trump: Elon Musk ametoka nje ya reli

    Rais wa Marekani Donald Trump amemkosoa vikali mshirika wake wa zamani Elon Musk kwa kuzindua chama kipya cha kisiasa, hatua ambayo inayozidisha mvutano kati yake na bilionea huyo. Trump amemtaja bilionea huyo na mfanyabiashara wa makampuni ya SpaceX na Tesla kuwa ni mtu aliyetoka kwenye reli...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Musk aanzisha chama cha America Party 'kuwarudishia watu uhuru wao' baada ya kufufua uhasama mkali na Trump

    Musk, tajiri namba moja duniani na mfadhili mkubwa wa kisiasa wa Trump katika uchaguzi wa 2024, avunja uhusiano na Rais na kuanzisha chama cha kisiasa kipya Elon Musk, mtu tajiri zaidi duniani na aliyekuwa mfadhili mkuu wa Donald Trump katika uchaguzi wa 2024, amevunja uhusiano na Rais huyo...
Back
Top Bottom