mambo muhimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unauza spare za pikipiki au magari lakini biashara yako bado haikui kama ulivyotarajia?

    Huenda tatizo siyo bidhaa zako—bali kuna mambo muhimu unayoyapuuzia katika uendeshaji wa biashara yako. Biashara ya spare parts ni biashara yenye fursa kubwa, kwa sababu pikipiki na magari huhitaji matengenezo na kubadilisha vipuri mara kwa mara. Lakini ili uweze kupata wateja wengi na kukuza...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Mkutano huu na waandishi wa habari ulifanyika mara baada ya viongozi wa TEC kukutana na kufanya mazungumzo na Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma. Lengo la Kukutana na Rais: Padre Dkt. Charles Kitima alibainisha kuwa mkutano huo ulitokana na ombi la maaskofu wenyewe...
  3. Karim Mussa

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu unayotakiwa kuonesha kwenye madai ya Talaka

    1. Kwamba kulikuwa na Ndoa halali 2. Kwamba, kuna mgogoro kati yenu wanandoa na jitihada za kusuluhisha zimefanywa lakini imeshindikana. 3. Orodha ya watoto wa ndoa na umri wao. 4. Orodha ya mali zenu wanandoa mlizochuma pamoja wakati wa ndoa yenu. Kgm Attorneys Chamber ☎️ 0755 395572 / 0761...
  4. youngkato

    JamiiForums Tanzania Je, unafikiria kuanzisha biashara ya kukodisha ukumbi? Kabla hujawekeza mamilioni ya fedha, kuna mambo muhimu unapaswa kuyafahamu ili kuongeza nafasi

    Biashara ya kukodisha ukumbi ni moja ya fursa zenye uwezo mkubwa wa kuleta faida endapo itaendeshwa kwa mipango sahihi. Mahitaji ya kumbi kwa ajili ya harusi, semina, mikutano, sherehe za kuzaliwa na matukio mbalimbali yanaendelea kuongezeka. Hata hivyo, mafanikio ya biashara hii yanategemea...
  5. Mama Edina

    JamiiForums Tanzania Kwa Hali iliyopo nchini jambo hili hakuna hudi lifanyike. Kuna mambo muhimu ya kufanya kutoka kizazi hiki

    Kuna wimbi kubwa mno la vijana wanakimbilia kuendeshea bodaboda, kuna kundi kubwa zaidi linakuja naomba nishauri jambo Moja tu Kila shule ya sekondari yaanzishwe masomo ya kivitendo ili kuwasaidia watoto wakimaliza form four na form six au hata chuo waendee kwenye fani husika. Ujenzi(ujenzi...
  6. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mambo Muhimu ya Kuzingatia Unapoanzisha Biashara ya Miamala ya Simu na Huduma Ndogo za Kibenki

    Biashara ya huduma za miamala ya simu na huduma ndogo za kibenki ni miongoni mwa biashara zinazohitajika kila siku. Watu wanahitaji kutuma na kutoa pesa, kuweka fedha, kulipa bili, kununua vifurushi na kufanya malipo mbalimbali. Hata hivyo, mafanikio ya biashara hii yanahitaji maandalizi mazuri...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu kwako mwanamke, Elimu +kazi kisha familia(Mume mwenye akili za Tibeli)

    MAMBO MUHIMU KWAKO MWANAMKE; ELIMU +KAZI KISHA FAMILIA(MUME MWENYE AKILI ZA TIBELI) Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Baada ya afya bora. Kinachofuata kwenye maisha yako kwa umuhimu na lazima ukizingatie ni Elimu. Lazima uwe na Elimu. Usikubali kuishi kama mbuzi. Kula kulala. 1. Tafuta...
  8. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia unapotumia dawa za magonjwa ya mfumo wa mkojo na sehemu za uzazi kama UTI, kisonono (gonorrhea) na kaswende (syphil

    . Epuka kufanya ngono hadi matibabu yakamilike na daktari athibitishe kuwa ni salama, ili kuzuia kuambukiza wengine au kuambukizwa tena. Hii watu wengi hupuuzia lakini imekuwa ikifanya watu wengi kutokupona kabisa maana unapokuwa unatumia dawa hata wale bakteria walinzi wanakuwa wanazidiwa na...
  9. tpaul

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mambo muhimu ambayo Tume ya Uchunguzi ya Jaji Chande imeyapuuza

    Wakuu naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Yafuatayo ni mambo nyeti ambayo tume ya uchunguzi wa mauaji ya MO29 imeyaepuka kwa sababu ambazo wanazijua wao wenyewe: 1. Chanzo cha machafuko Tume haijataja chanzo cha tatizo ni nini kwa kuwa kinagusa mamlaka moja kwa moja...
  10. Qs Cathbert

    JamiiForums Tanzania 2026! Mambo muhimu ya kuzingatia kiuchumi kabla ya kuanza ujenzi

    Watu wengi tunafail ku accomplish ndoto zetu za kujenga au tunajenga na kushindwa kumaliza kwasababu tu ya kukosa plan nzuri ya gharama katika ujenzi Stratergical way ya ku-win financial problem katika ujenzi ni kuwa na MATERIAL SCHEDULE ya jengo linalo jengwa,,, Material schedule ni document...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 muhimu ya kuzungumza kabla ya ndoa ili kuepuka maumivu baadae

    Kabla ya Ndoa, haya ni mambo muhimu sana mnayopaswa kuyazungumza ili kuepuka maumivu na kuvunjika moyo baadaye: 1. Fedha - Tutazisimamiaje? Pamoja au kila mmoja kivyake? Nani ataweka akiba, nani atatumia, na tufanye nini mambo yakibana? 2. Watoto - Je, tunataka watoto? Wangapi? Na ni maadili...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwaheri Windows 10, The end is 14 October 2025, haya ndio mambo muhimu unayopaswa kuyajua na hatua za kuchukua

    A. Hakutakuwa na updates za Usalama (Security updates) – Virusi vipya na mbinu mpya za mashambulizi zitaweza kupenya kwenye mfumo wa Windows 10, ingawa antivirus kama windows defender itaendelea kupokea updates, Windows 10 kama mfumo endeshi haitaendelea kupokea updates rasmi zinazoweka viraka...
  13. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu 2 ya kuzingatia katika ulimwengu huu wa watu kupenda fedha kuliko kumpenda Mungu

    Kwanini nimeandika Uzi huu? Kuna Uzi mmoja nimeusoma humu na kuna jambo moja wiki iliyopita lilitokea. Jamaa mmoja tulionana kujadili issue fulani ya kibiashara (dili). Jamaa anaona kama namtupa kwenye game akataka kujua kikwazo nini. Nilimweleza jambo la kawaida tu ila jamaa akawa serious...
  14. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

    1 . Mpe nafasi ya kucheat .as long atatumia protection n arudi kwa nyumba. Kwa maana ukishindana n mwanaume utachoka 2.Mheshimu. 3.mpe yote kitandani 4.usimufokee 5.usiwe mropokaji 6.mpikie chakula kitamu 7. Uwe msafi 8. Usiwahi shika simu yake. 9.heshimu wazazi wake. 10. Be a...
  15. VictoriaGreenHerbal

    JamiiForums Tanzania Mambo Muhimu ya Kuzingatia Unapoamka Asubuhi ili Kulinda Afya Yako

    Kila siku mpya ni kama nafasi ya pili ya kuandika maisha yako upya. Lakini swali ni, unapoamka asubuhi, je, unaanza siku yako kwa namna inayoilinda afya yako au unaiacha ianze kwa mazoea ya bahati nasibu? Ukweli ni kwamba jinsi unavyotumia dakika zako za kwanza baada ya kuamka, huamua kasi na...
  16. funaku

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mambo muhimu ya kumdai Rais Samia kwa mwaka 2025-2030

    Hii ni thread muhimu ya Mambo muhimu ya kumdai mgombea Urais kupitia CCM tunapoelekea kufanya uchaguzi oktoba 29. Katika thread hii tuweke bila aibu ni mambo gani muhimu anatakiwa atimize iwapo atachaguliwa kushika kiti adhimu cha Urais mwaka 2025 hadi 2030. Ni wazi na bila shaka watanzania...
  17. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Video: Mambo muhimu aliyofanya Hayati Benjamin Mkapa kuimarisha Demokrasia nchini

    Benjamin William Mkapa akiwa Rais wa Tanzania, aliweka mkazo katika mambo sita (6), yafuatayo; ‬ ‪1. Lengo la demokrasia ni kurejesha nguvu na madaraka kwa wananchi kutoka katika mikono ya watawala.. ‬ ‪2. Demokrasia ya uwakilishi inatakiwa kutupatia viongozi wanaoamua kwa niaba yetu na...
  18. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Somo la 2: Mambo muhimu ya kuzingatia kabla hujawekeza

    🌀 Kumbuka: Katika somo letu la kwanza, tulijifunza kwa ujumla nini maana ya uwekezaji na kwa nini ni muhimu kwa kila mmoja wetu kuanza safari hiyo mapema iwezekanavyo. 📍 Leo, tunazama ndani zaidi kwa kuangalia mambo ya msingi unayopaswa kuyazingatia kabla hujawekeza hata shilingi moja. Hii...
  19. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Hii Nchi Watu Wanafuatilia Umbea Kuliko Mambo Muhimu Ya Nchi

    My Country People ni wajinga sana, Post mitandaoni zenye engagement kubwa au kufuatiliwa zaidi ni zile za umbea, sijui Ex wa Mobeto kafanya nini kwenye harusi ya Jux, Sijui Mke wa Jux ana Mimba. Kwa kifupi ni zile story ambazo husipozijua haikuathiri na hata ukizijua haikusaidii chochote kama...
  20. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ninasikitika na nitaendelea kusikitika juu ya kitendo cha serikali ya Samia na ile ya Magufuli kununua ndege za biashara huku ikiacha mambo muhimu

    Kitendo cha serikali ya Magufuli kununua ndege za biashara halafu kwa kipindi kifupi biashara ikatoa majibu kuwa ni biashara kichaa lakini serikali yake ikaendelea kuagiza ndege zingine. Alipoingia Samia nilitarajia aidha angeuza ndege zote za biashara au angesitisha mpango wa kuongeza ndege...
Back
Top Bottom